mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Niliwahi kuweka Uzi huku nikiuliza huyu mtumishi ni mtu wa aina gani, na kwa kuwa mimi napenda kufuatilia mafundisho mbalimbali yenye tija nimegundua
1. Kuhani Musa Richard Mwacha ni mtumishi wa Mungu na Mwalimu mzuri sana katika nyakati hizi kwa jamii yetu, ana mvuto au haiba ambayo inaweza kuhamasisha watu kumsikiliza na kubadilika au kufanya mambo ambayo wasingefanya
Idadi ya wafuasi wanaofika ibadani ni kubwa
2. Mtumishi wa Mungu anayewakumbusha watawala kutenda haki kila Wakati
3. Ana uwezo mkubwa sana katika kuyachambua maisha ya mwanadamu kuyaelezea katika uhalisia kwenye ulimwengu tunaouona hata ule wa kiroho.
Kwa habari ya Ukristo na Mungu mmoja vs miungu wengi (baba, Mwana Yesu na Roho Mtakatifu)
Kuhusu taratibu na desturi mbaya zinazoingiza jamii kwenye majanga bila kujua
Maiti ni kitu cha heshma, cha kuogopwa na najisi
Waislamu wako sahihi kutokukaa na maiti muda mrefu
4. Hajawahi Kukaa kimya kwenye maovu yanayoendelea kufanyika kwenye jamii yetu
Mkesha kulaani ushoga na panyaroad
5. Mambo magumu anayofanya kwa nguvu ya Mungu iliyo ndani yake
Kweli adui wa mtu ni wa nyumbani kwake
Shekhe anasema amejifunza kitu kwamba usijitenge na watu
Furaha ya Shekhe akimuimbia Yesu asiyezuilika baada ya mwanae kupona
6. Msimamo wake kwenye swala la ushoga na usagaji
Fuatilia zaidi kuanzia dakika 3:55:44
7. Habari nilizowahi kuzisoma na kuziskia kama hadithi
Dunia ina mambo hii
Niliwahi kuja na Uzi huu pia
1. Kuhani Musa Richard Mwacha ni mtumishi wa Mungu na Mwalimu mzuri sana katika nyakati hizi kwa jamii yetu, ana mvuto au haiba ambayo inaweza kuhamasisha watu kumsikiliza na kubadilika au kufanya mambo ambayo wasingefanya
Idadi ya wafuasi wanaofika ibadani ni kubwa
2. Mtumishi wa Mungu anayewakumbusha watawala kutenda haki kila Wakati
3. Ana uwezo mkubwa sana katika kuyachambua maisha ya mwanadamu kuyaelezea katika uhalisia kwenye ulimwengu tunaouona hata ule wa kiroho.
Kwa habari ya Ukristo na Mungu mmoja vs miungu wengi (baba, Mwana Yesu na Roho Mtakatifu)
Kuhusu taratibu na desturi mbaya zinazoingiza jamii kwenye majanga bila kujua
Maiti ni kitu cha heshma, cha kuogopwa na najisi
Waislamu wako sahihi kutokukaa na maiti muda mrefu
4. Hajawahi Kukaa kimya kwenye maovu yanayoendelea kufanyika kwenye jamii yetu
Mkesha kulaani ushoga na panyaroad
5. Mambo magumu anayofanya kwa nguvu ya Mungu iliyo ndani yake
Kweli adui wa mtu ni wa nyumbani kwake
Shekhe anasema amejifunza kitu kwamba usijitenge na watu
Furaha ya Shekhe akimuimbia Yesu asiyezuilika baada ya mwanae kupona
6. Msimamo wake kwenye swala la ushoga na usagaji
Fuatilia zaidi kuanzia dakika 3:55:44
7. Habari nilizowahi kuzisoma na kuziskia kama hadithi
Dunia ina mambo hii
Niliwahi kuja na Uzi huu pia
Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu. Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka...
www.jamiiforums.com