Nashukuru sana. Hivi vitu nimegundua ni muhimu tuvihamu ili tuweze kutekeleza majukumu yetu.iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.
*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor
Kibongobongo iko hivyo
Ndio unategemea na uwezo wa helaKatoto kazuri nimefarijika na haya uliyoeleza kwa ufasaha. Kikubwa nilichojifunza ni kuanzia chakula, mavazi, malazi, afya, na upendo. Ila itategemeana na uwezo wa kifedha.
Mambo ya kikorea unaleta bongo?iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.
*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor
Kibongobongo iko hivyo



Hongera kwa kumpa heshima ya kuitwa Mama kwa mwanamke mwenzanguHongera kwa lipi unalompa?
Umejuaje yeye ni mwanamke?Hongera kwa kumpa heshima ya kuitwa Mama kwa mwanamke mwenzangu
Mleta mada ni mwanaume..Umejuaje yeye ni mwanamke?
Mambo ya kikorea unaleta bongo?![]()

Inategemea kama yupo kazini kwa maana itakuwa ngumu labda aombe ruhusaiko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.
*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor
Kibongobongo iko hivyo
Inategemea kama yupo kazini kwa maana itakuwa ngumu labda aombe ruhusa

Mwee hiyo ni mimba tuu, je mtoto akizaliwaMsikilize yeye anataka nini na wewe unaweza nini.
Kama unauwezo mkubwa, akitaka gari we mnunulie tu.
Kama ni choka mbaya, hicho unachokipata gawana nae nusu kwa nusu

Haaahaaa......full bundleiko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.
*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor
Kibongobongo iko hivyo
Akizaliwa fanya hivyohivyo.Mwee hiyo ni mimba tuu, je mtoto akizaliwa![]()
![]()
Aisee,, bando kwa ajili ya kupost tumbo kwenye social network na kuweka midoli sioiko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.
*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor
Kibongobongo iko hivyo
Kumleta kiumbe duniani ni zawadi kubwa sana ndiyo maana hutakiwa kulalama kama wazazi wako ni masikini.Akizaliwa fanya hivyohivyo.
Aisee,
Mimi hakuna kitu nathamini kama mtoto.
Ndio mana siwezi kuzaa kama sijajipanga. Na nimepanga nitazaa mtoto mmoja tu.
Nataka mwanangu apate mahitaji yote ya msingi na zaidi.
Kiumbe unachokileta duniani bila chenyewe kutaka alafu kinakuja kupata shida ni kukitesa.
Huwa nashangaa kwanini watu ni masikini alafu wanazaa.