Kuhesabu muda

Kuhesabu muda

Yani ni idea za watu tu wamepima kwamba mtikisiko huu uwe sekunde na huu uwe dakika na wakaupa jina.

Leo hii kama tusingekuwa na saa na sekunde unandani jambo gani ambalo lingesimama?
Nahic unakitu nachotafta mkuu, fungua box
 
Kadri ww unavyomshangaa nzi kwa kuishi siku7 ndivyo kuna viumbe wanavyokushangaa ww kuwepo kwa sumni chache zaidi na kutoweka,muda au wakati ni adhma isiyo na uwepo haipo...bali ufahamu ndio unaohisi uwepo wa wakati lakini adhma iyo haipo maana tulipo tupo hatusogei na chochote wala kwenda popote kwa adhma lengwa ya muda,ili kukubaliana na haya...

Mpaka leo bustani(dunia)haitambuliki ina umri upi sahihi,maana hata huko nyuma enzi kadhaa ambazo nazo hazipo tunaziongelea tu kwa adhma,miaka ilikua ikihesabiwa kurudi nyuma yaani kinyumenyume,na baadhi ya sehemu walikua wakitumia majira ya hali ya hewa yaani baridi,joto,masika n.k...ili hali tu ufahamu ume mark,lakini hamna kitu kama hiko hakipo.
126e91ff40ecc660f92fef9ca60cb590.jpg
 
Calender inayotumika sasa duniani kote ni KABLA AU BAADA YA MASIHI. nyingine zile ni za kuangalia vyumbani mwetu.leo hii ni mwaka 2017 A.D baada ya Kuzaliwa Christ. So muda wote ume base katika Ukristo au Majira ya KIKRISTO DUNIANI.


Tuko pamoja,ila humo kuna faida kubwa sana kuhusu MUDA.

Nipo ...
 
Kadri ww unavyomshangaa nzi kwa kuishi siku7 ndivyo kuna viumbe wanavyokushangaa ww kuwepo kwa sumni chache zaidi na kutoweka,muda au wakati ni adhma isiyo na uwepo haipo...bali ufahamu ndio unaohisi uwepo wa wakati lakini adhma iyo haipo maana tulipo tupo hatusogei na chochote wala kwenda popote kwa adhma lengwa ya muda,ili kukubaliana na haya...

Mpaka leo bustani(dunia)haitambuliki ina umri upi sahihi,maana hata huko nyuma enzi kadhaa ambazo nazo hazipo tunaziongelea tu kwa adhma,miaka ilikua ikihesabiwa kurudi nyuma yaani kinyumenyume,na baadhi ya sehemu walikua wakitumia majira ya hali ya hewa yaani baridi,joto,masika n.k...ili hali tu ufahamu ume mark,lakini hamna kitu kama hiko hakipo.View attachment 1075371
Yap na pia sidhani Kama kuna past time na future time ,nadhani Nazo ni just imaginary.
Hii present time tuliyonayo ndio hiihii
 
Calender inayotumika sasa duniani kote ni KABLA AU BAADA YA MASIHI. nyingine zile ni za kuangalia vyumbani mwetu.leo hii ni mwaka 2017 A.D baada ya Kuzaliwa Christ. So muda wote ume base katika Ukristo au Majira ya KIKRISTO DUNIANI.
Leo ni tarehe 14 Shaabani mwaka 1440. Hii ni kalenda yetu sisi waislamu.

Sasa hapo sijaona hoja ya msingi,wakati kila dini au nchi mathalani wachina wana kalenda yao,na sisi waislamu tuna kalenda yetu.

Lakini muda upo hata tangu mbingu na ardh na vyote vilivyomo havijaumbwa,sababu muda nao ni kiumbe.
 
Kuna kila sababu yakusema swala la muda ni kitu tulichojiwekea ila kiuhalisa "the universe has nothing like time"
Kadri ww unavyomshangaa nzi kwa kuishi siku7 ndivyo kuna viumbe wanavyokushangaa ww kuwepo kwa sumni chache zaidi na kutoweka,muda au wakati ni adhma isiyo na uwepo haipo...bali ufahamu ndio unaohisi uwepo wa wakati lakini adhma iyo haipo maana tulipo tupo hatusogei na chochote wala kwenda popote kwa adhma lengwa ya muda,ili kukubaliana na haya...

Mpaka leo bustani(dunia)haitambuliki ina umri upi sahihi,maana hata huko nyuma enzi kadhaa ambazo nazo hazipo tunaziongelea tu kwa adhma,miaka ilikua ikihesabiwa kurudi nyuma yaani kinyumenyume,na baadhi ya sehemu walikua wakitumia majira ya hali ya hewa yaani baridi,joto,masika n.k...ili hali tu ufahamu ume mark,lakini hamna kitu kama hiko hakipo.View attachment 1075371
 
Leo ni tarehe 14 Shaabani mwaka 1440. Hii ni kalenda yetu sisi waislamu.

Sasa hapo sijaona hoja ya msingi,wakati kila dini au nchi mathalani wachina wana kalenda yao,na sisi waislamu tuna kalenda yetu.

Lakini muda upo hata tangu mbingu na ardh na vyote vilivyomo havijaumbwa,sababu muda nao ni kiumbe.
Umewai fikiri kuishi mahali ambapo no counting of time? I mean ipo tu ivo hakuna asubui mchana wala jioni, jua kali,kiangaz wala masika,yani ipo tu kweupe.

Fikiria dunia yetu ingekua haizunguki jua wala mwezi obvious tungekua na maisha ya hivi coz no days no nights na tusinge tambua swala la muda,

God is so genious, nahic kuna mahali ktk universe ambao hawa experience kuhesabu muda they live forever
 
Umewai fikiri kuishi mahali ambapo no counting of time? I mean ipo tu ivo hakuna asubui mchana wala jioni, jua kali,kiangaz wala masika,yani ipo tu kweupe.

Fikiria dunia yetu ingekua haizunguki jua wala mwezi obvious tungekua na maisha ya hivi coz no days no nights na tusinge tambua swala la muda,

God is so genious, nahic kuna mahali ktk universe ambao hawa experience kuhesabu muda they live forever

Hakuna mahali ambapo hakuna muda mzee.

Kwahiyo hakuna haja ya mimi kufikiria na kufikiria hivyo ni udhaifu wa kufikiri.

Tuendelee ....
 
Kwani muda tunaouzungumzia ni nini?

Umewai fikiri kuishi mahali ambapo no counting of time? I mean ipo tu ivo hakuna asubui mchana wala jioni, jua kali,kiangaz wala masika,yani ipo tu kweupe.

Fikiria dunia yetu ingekua haizunguki jua wala mwezi obvious tungekua na maisha ya hivi coz no days no nights na tusinge tambua swala la muda,

God is so genious, nahic kuna mahali ktk universe ambao hawa experience kuhesabu muda they live forever
 
Hakuna mahali ambapo hakuna muda mzee.

Kwahiyo hakuna haja ya mimi kufikiria na kufikiria hivyo ni udhaifu wa kufikiri.

Tuendelee ....
We mvivu cjawai kuona
 
Tafta definition ya muda mzee, make naona unafikiria muda ni saa yako inavyohesabu
Hakuna mahali ambapo hakuna muda mzee.

Kwahiyo hakuna haja ya mimi kufikiria na kufikiria hivyo ni udhaifu wa kufikiri.

Tuendelee ....
 
So kiuhalisia mzunguko wa dunia ktk muhimili wake unaoleta mchana na usiku, kiangazi na masika, joto na baridi na misimu mingine ndicho huunda MUDA

Kwa maana nyingine bila huo mzunguko hakuna muda
Kwani muda tunaouzungumzia ni nini?
 
We mvivu cjawai kuona
Tatizo najua mipaka yangu,hata wakubwa zako hawawezi kuthibitisha ya kuwa hakuna sehemu ambayo haina muda.

Kutokujua mipaka yako ndio uvivu wa kufikiri.

Leo ni sawa sawa na wewe ufikiri namna ya kuzuia kifo. Hata ufikiria vipi kifo hakizuiliki sasa ndio utajua kati yangu mimi na wewe nani mvivu.

Nipo ....
 
Wala sijawahi kufikiria hivyo ndio maana nikasema hakuna sehemu ambayo haina muda.

Hapa kama unakichwa ulitakiwa ujue ya kuwa nimefikiria zaidi ya wakubwa zako wanavyofikiria.

Wala sikuzingatia saa za mkononi,sababu kwangu mimi MUDA pia ni kiumbe,ufahamu huu hata wakubwa zako hawana.

Tuendelee ....
Tafta definition ya muda mzee, make naona unafikiria muda ni saa yako inavyohesabu
 
Back
Top Bottom