jojoe35
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 262
- 379
- Thread starter
- #41
Mjumbe ulishia la ngap, nin maana ya muda?Wala sijawahi kufikiria hivyo ndio maana nikasema hakuna sehemu ambayo haina muda.
Hapa kama unakichwa ulitakiwa ujue ya kuwa nimefikiria zaidi ya wakubwa zako wanavyofikiria.
Wala sikuzingatia saa za mkononi,sababu kwangu mimi MUDA pia ni kiumbe,ufahamu huu hata wakubwa zako hawana.
Tuendelee ....