lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,429
- 25,665
Niliwahi kuomba humu turekebishe katiba na tubaki na mihimili miwili tu ya dola.
Hatuwezi kuwa na kikundi cha watu waliojikusanya sehemu moja na kuzitafuna sawasawa kodi za wavuja jasho wa nchi hii bila manufaa yoyote yale!
Ni aibu, pesa wanazolipwa hawa wabunge pamoja na mishahara ya wafanyakazi wote wa bunge tungeweza kuzitumia kuwapelekea maji na huduma nyingi huko vijijini.
Lile jengo tukufu linaweza kubaki kwaajili ya vitukuu wetu kama ukumbusho tu!
Hatuwezi kuwa na kikundi cha watu waliojikusanya sehemu moja na kuzitafuna sawasawa kodi za wavuja jasho wa nchi hii bila manufaa yoyote yale!
Ni aibu, pesa wanazolipwa hawa wabunge pamoja na mishahara ya wafanyakazi wote wa bunge tungeweza kuzitumia kuwapelekea maji na huduma nyingi huko vijijini.
Lile jengo tukufu linaweza kubaki kwaajili ya vitukuu wetu kama ukumbusho tu!