Kuhusu ajila za ualimu 2016

Kuhusu ajila za ualimu 2016

Ajira kwasasa mpango uliopo ni wa kuomba halmashauri husika kwakuwa xule nyingi walimu weng wa arts,lakin science ni xida,halafu pia kama umemaliza bachelor umesomea somo 1 la kufundishia uwezekano mdogo kuajiriwa labda kwa science subject na pia na walimu wa english na wenyewe wanahitajika,kwa maana ukienda mfano mbeya mjini kuna walimu wa arts 5648 ambao ni kisw/hist ambao xaizi huwa wanagawana topic au subtopic kufundisha darasan.
 
walimu wa arts wsna kipind kimoja kwa week bado mtu anataka aje huku??????!!!!! hii serikali itilie mkazo sekta nyingne na iwe waz kweli kama inahitaj walimu isingewaacha mwaka mzima mtaan wanajiuliza jf daily poleni ila uhaba ni science teachers
 
walimu wa arts wsna kipind kimoja kwa week bado mtu anataka aje huku??????!!!!! hii serikali itilie mkazo sekta nyingne na iwe waz kweli kama inahitaj walimu isingewaacha mwaka mzima mtaan wanajiuliza jf daily poleni ila uhaba ni science teachers
kama uhaba ni walimu wa sayansi basi waajiriwe kwanza haohao na sisi wa arts tuone kweli sayansi dili
 
walimu wa arts wsna kipind kimoja kwa week bado mtu anataka aje huku??????!!!!! hii serikali itilie mkazo sekta nyingne na iwe waz kweli kama inahitaj walimu isingewaacha mwaka mzima mtaan wanajiuliza jf daily poleni ila uhaba ni science teachers
Kwanini hata hao wa sayansi mpaka leo hawajaajiriwa?
 
Hii taarifa inanipa ukakasi kama ya kusitishwa kwa hela ya field
 
nikwel jaman walimu 2015 na 2016 watajumuishwa coz jafo amesema wataongeza idadi ya walimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom