azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 875
- 1,306
Kabisa
Ukiwaza usaliti unavunga ila ukiwaza ile iphone 14 jinsi ambavyo ulikuwa unaipenda ila ukajikana nafsi ukamnunulia yeye ila ndio hio kaitumia kuchati na mwizi mpaka wamefikia kulana. Unaona shabashIla kweli wanaume hatuumii kugongewa mke machungu unatoboka cash kumtunza mkeo kitu kinakuja kuipiga burebure
Labda una akili kumzidi baba yako tuNdo maana mlisisitizwa kutumia akili, tuna akili kuwazidi nyie
Kwa nini?Ukigongewa juwa siku zako za kuishi zinakaribia kuisha
Wamei master kwa wanaume mabwegeUko sahihi kabisa tunachotakiwa wanaume kuacha kufunganisha nafsi zetu na sehemu za siri za wake zetu, tukiweza fundisha akili zetu ktk hili ziweze kuignore tutajikuta tunaishi maisha marefu mpaka tunaona wajukuu na vitukuu vyetu ila tukifatilia tutaishia kuona watoto wetu alafu wajukuu na vitukuu utavisikia ukiwa kaburini ni mkeo pekee tu ndo ataviona, hii technique wanawake wameimaster sana
mwanamke anachanganyikiwa mno usipoonesha kumfuatilia sana wala kumuonea wivu wa kijinga. Sanaaaaa!
hata akiwaona vitukuu haiumi hataaaaHakuna mwenye akili timamu wa kujiua kisa uchi wa mwanamke, tena wa karne hii. Wanawake wazuri ni wengi na uchi ni verrrrry cheap. UsijidanganyeMkitukosea mara nyingi huwa tunasema tumesamehe ila sio kweli, na hapo ndo kuchepuka kunaanza,
Kama ni kuchepuka chepukeni muwezavyo
Kupiga pigeni mutakavyo
Kutukana tukaneni mtakavyo ila mioyo yetu ikichoka utaitatuta kamba ujitoe roho yako,
Ishini nasi kwa akili kama hauna usioe
Hehehe siku hizi ndo mnaongoza kwa kujiua na kujiliza sababu ya chiu zetu akili hamnazo,Hakuna mwenye akili timamu wa kujiua kisa uchi wa mwanamke, tena wa karne hii. Wanawake wazuri ni wengi na uchi ni verrrrry cheap. Usijidanganye
Walizidiwa akina Adam, Samson, Suleiman, Daudi nk ije kuwa wewe kima wa kizazi hiki😂😂😂😂😂pwahahahahaLabda una akili kumzidi baba yako tu

Uchi unajua kuwa ni 2000 tu?Hehehe siku hizi ndo mnaongoza kwa kujiua na kujiliza sababu ya chiu zetu akili hamnazo,


"Walizidiwa akina Adam, Samson, Suleiman, Daudi "Walizidiwa akina Adam, Samson, Suleiman, Daudi nk ije kuwa wewe kima wa kizazi hikipwahahahaha






huna maajabu yoyote ya kutoshindwa na me! Umejaa ugali kichwani mpaka miguuni

ila ndio hio kaitumia kuchati na mwizi
Kwa povu hili wewe kujiua sababu ya kei ni suala la muda tu"Walizidiwa akina Adam, Samson, Suleiman, Daudi "
Kumbe hata kusoma biblia uko loose, hujui kusoma kwa ufahamu.
Suleiman na Daudi walizidiwaje akili na wanawake? Tuanzia hapo, na utoe maandiko kabisa kuthibitisha.
Pili, mbona huongelei mwamba iliyokuja kufuta hiyo dhambi ya Adam yaani YESU, unadhani why huyu hakushindwa na ke yeyote mpaka akatimiza mission yake?
Tukija kwa Paulo, Petro na miamba kama Yusufu, why hawa hawakushindwa na ke?
Yusufu alimshinda ke, tena mzuri mke wa mtawala mkubwa, aliyenawiri kwa kulishwa vizuri(siyo mla ugali maharage kama wewe)
Sembuse wewe mla ugali mtindi?huna maajabu yoyote ya kutoshindwa na me! Umejaa ugali kichwani mpaka miguuni
![]()
Never ever. Kwanza siyo mshamba wa k! Nishazichapa sana za kila aina.Kwa povu hili wewe kujiua sababu ya kei ni suala la muda tu


hakuna kipya kwanguWasio washamba huwa hawajielezi sanaNever ever. Kwanza siyo mshamba wa k! Nishazichapa sana za kila aina.hakuna kipya kwangu
Ni kama mimi tu, nimetumia mistari mi3 tu badala ya page nzima.Wasio washamba huwa hawajielezi sana
Huna loloteNi kama mimi tu, nimetumia mistari mi3 tu badala ya page nzima.
Sina lolote ndiyo ila hakuna kipya kwangu kuhusu kHuna lolote
nashukuru tu siyo mshamba wa k. Na hata mwanangu nitamfunza azichakaze za kila aina ili azizoee kabisa.