Mussa_hassan
Member
- Oct 6, 2017
- 51
- 41
Mi naomba kuuliza, kabla ya kuajiriwa kwenye ualimu nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni za clearing and forwarding kwa muda wa miaka mitatu.
Sasa je, inawezekana kweli nikaomba kuhamia TASAC kutokana na experience yangu nikakubaliwa?
Au kuna vigezo gani vya ziada vitahitajika ili niweze kukubaliwa?
Sasa je, inawezekana kweli nikaomba kuhamia TASAC kutokana na experience yangu nikakubaliwa?
Au kuna vigezo gani vya ziada vitahitajika ili niweze kukubaliwa?