Kuhusu ajira na cozi imekaaje

Kuhusu ajira na cozi imekaaje

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Samahani wakubwa ivi kwa aliyesoma au anaejua comb ya HKL eti kuna coz nyingne ambayo ni rahisi kupata ajira ata kama serikali itachelewa kutoa ajira kwa anaejua basi atuambie wadogo zenu hatuelewi yani ni coz ipi iko poa sana kwenye ajira
 
Education ,shule ni nyingi sana ukiwa competent kufundisha na maujanja kibao, utatusua japo kwa taabu sanaa
 
Unaweza kusoma hata sheria ukiwa bright kama uko bright utakuwa wakili hata wakujitegemea kama kina Kibatala na wakili wengine wanaoweza kujitegemea ukaingiza hata milion 5 kwa kesi moja tu unayosimamia
 
Education in English and Chinese uudsm ,,transport and logistics management,, project planning and management,,,,law , regional development planning
 
Back
Top Bottom