mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #41
Niliwahi kukisia uwezo wako kiakili ila sikuhitimisha kuwa ni mdogo namna hii, tangu dunia ianze [ukiacha ile stori ya Yesu]…. ulisikia wapi wafu kufufuka katika maisha halisi?
Kama nimeweka uzi hapo tujadili kinachoendelea badala ya kuja na hoja unakuja na maneno matupu lazima wewe utakua na akili fupi kuliko mkia wa sungura
Issue zinazohusu jamii hujadiliwa kwa hoja na watu kuelimika na sio kuja na blahblah