Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
* Haijalishi una kazi au hauna kazi mchune mumeo au mpenzi wako unayetaka kumzalia ficha hela mpaka zifike 1.5M ndiyo ubebe mimba utakuja kunishukuru*
Najua kabisa wnaume wezangu mtakuja hapa kunipopoa , na wale wanawake wasiojali wala kupenda uhai wao binafsi wanaosema mwanaume majukumu mtakuja hapa kutema cheche na kunitukana , wengine watasema siyajui maisha ila ukweli acha niwaambie hawa dada zangu kwa sababu mimi binafsi napenda sana wanawake ukitoa hela, pombe na wazazi wangu japo kuna muda naonekana kuwakandia sana lengo ni kusema ukweli ili kuokoa kizazi chetu na wanawake wabadilike
Wanawake leo nipo hapa kuwaambia ukweli kwamba kamwe usibebe mimba kwa namna yeyote ile iwe kwa makubaliano, iwe kwa masharti ya ndoa, mapenzi , kudanganywa , kulaghaiwa, iwe kwa hamu na tama zako wewe uwe na mtoto kama huna milioni moja na laki tano (1.5M) ya kwako binafsi uliyojiwekea akiba kwaajili ya heka heka za ujauzito,usalama wa leba pindi unapojifungua, afya yako binafsi pamoja na mtoto , pia na kwa usalama wa uhai wako mwenyewe na malezi ya mtoto mwanaume akiwa anagoma kuhudumia au akianguka kiuchumi au kutelekezwa kwa namna yeyote ile
wanawake wengi wanafariki mahospitalini , njiani au majumbani pindi wanapofikia muda wa kujifungua au wanapotoka kujifungua , wengine wanabakia kuwa walemavu sana na wengine watoto wao waliojifungua wanafariki huku wengine wanaopona wanakua walemavu na wenye maradhi ya kujitakia ya kudumu na hili husababishwa na uzembe wa manesi katika vituo vya afya kwa mianya ya rushwa na kukosa chochote kitu cha kumpa kama posho, hela ya kununulia vifaa vya maandalizi ya kujifungua, mazingira salama ya kujifungua ,pamoja na hata kujifungulia hospitali za hadhi angalau na zenye huduma nzuri
Pia hili huchagizwa na wanaume wao wajinga waliowapa mimba, ubahili wa wanaume , kutokujali thamani ya mwanamke uliyempa mimba na uhai wake mama na mtoto pamoja na ubinafsi wa ndugu zao wa pande zote hasa wa mwanaume kwa kisingizio chakukosa hela za dharura kipind cha mimba na kujifungua pamoja na malezi.
hakikisha mwanaume akitaka kukupa mimba hata kama ni mumeo, rafiki au mpenzi wako kabla ya zoezi la kutafuta mtoto umehifadhi shilingi 1.5M kama akiba ya dharura kipindi chote cha ujauzito na kipindi chote cha malezi ya mtoto akiwa mdogo mpaka afikishe miaka 3 angalau, usisikilize maneno ya mwanaumr hakikisha hiyo ela unayowewe mwenyewe tena iwe kwenye bank a/c yako yenye details zako mwenyewe pasi na kumshirikisha mtu na sii kwenye a/c ya mwanaume.
Najua kabisa wnaume wezangu mtakuja hapa kunipopoa , na wale wanawake wasiojali wala kupenda uhai wao binafsi wanaosema mwanaume majukumu mtakuja hapa kutema cheche na kunitukana , wengine watasema siyajui maisha ila ukweli acha niwaambie hawa dada zangu kwa sababu mimi binafsi napenda sana wanawake ukitoa hela, pombe na wazazi wangu japo kuna muda naonekana kuwakandia sana lengo ni kusema ukweli ili kuokoa kizazi chetu na wanawake wabadilike
Wanawake leo nipo hapa kuwaambia ukweli kwamba kamwe usibebe mimba kwa namna yeyote ile iwe kwa makubaliano, iwe kwa masharti ya ndoa, mapenzi , kudanganywa , kulaghaiwa, iwe kwa hamu na tama zako wewe uwe na mtoto kama huna milioni moja na laki tano (1.5M) ya kwako binafsi uliyojiwekea akiba kwaajili ya heka heka za ujauzito,usalama wa leba pindi unapojifungua, afya yako binafsi pamoja na mtoto , pia na kwa usalama wa uhai wako mwenyewe na malezi ya mtoto mwanaume akiwa anagoma kuhudumia au akianguka kiuchumi au kutelekezwa kwa namna yeyote ile
wanawake wengi wanafariki mahospitalini , njiani au majumbani pindi wanapofikia muda wa kujifungua au wanapotoka kujifungua , wengine wanabakia kuwa walemavu sana na wengine watoto wao waliojifungua wanafariki huku wengine wanaopona wanakua walemavu na wenye maradhi ya kujitakia ya kudumu na hili husababishwa na uzembe wa manesi katika vituo vya afya kwa mianya ya rushwa na kukosa chochote kitu cha kumpa kama posho, hela ya kununulia vifaa vya maandalizi ya kujifungua, mazingira salama ya kujifungua ,pamoja na hata kujifungulia hospitali za hadhi angalau na zenye huduma nzuri
Pia hili huchagizwa na wanaume wao wajinga waliowapa mimba, ubahili wa wanaume , kutokujali thamani ya mwanamke uliyempa mimba na uhai wake mama na mtoto pamoja na ubinafsi wa ndugu zao wa pande zote hasa wa mwanaume kwa kisingizio chakukosa hela za dharura kipind cha mimba na kujifungua pamoja na malezi.
hakikisha mwanaume akitaka kukupa mimba hata kama ni mumeo, rafiki au mpenzi wako kabla ya zoezi la kutafuta mtoto umehifadhi shilingi 1.5M kama akiba ya dharura kipindi chote cha ujauzito na kipindi chote cha malezi ya mtoto akiwa mdogo mpaka afikishe miaka 3 angalau, usisikilize maneno ya mwanaumr hakikisha hiyo ela unayowewe mwenyewe tena iwe kwenye bank a/c yako yenye details zako mwenyewe pasi na kumshirikisha mtu na sii kwenye a/c ya mwanaume.