Kuhudumia Mimba

Kuhudumia Mimba

iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
 
iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
Nashukuru sana. Hivi vitu nimegundua ni muhimu tuvihamu ili tuweze kutekeleza majukumu yetu.
 
Katoto kazuri nimefarijika na haya uliyoeleza kwa ufasaha. Kikubwa nilichojifunza ni kuanzia chakula, mavazi, malazi, afya, na upendo. Ila itategemeana na uwezo wa kifedha.
Ndio unategemea na uwezo wa hela
 
iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
Mambo ya kikorea unaleta bongo?
 
iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
Inategemea kama yupo kazini kwa maana itakuwa ngumu labda aombe ruhusa
 
iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
Haaahaaa......full bundle
 
Mwee hiyo ni mimba tuu, je mtoto akizaliwa
Akizaliwa fanya hivyohivyo.
Aisee,
Mimi hakuna kitu nathamini kama mtoto.

Ndio mana siwezi kuzaa kama sijajipanga. Na nimepanga nitazaa mtoto mmoja tu.

Nataka mwanangu apate mahitaji yote ya msingi na zaidi.

Kiumbe unachokileta duniani bila chenyewe kutaka alafu kinakuja kupata shida ni kukitesa.

Huwa nashangaa kwanini watu ni masikini alafu wanazaa.
 
iko hivi;
~asikose supu ya samaki daily
~MAYAI 2 ya Kuku wa kienyeji daily,
~full bundle daily
~Akiba ndani laki 5
~Usafiri wa gari,hata SOKONI
~Kila siku unamwimbia nyimbo nzuri
~Hakikisha kliniki upo naye
~Ndizi,matunda visikose mezani
~Maziwa fresh na mtindi viwepo
Nk.

*usimgombeze
*asinywe Dawa bila ushauri wa Doctor

Kibongobongo iko hivyo
Aisee,, bando kwa ajili ya kupost tumbo kwenye social network na kuweka midoli sio
 
Ukaribu na Mama mwenye mimba ni huduma pia Ulaji, Mazoezi na Vingine vingi ikiwepo Kujamiana japo sio lazima sana.
 
Akizaliwa fanya hivyohivyo.
Aisee,
Mimi hakuna kitu nathamini kama mtoto.

Ndio mana siwezi kuzaa kama sijajipanga. Na nimepanga nitazaa mtoto mmoja tu.

Nataka mwanangu apate mahitaji yote ya msingi na zaidi.

Kiumbe unachokileta duniani bila chenyewe kutaka alafu kinakuja kupata shida ni kukitesa.

Huwa nashangaa kwanini watu ni masikini alafu wanazaa.
Kumleta kiumbe duniani ni zawadi kubwa sana ndiyo maana hutakiwa kulalama kama wazazi wako ni masikini.
Kila mtoto anazaliwa na sahani yake.
No matter how the situation is worse watoto watakuwa tu kikubwa wapate chakula mengine majaliwa ya mwenyezi mungu.Usicomplecate maisha ndugu.
Katoto kamoja hiyo ni zaidi ya ubinafsi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom