Kuhesabu muda

Kuhesabu muda

Mkuu Safuher, umetoa majibu mazuri sana, majibu hata mimi ningejibu kimsingi ningejibu hivyo hivyo.

Ila cha kuongeza kidogo ni kwamba wahenga wanasema shida ni mgunduzi na kitu chenye manufaa hudumu manaa yake ni kwamba siku zote akili ya mwanadamu inafanya kazi kupambana na mazingira yake, ilipofika wakati ambapo muda ilibidi upimwe ndipo mwanadamu toka awali akabuni mbinu mbalimbali kupima muda kwa siku- hususan walitumia jua kujua wakati wa mawio,mchana na machweo pia walitumia vivuli vya miti na vijiti vinavyobadilika kimo kutokana na mwendo wa jua nk,pia watu hao walitumia matukio makubwa kama vipimo vya wiki,miezi na miaka, kwani utasikia wazee wa zamani wanakuambia kwamba; "mimi nilizaliwa mwaka wa nzige"yaani ni kipindi kile ambacho nzige wengi walitokea katika eneo lao.

Leo binadamu amefikia maendeleo makubwa makubwa mno sio tu ya kupima muda bali hata kujua muda uliopita na kuuhifadhi tofauti na ilivyokuwa karne zilizopita, leo kuna "nuclear clock" saa inayolinda muda kwa usahihi zaidi kuliko saa zote duniani (karibu saa zote zinapoteza majira kadiri muda unavyopita). Bado uvumbuzi unaendelea kila uchao na mambo yasiyokuwa na manufaa binadamu huyaacha na hubaki na yale yenye manufaa tu ndivyo Mungu alipanga hivyo.

Muda ni nini?, hakuna definition maalumu ya muda, ila A, Einstein mwanafizikia maarufu akitoa definition ya muda na alisema; "time is what stops two things from happening at the same time"--- yaani; muda ni ile hali inayozuia vitu viwili visitokee kipindi kimoja. Mfano kama vitu viwili vitasnza kutenda kazi kwa pamoja na kuacha kutenda kwa pamoja na ukaulizwa utoe utofauti wa muda kati ya vitu hivyo vilipoanza kutenda kazi na kumaliza utaona muda ni sufuri lakini vingeanza kipindi tofauti hapo ungepata muda uliokuwa tofauti--- hiyo ndiyo definition ya muda/wakati iliyotolewa na A. Einstein.

Mungu ni wa kushukuriwa aliyeweka mazingira hadi sisi binadamu tukaweza kupima muda kwa faida yetu.
Shukrani kwa hii nyongeza ya nguvu mkuu.

Ila sasa ina maana kwa mujibu wa bwana eiinsten Ina maana mimi na wewe tukianza kukimbia dk ya 1 mpaka dakika ya 10 tukasimama maana yake ni kwamba wote itakuwa tumetumia dk 10 kukimbia.

Sasa hapo dakika kumi ni MUDA ambao ni sawa na sekunde 600.

Kwa mujibu wa huyo nguli na huu mfano anatuambiaje kuhusu maana ya muda?

Mana sijaelewa vizuri
 
There is no place in this world in which there is no time; rather that cannot be imagined, for time and place are bound together. Time is the duration of the existence of this universe, and place is the space that is occupied by created entities when they exist. If they stop occupying space, then this means that they have ceased to exist and no longer exist. Similarly, if no time passes for them, then they never existed in the first place.


👆🏻Maelezo hayo nimeyaona kwa kiasi fulani ndiyo yanakaribia kujibu msingi wa maswali yaliyoulizwa na mleta mada, na hapa chini nimejaribu kutafsiri kwa kiswahili na kama atakuwepo mjuzi zaidi naye anakaribishwa kutoa tafsiri nzuri zaudi.

" hakuna mahali katika dunia hii ambapo hakuna muda,tuseme haiwezi kufikiriwa kwa sababu muda na mahali vimeshikamana pamoja. Muda ni kipindi cha kuwepo kwa huu ulimwengu na mahali ni anga iliyokaliwa na vitu vilivyoumbwa katika kipindi vinapokuwepo. Kama (vitu hivyo) vitaacha kuikalia anga (space) basi maana yakeni kwamba vimeacha kuwepo na havipo tena, halikadhalika, kama hakuna muda utakaotumiwa na hivyo vitu (basi ni wazi) kamwe vitu hivyo havikuwahi kuwepo.
 
Maelezo hayo nimeyaona kwa kiasi fulani ndiyo yanakaribia kujibu msingi wa maswali yaliyoulizwa na mleta mada, na hapa chini nimejaribu kutafsiri kwa kiswahili na kama atakuwepo mjuzi zaidi naye anakaribishwa kutoa tafsiri nzuri zaudi.

" hakuna mahali katika dunia hii ambapo hakuna muda,tuseme haiwezi kufikiriwa kwa sababu muda na mahali vimeshikamana pamoja. Muda ni kipindi cha kuwepo kwa huu ulimwengu na mahali ni anga iliyokaliwa na vitu vilivyoumbwa katika kipindi vinapokuwepo. Kama (vitu hivyo) vitaacha kuikalia anga (space) basi maana yakeni kwamba vimeacha kuwepo na havipo tena, halikadhalika, kama hakuna muda utakaotumiwa na hivyo vitu (basi ni wazi) kamwe vitu hivyo havikuwahi kuwepo.
Sasa mkuu tunaipataje maana ya muda yaaani Muda ni nini kwa maana ya muda?

Je sekunde,dakika,lisaa ni katika muda ?
 
Ahahahahahaahahhhahha aiseeee hatari sana.


Ni kweli kabisa mkuu, kwani katika wanyama wanaoliwa kwa makosa na watu ni nguruwe tu ndiye wanaolawitiana wao kwa wao (madume kwa madume).

Wataalamu wa lishe na chakula (diet and nutrition experts), wanasema; "you are wgat yiu eat" yaani mwili wako upo jinsi ulavyo au tabia na mienendo yako ipo kutokana na vyakula unavyokula.

Wazungu na watu wa Asia ya kaskazini, china, japan na Philippines nk, wanakula sana nyama ya nguruwe tofauti ni kwamba watu wa Asia ni wasiri sana tofauti na wazungu ambao hawaoni taabu au shida kuweka wazi hisia zao na ndiyo maana utaona na kusikia wazungu wakijitangaza wao ni mashoga bila aibu na wameanzisha vyama na mitandao ya kutetea haki zao na hadi kufika hatua kuingiza sheria katika katiba za nchi zao kutambua ushoga na hata kutushinikiza waafrika tukubali ushoga ndipo watupatie misaada, huku kwetu Afrika bado hatujafikia hatua kubwa ya ushoga kwa sababu ulaji wa kitimoto bado ni mdogo sana ukilinganisha na hizo nchi.

Nguruwe ni mnyama anayekaribiana na mwanadamu katika mifumo ya mwili wake na ndiyo maana wanasayansi wa tiba wanafanya tafiti na imeonyesha mafanikio zaidi kwamba viungo vya nguruwe kama macho, maini, mafigo, kongosho nk, vinaweza kutumika kama viungo mbadala ya viungo vya mwanadamu kwa maneno mengine mtu anapokula nyama ya nguruwe ni KARIBU sana na kula nyama ya binadamu mwenzake.

Nguruwe hana tofauti kubwa na fisi kwani wote wanayo asili ya kula takataka (scavengers), ukimuwekea nguruwe wali na nyama ya kuku halafu pembeni muwekee mzoga wa kuku unaotoa harufu ataanza kwanza kula mzoga halafu baadaye ndipo atakula Wali na nyama ya kuku.

Mungu alimuumba nguruwe na akamuwekea katika mwili wake kinga ya sumu itokanayo na vyakula vichafu anavyokula na hiyo sumu ikitolewa ndani kwa njia ya mkojo na kinyesi chake nyingine huifadhiwa kwenye mafuta yake, mafuta yake yamebeba sumu za aina mbalimbali na ndiyo maana nguruwe haathiriki na sumu ya nyoka anapong'atwa na katika hali hiyo hiyo mtu akila nyama ya nguruwe anakula sumu zenye madhara ambazo zingine ndizo zinaambukiza ushoga kama jinsi yeye mwenyewe anavyoathiriwa na akawa Shoga.

Chunguza sana utakuta mashoga wengi walianza kula sana kitimoto toka walipokuwa wadogo hadi utuuzima.

Khinzir ni muunganiko wa maneno mawili ya kiarabu, "khinz" na "araa", "khinz" maana yake kitu kichafu na "araa" maana yake kuona. Kwa neno zima "khinzir" maana yake "nakiona kichafu".

Ndiyo maana Allah akaharamisha kula nyama ya nguruwe. Lakini anayo matumizi mengine mengi kwa faida ya mwanadamu ndiyo maana akamuumba.
 
Sasa mkuu tunaipataje maana ya muda yaaani Muda ni nini kwa maana ya muda?

Je sekunde,dakika,lisaa ni katika muda ?


Mkuu maana (definition) ya muda ni ngumu sana, yaani hakuna definition maalumu, hata wanasayansi wakubwa wameshindwa kupata definition inayokubaliana kwa pamoja, lakini kila mmoja amejaribu kutoa definition kulingana na jinsi yeye anavyoelewa "Muda".

Kuna definition moja ya Albert Einstein (mwanafizikia mnadharia), yeye ndiye aliyekokotoa nadharia ya "special theory of relativity" (nadharia maalumu ya mahusiano) kati ya anga (space) na muda.

Kuna mahusuano kati ya anga na muna vitu vilivyopo katika ulimwengu na nishati.

Einstein anasema; "Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Jambo la msingi hapo ni kwamba huwezi kuongelea kuhusu muda na anga bila kuwa na matter (viumbe), kama jinsi katika ile tafsiri yule mtaalamu alivyosema.

Equation yenyewe ni hii:-

E=mC²

Hapo utaona mahusiano ya E=nishati, m=mass, C= velocity of light, ambapo katika C kuna umbali (space) na muda.
 
Mkuu maana (definition) ya muda ni ngumu sana, yaani hakuna definition maalumu, hata wanasayansi wakubwa wameshindwa kupata definition inayokubaliana kwa pamoja, lakini kila mmoja amejaribu kutoa definition kulingana na jinsi yeye anavyoelewa "Muda".

Kuna definition moja ya Albert Einstein (mwanafizikia mnadharia), yeye ndiye aliyekokotoa nadharia ya "special theory of relativity" (nadharia maalumu ya mahusiano) kati ya anga (space) na muda.

Kuna mahusuano kati ya anga na muna vitu vilivyopo katika ulimwengu na nishati.

Einstein anasema; "Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Jambo la msingi hapo ni kwamba huwezi kuongelea kuhusu muda na anga bila kuwa na matter (viumbe), kama jinsi katika ile tafsiri yule mtaalamu alivyosema.

Equation yenyewe ni hii:-

E=mC²

Hapo utaona mahusiano ya E=nishati, m=mass, C= velocity of light, ambapo katika C kuna umbali (space) na muda.
Naam mkuu nakupata pata kwa mbali..

Ila hyo tafsiri ya huyo bwana kwamba ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Sasa hapa mimi ninaomba kuuliza kwa njia ya kuelezea.
Kutokana naa maana ya Albelt hii maana yake ...

Kwanza kila tukio lazima liwe na mfanyaji wake
Hakuna tukio litafanyika bila mtendaji wake.

Pili tunapoona tukio lolote mfano tukisikia sauuti ya viatu.basi tunajua kuna mtu anatembea n.k.

Sasa kwa maana ya bwana albelt. ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Ina maana matukio mawili yakifanyika kwa pamoja hatupati kitu kinaitwa muda?

na je matukio hayo mawili ni sharti yatokane na sababu moja?

Mfano sasa...
Mimi naweza nikawa natembea huku naimba.

Hapa kuna matukio mawili nimeyafanya kwa pamoja.
1.natembea (T1)
2.Naimba (T2)

Sasa hapa hakuna hali ambayo imezuwia T1 na T2 yasifanyike kwa pamojaa.

Sasa je KWA MUJIBU WA ALBET KUTOKANA NA kutokuwepo kwa pingamizi la kufanya T1 na T2 kutokea ina maana hapo hatuwezi kupata maana ya muda kwa kuwa hakuna kilichozuwia T2 NA T2 visifanyike kwa wakati mmoja?

Au unaweza kunipa mfano wako ambao unawezaa kuelezea vizuri hii theory
 
Naam mkuu nakupata pata kwa mbali..

Ila hyo tafsiri ya huyo bwana kwamba ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Sasa hapa mimi ninaomba kuuliza kwa njia ya kuelezea.
Kutokana naa maana ya Albelt hii maana yake ...

Kwanza kila tukio lazima liwe na mfanyaji wake
Hakuna tukio litafanyika bila mtendaji wake.

Pili tunapoona tukio lolote mfano tukisikia sauuti ya viatu.basi tunajua kuna mtu anatembea n.k.

Sasa kwa maana ya bwana albelt. ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Ina maana matukio mawili yakifanyika kwa pamoja hatupati kitu kinaitwa muda?

na je matukio hayo mawili ni sharti yatokane na sababu moja?

Mfano sasa...
Mimi naweza nikawa natembea huku naimba.

Hapa kuna matukio mawili nimeyafanya kwa pamoja.
1.natembea (T1)
2.Naimba (T2)

Sasa hapa hakuna hali ambayo imezuwia T1 na T2 yasifanyike kwa pamojaa.

Sasa je KWA MUJIBU WA ALBET KUTOKANA NA kutokuwepo kwa pingamizi la kufanya T1 na T2 kutokea ina maana hapo hatuwezi kupata maana ya muda kwa kuwa hakuna kilichozuwia T2 NA T2 visifanyike kwa wakati mmoja?

Au unaweza kunipa mfano wako ambao unawezaa kuelezea vizuri hii theory
Hiyo ni theory wala sio princple..wala ucjali ..hayo ni mawazo yake yeye aliyesema. Ww unaweza ukasema yako
 
Najua mkuu hata hizo principle pia ni mawazo yabwengine pia.

Ila nimeuliza ili niifahamu hyo theory yake kipi kakusudia.sio kwamba nimeuliza ili labdabnipingane nae au nionyeshe umwamba hapana mkuu
Hiyo ni theory wala sio princple..wala ucjali ..hayo ni mawazo yake yeye aliyesema. Ww unaweza ukasema yako
 
Nahic unakitu nachotafta mkuu, fungua box
Kama ulichokusudia kuuliza muda huu ambao ni sekunde,dakika,saa,masaa basi muda huu haupo.

Bali hizo sekunde dakika na saa ndio zipo.

Hakuna kiashiria chochote kile ambacho kinaweza kutufahamisha kwamba sasa hivi ni saa ngapi na dakiks ngapi isipokuwa hivyo vifaa vyenye mishale na namba(saa).na wala hakuna kiashiria wsla ishara ya kilimwengu itakujulisha kwamba sasa hivi ni sekunde kumi,ama saa moja limepita.

yaani kwa maana hatuwezi kuitambua dakika mpaka tuangalie kifaa kinachoitwa saa.

Hatuwezi kutambua saa ngapi mpaka tuangalie saa

Hatuwezi kutambua sasa ni sekunde ngapi mpaka tuangaliee saa.

Yaani kuitambua saa inabidi urejee kwenye saa hiyo hiyo utizame inacheza vipi na vipi.

Sasa kama saa ni kitu kipo katika ulimwengu basi ingekuwa bila saa hiyo tunaweza kutambua sasa ni saa ngapi na dakika ngapi.

Kilichokuwepi ni majira tu.

Kuna majira ya mchana.
Jioni
Asubuhi
N.k

Haya hata iweje lazima tujue kwamba haya ni majira ya mda fulani na fulani.

Jaribu kufukiria wazee wazamani ambao walikuwa wanavaa magome ya miti na kuishi kiasili unadhani walikuwa wanajua sekunde ama dakika ama saa?

Kama walikuwa hawajui unadhani vilikuwepo hvyo visekunde dakika na saa vilikuepo?

Sekunde dakika na saa ni mawazo ya mtu tu ambayo alitengeneza kifaa kiawaa kijajihesabu namba na kujizungusha mshale akaita hapa sekunde ama dakika.

Saa haina mahusiano na ulimwengu wetu ama dunia yetu.

Ili uitambue saa na dakika maalum na sekunde maalum basi huwe,i kutambua mpaka uitizame hiyo saa.

Dunia haipo kwenye saa,bali saa ndo ipo katika dunia.
 
Naam mkuu nakupata pata kwa mbali..

Ila hyo tafsiri ya huyo bwana kwamba ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Sasa hapa mimi ninaomba kuuliza kwa njia ya kuelezea.
Kutokana naa maana ya Albelt hii maana yake ...

Kwanza kila tukio lazima liwe na mfanyaji wake
Hakuna tukio litafanyika bila mtendaji wake.

Pili tunapoona tukio lolote mfano tukisikia sauuti ya viatu.basi tunajua kuna mtu anatembea n.k.

Sasa kwa maana ya bwana albelt. ""Muda ni ile hali inayotenganisha matukio mawili yasifanyike kwa pamoja"

Ina maana matukio mawili yakifanyika kwa pamoja hatupati kitu kinaitwa muda?

na je matukio hayo mawili ni sharti yatokane na sababu moja?

Mfano sasa...
Mimi naweza nikawa natembea huku naimba.

Hapa kuna matukio mawili nimeyafanya kwa pamoja.
1.natembea (T1)
2.Naimba (T2)

Sasa hapa hakuna hali ambayo imezuwia T1 na T2 yasifanyike kwa pamojaa.

Sasa je KWA MUJIBU WA ALBET KUTOKANA NA kutokuwepo kwa pingamizi la kufanya T1 na T2 kutokea ina maana hapo hatuwezi kupata maana ya muda kwa kuwa hakuna kilichozuwia T2 NA T2 visifanyike kwa wakati mmoja?

Au unaweza kunipa mfano wako ambao unawezaa kuelezea vizuri hii theory


Alhamdulillah, kidogo utakuwa hujanielewa, tuchukue mfano wako huohuo wa kutembea na kuimba,mtu anatembea huku anaimba, halafu mtu akamuuliza ataje tofauti kati ya muda anaotembea na muda anaoimba.

Kwakuwa anafanya vitendo vyote kwa pamoja hapo katikati hakuna muda au unaweza kusema muda ni sifuri, lakini kama alianza kutembea bila kuimba na baadaye akasimama na akaanza kuimba hapo muda upo kati ya hayo matendo mawili ambayo yametendeka kwa muda tofauti.

Hiyo ndiyo definition ya muda aliyojaribu kufafanua Albert Einstein. Katika tukio la kwanza muda ni sufuri na katika tukio la pili muda upo (siyo sifuri).
 
Kama ulichokusudia kuuliza muda huu ambao ni sekunde,dakika,saa,masaa basi muda huu haupo.

Bali hizo sekunde dakika na saa ndio zipo.

Hakuna kiashiria chochote kile ambacho kinaweza kutufahamisha kwamba sasa hivi ni saa ngapi na dakiks ngapi isipokuwa hivyo vifaa vyenye mishale na namba(saa).na wala hakuna kiashiria wsla ishara ya kilimwengu itakujulisha kwamba sasa hivi ni sekunde kumi,ama saa moja limepita.

yaani kwa maana hatuwezi kuitambua dakika mpaka tuangalie kifaa kinachoitwa saa.

Hatuwezi kutambua saa ngapi mpaka tuangalie saa

Hatuwezi kutambua sasa ni sekunde ngapi mpaka tuangaliee saa.

Yaani kuitambua saa inabidi urejee kwenye saa hiyo hiyo utizame inacheza vipi na vipi.

Sasa kama saa ni kitu kipo katika ulimwengu basi ingekuwa bila saa hiyo tunaweza kutambua sasa ni saa ngapi na dakika ngapi.

Kilichokuwepi ni majira tu.

Kuna majira ya mchana.
Jioni
Asubuhi
N.k

Haya hata iweje lazima tujue kwamba haya ni majira ya mda fulani na fulani.

Jaribu kufukiria wazee wazamani ambao walikuwa wanavaa magome ya miti na kuishi kiasili unadhani walikuwa wanajua sekunde ama dakika ama saa?

Kama walikuwa hawajui unadhani vilikuwepo hvyo visekunde dakika na saa vilikuepo?

Sekunde dakika na saa ni mawazo ya mtu tu ambayo alitengeneza kifaa kiawaa kijajihesabu namba na kujizungusha mshale akaita hapa sekunde ama dakika.

Saa haina mahusiano na ulimwengu wetu ama dunia yetu.

Ili uitambue saa na dakika maalum na sekunde maalum basi huwe,i kutambua mpaka uitizame hiyo saa.

Dunia haipo kwenye saa,bali saa ndo ipo katika dunia.
Ukitoka nje ya dunia(bila kifaa chakuhesabu muda) ukaingia universe huko ambako hakuna day and nights je kuna Muda ?
 
Utasemaje kutembea na kuimba kwa pamoja hakuna muda, ilihali cku nzima adi Giza linaingia natembea nakuimba
Alhamdulillah, kidogo utakuwa hujanielewa, tuchukue mfano wako huohuo wa kutembea na kuimba,mtu anatembea huku anaimba, halafu mtu akamuuliza ataje tofauti kati ya muda anaotembea na muda anaoimba.

Kwakuwa anafanya vitendo vyote kwa pamoja hapo katikati hakuna muda au unaweza kusema muda ni sifuri, lakini kama alianza kutembea bila kuimba na baadaye akasimama na akaanza kuimba hapo muda upo kati ya hayo matendo mawili ambayo yametendeka kwa muda tofauti.

Hiyo ndiyo definition ya muda aliyojaribu kufafanua Albert Einstein. Katika tukio la kwanza muda ni sufuri na katika tukio la pili muda upo (siyo sifuri).
 
Ukitoka nje ya dunia(bila kifaa chakuhesabu muda) ukaingia universe huko ambako hakuna day and nights je kuna Muda ?

Muda unakuwepo/unahesabika pale ambapo kuna matukio, hivyo ni lazima viwepo vitu (matters) vitakavyofanya hayo matukio na pia uwepo uwanja (space)---- hapo ndipo akili yako kwa kutumia hivyo vitu itaweza kutengeneza muda.

Muda ni "creation" ya akili kutokana na matukio. Kama hakuna matukio muda ni sifuri na kama matukio yatatokea wakati mmoja pia muda ni sifuri ila matukio yakitokea tofauti hapo unaweza kupata muda unaotofautisha kutokea kwa hayo matukio--- na unaweza kuupima muda kwa kutumia vifaa kama saa au njia yoyote ambayo akili yako itakutuma kuitumia.

👆🏻Hayo ni maelezo ya "definition" ya muda jinsi ilivyoyolewa na A. Einstein.
 
Utasemaje kutembea na kuimba kwa pamoja hakuna muda, ilihali cku nzima adi Giza linaingia natembea nakuimba


Ni ngumu sana kueleweka😁😁, ni hivi; muda unapimwa au unapatikana kutokana na matukio yanapoanza na kuishia---- hapa ikumbukwe kwamba watu walimuuliza Einstein kwamba muda ni nini ?? Ndipo alipojaribu kuleta hiyo concept rahisi ili watu wote wapate kuelewa.

Ukitembea na hapohapo ukiimba, muda wako utauhesabu toka ulipoanza kutenda hayo matendo na hadi ulipoacha.

Muda= muda ulipomaliza kutenda toa muda ulioanza kutenda.

👆🏻Hapo unaona ni lazima matukio yawepo. Yaani utahesabu muda kutoka mahali fulani hadi mahali fulani hiyo ni lazima.

Au ukumuuliza mtu amelala masaa mangapi, ataanza kuhesabu muda alianza kulala hadi muda alioamka--- hapo kuna matendo mawili kulala na kuamka.
 
BA's tuchukue iyo ya mwanzo wa kitu na mwisho ndio huunda muda, kwaiyo hata nikifanya vitu nane kwa wakat mmoja bado ntatengeneza muda maana nilianza nkamaliza

But iyo theory haijakaa vzur au bado hatujaielewa
Ni ngumu sana kueleweka, ni hivi; muda unapimwa au unapatikana kutokana na matukio yanapoanza na kuishia---- hapa ikumbukwe kwamba watu walimuuliza Einstein kwamba muda ni nini ?? Ndipo alipojaribu kuleta hiyo concept rahisi ili watu wote wapate kuelewa.

Ukitembea na hapohapo ukiimba, muda wako utauhesabu toka ulipoanza kutenda hayo matendo na hadi ulipoacha.

Muda= muda ulipomaliza kutenda toa muda ulioanza kutenda.

Hapo unaona ni lazima matukio yawepo. Yaani utahesabu muda kutoka mahali fulani hadi mahali fulani hiyo ni lazima.

Au ukumuuliza mtu amelala masaa mangapi, ataanza kuhesabu muda alianza kulala hadi muda alioamka--- hapo kuna matendo mawili kulala na kuamka.
 
Naam haijakaa vizuri na tumeelewa.

Theory ya ALIBETI haijakaa powa.kwa sababu bado haijatosheleza kuelezea muda.

Chukulia umeanza kuimba na kutembea wakati wa usiku na ukamaliza wakati wa usiku huo huo.ukasema NIMETUMIA HATUA 100 KUTEMBEA HUKU NAIMBA.

Hivi tuchukulie hamna kitu kinaitwa saa,sekunde,wala dakika,unadhani utaweza kusema umetembea pamoja na kuimba kwa dakika ngapi?

Lakini kutokujua kwako umetembea na kuimba kwaa dakika ngapi kutafanya iwe wewe haujatembea na kuimba kwa pamoja?
BA's tuchukue iyo ya mwanzo wa kitu na mwisho ndio huunda muda, kwaiyo hata nikifanya vitu nane kwa wakat mmoja bado ntatengeneza muda maana nilianza nkamaliza

But iyo theory haijakaa vzur au bado hatujaielewa
 
Kwa hiyo yupi anamtegemea mwenzake kati ya muda au matendo?

Matendo ana muhitaji muda ili atokee au muda ndo unahitaji matendo ili uitwe muda?

Na muda unaokusudiwa ni upi?
Dakika na sekunde na lisaa ?,au mchana,asubuhi jioni,usiku?
Ni ngumu sana kueleweka, ni hivi; muda unapimwa au unapatikana kutokana na matukio yanapoanza na kuishia---- hapa ikumbukwe kwamba watu walimuuliza Einstein kwamba muda ni nini ?? Ndipo alipojaribu kuleta hiyo concept rahisi ili watu wote wapate kuelewa.

Ukitembea na hapohapo ukiimba, muda wako utauhesabu toka ulipoanza kutenda hayo matendo na hadi ulipoacha.

Muda= muda ulipomaliza kutenda toa muda ulioanza kutenda.

Hapo unaona ni lazima matukio yawepo. Yaani utahesabu muda kutoka mahali fulani hadi mahali fulani hiyo ni lazima.

Au ukumuuliza mtu amelala masaa mangapi, ataanza kuhesabu muda alianza kulala hadi muda alioamka--- hapo kuna matendo mawili kulala na kuamka.
 
Ahaahaha mada fikirishi sana.
Kama nimeelewa bwana Albeti anamaanisha kwamba vitu ukivifanya kwa pamoja hakuna Muda hapo.na hili naona tata kwa sababu tunafanya vingi kwa pamoja.

Mfano : nikianza kuchezea simu bila shaka nakuwa nimefumbua macho.
Hivyo nitakuwa nafanya vitendo viwili kwa paomoja(kuchezea na kuona)pengine nasikiliza na taarifa ya habari.kwa hvyo nafanya vitu vitatu kwa mpigo.

Je hapa ni lazima ziwepo dakika na sekunde ili ionekane nimefanya hivi vitu vitatu kwa pamoja au sio lazima dakika na sekumde ziwepo ili nionrkane nimefanya vitu vitatu kwa mpigo?
Utasemaje kutembea na kuimba kwa pamoja hakuna muda, ilihali cku nzima adi Giza linaingia natembea nakuimba
 
BA's tuchukue iyo ya mwanzo wa kitu na mwisho ndio huunda muda, kwaiyo hata nikifanya vitu nane kwa wakat mmoja bado ntatengeneza muda maana nilianza nkamaliza

But iyo theory haijakaa vzur au bado hatujaielewa


Sasa nimeamini kuwa physics ni ngumu, A Einstein alijaribu kudadavua kwa njia rahisi ili watu wajue muda ni nini?, kwa sababu hakuna definition ya "muda" iliyopo sasa hivi na ndio maana akachukua matukio kama njia ya kujua "muda"--- kati ya tukio moja na jingine hapo utapata muda unaotenganisha hayo matukio na kama hayo matukio yatatokea kwa wakati mmoja na kumalizika kwa pamoja hapo katikati ya hayo matukio huwezi kupima muda yaani muda ni sifuri lakini unaweza kupima muda wa hayo matukio kwa kupima utifautwa muda wa kuanzia na na muda wa kumalizikia kwa maana hiyo hapo kutakuwa bado kuna matukio/matendo mawili tendo la kuanza na tendo la kumalizikia.

Muda unapimwa au upo baina ya matukio mawili, --- hiyo ndiyo ilikuwa ufafanuzi wa concept ya Einstein.

Waswahili husema; usiku wa deni uchwa haraka/mapema. Yaani unapokuwa unadaiwa na unaambiwa kesho mkopi wako anakuja utaona usiku umekuwa mfupi kuchwa hapo ni kwamba muda ni hesabu ya ubongo yaani toka ulipo lala na mawazo ya deni hadi ulipoamka na mawazo hayohayo basi akili inajenga hisia kwamba muda umekuwa japo ni masaa yaleyale unayolala siku zote, au kinyume chake "usiku wa shida huchelewa kuchwa". hiyo ndiyo concept ya relativity ya Einstein kuhusu muda na akili ya mtu.

Hivyo "muda" ni dhana inayoweza kutafsiriwa kirahisi kutokana na matukio/matendo. Muda umo au unahesabiwa katikati ya matukio.
 
Yaani mkuu penye utata ni kwamba jee muda hauwezi kupimwa kama kuna tukio moja tu limefanyika na sio mawili kama anavyosema bwana mkubwa Albert?

Sasa nimeamini kuwa physics ni ngumu, A Einstein alijaribu kudadavua kwa njia rahisi ili watu wajue muda ni nini?, kwa sababu hakuna definition ya "muda" iliyopo sasa hivi na ndio maana akachukua matukio kama njia ya kujua "muda"--- kati ya tukio moja na jingine hapo utapata muda unaotenganisha hayo matukio na kama hayo matukio yatatokea kwa wakati mmoja na kumalizika kwa pamoja hapo katikati ya hayo matukio huwezi kupima muda yaani muda ni sifuri lakini unaweza kupima muda wa hayo matukio kwa kupima utifautwa muda wa kuanzia na na muda wa kumalizikia kwa maana hiyo hapo kutakuwa bado kuna matukio/matendo mawili tendo la kuanza na tendo la kumalizikia.

Muda unapimwa au upo baina ya matukio mawili, --- hiyo ndiyo ilikuwa ufafanuzi wa concept ya Einstein.

Waswahili husema; usiku wa deni uchwa haraka/mapema. Yaani unapokuwa unadaiwa na unaambiwa kesho mkopi wako anakuja utaona usiku umekuwa mfupi kuchwa hapo ni kwamba muda ni hesabu ya ubongo yaani toka ulipo lala na mawazo ya deni hadi ulipoamka na mawazo hayohayo basi akili inajenga hisia kwamba muda umekuwa japo ni masaa yaleyale unayolala siku zote, au kinyume chake "usiku wa shida huchelewa kuchwa". hiyo ndiyo concept ya relativity ya Einstein kuhusu muda na akili ya mtu.

Hivyo "muda" ni dhana inayoweza kutafsiriwa kirahisi kutokana na matukio/matendo. Muda umo au unahesabiwa katikati ya matukio.
 
Back
Top Bottom