Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
Wadau wa jukwaa hili bila shaka muwazima. Nina swali ninaomba kujuzwa. Je ni mahitaji gani yanahitajika kutolewa na mwanaume kwenye kuhudumia mimba? Kwa sababu kuhudumia mtoto inafahamika wazi mahitaji yake. Ninaomba kueleweshwa mahitaji yahusuyo kuhudumia mimba.
Nawasilisha
Nawasilisha