Kuhusu ajila za ualimu 2016

Kuhusu ajila za ualimu 2016

Ajira mpaka uombe halmashauri na ufanye interview ya ufundishajikiduchu ikiwemo utengenezaji wa zana za ufundishaji na ujuzi wa kuzitumia ndo mtaajiriwa hakuna burebure wala mteremko.....
Mkuu kasema pesa zitazidi kukauka kwa wapiga dili.........
Source:mkurugenzi wa halmashauri ya mbeya jiji......




Hahah jiwe gizani likikupata mm cmo
 
Jaman Wana Jamii forum, naomba mnisaidie kwa hili, nime sikia tete si kwamba serikali eti kwenye mpango wa kuajiri walimu mwaka huu 2016, itaajiri hata wale walio maliza masomo mwaka huu 2016 yaan mwezi may 9,yaan walio Pata matokeo July 18, SASA NAOMBA ANAYE FAHAMU VIZURI, juu ya mpango huu anijuze, nitashukur sana, nawatakieni siku njema yeye Baraka na fanaka.
Andika AJIRA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom