Kufutwa kwa matokeo ya Urais Kenya ndio kuwafanye wabunge wetu wa upinzani wavae suti nyeusi?

Heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mzee wa Bakora mimi wala huwa haniumizi kichwa maana najua nae kakalia kuti KAVU
 
Ndio maana quinine ilipigwa marufuku. It is not fit for human consumption. Mwambieni lowasa kwanza aache kuingilia siasa zao then mrudi kwa ndugai. Wapinzani mpo kama vidaka tonge. Kutwa kucha kuvizia kauli za viongozi na kuleta upotoshaji humu.
Mbona unatokwa povu we ndugai!?
Kwani umesemaje huko bungeni?
 
Walinzi wa Mirembe kwanini hawapo makini? Ona sasa jamaa kajaza ukurasa hapa.
 
"reiteration" ndiyo nini? Ni kweli unamaanisha "The act of repeating over and again (or an instance thereof)" au unataka kutuambia "retaliation" ambayo ina maana "Action taken in return for an injury or offence"?

Kuandika kwa ufasaha kunasaidia kushawishi watu kuchangia mada yako kwa wingi. Ulipaswa pia kueleza Ndugai kasema nini na kwanini unadhan alikosea.
 
"MBUNGE :mbona leo wapinzani wamevaa mavazi meusi au wanaomboleza kukatwah kwa mshindi Kenya?


NDUGAI:hata mimi sijui labda tuwaulize wao ndio wana majibu.


Nakumbuka hilo tu kwa bunge LA Leo.
 
Naomba wale wenye uwezo wa kumtaarifa Kenyatta juu ya kebehi hii ya spika wamtaarifu haraka. Wamwambie Kenyatta kwamba Spika na Rais wanasherehekea kufutwa kwa uchaguzi wa Kenya. Wamwambie kuwa sirikali yote ipo kwa Odinga.
 
fb_img_1504192389528-jpg.579136
 
Mtanzania hata awe hajala chakula siku tatu nzima ukimuuliza 'mambo atajibu safi'.
Hivyo hivyo ukimuuuliza Ndugai 'are you OK' atakujibu 'yes'.
Nimesikia tu juzi USA wanataka kupeleka hoja bungeni ili kumpima mambo fulani fulani rais wao, unfortunate hilo haliwezekani hapa!
Hii yakupima ni nzuri maana kuna watu wana mixer ya kiporo cha ugali na masizi kwenye cerebrum zao tusiwalaumu.
 
Huu mjadala hauna base yake. Kukosekana kwa kauli ya spika kunaufisha.
 
Wabongo bana, yaani tunatumia nguvu kuhoja kauli za mtu ambaye bado yuko kwenye tiba za magonjwa ya akili!
 
Sio kila taarifa unayoletewa mezani kwako unaweza kuisoma mbele ya bunge, nina imani kuna hoja nyingi na za msingi kabisa huwa unaletewa na kutia kapuni. Unaendesha bunge kwa misingi ya kishabiki na ubaguzi usioendana na ueledi wa majukumu yako kiongozi.

Unaelewa kabisa kua suala la Kenya liko hot hasa kwenye kanda yetu ya Maziwa makuu na dunia kwa ujumla. Taarifa uliyoletewa na mbunge kuuliza kwanini wabunge wa upande flani wamevalia suti nyeusi? Kufutwa kwa matokeo ya Urais Kenya ndio kuwafanye wabunge wetu wa upinzani wavae suti nyeusi? Wewe Kenya umeona hata mfuasi mmoja wa Jubilee amevaa nguo yeyote nyeusi?

Umeletewa taarifa iliyojaa unafki,uchonganishi na ufitini na wewe ukapoteza muda wa bunge kuisoma hivyo hivyo. Unafikiri wenzetu wa Kenya wakilisikia hili wanajisikiaje? Kumbe yaliyowatokea wenzetu 2007 kuna watu hakuguswa kabisa.


Badala ya wewe kusimama na kukemea upuuzi huu au kuitupa taarifa hiyo wewe unapoteza muda kuisoma kishabiki. Yaani mtu kama Lusinde au Msukuma akuletee taarifa kama hiyo na uisome, hivi jamii itakuchukuliaje jamani?


Tumewachokoza wakenya hasa Rais aliyekalia kiti hivi sasa, uchokozi tunawafanyia kwa kuingiza siasa zetu uchwara, baadaye muda utazungumza.
hizo ni imagination zako tu mkuu, ni kama mie ninavyokiria ni sababu ya wale wabunge walioenguliwa na propesa hivyo wanaomboleza kuwakosa wenzao
 
Sio kila taarifa unayoletewa mezani kwako unaweza kuisoma mbele ya bunge, nina imani kuna hoja nyingi na za msingi kabisa huwa unaletewa na kutia kapuni. Unaendesha bunge kwa misingi ya kishabiki na ubaguzi usioendana na ueledi wa majukumu yako kiongozi.

Unaelewa kabisa kua suala la Kenya liko hot hasa kwenye kanda yetu ya Maziwa makuu na dunia kwa ujumla. Taarifa uliyoletewa na mbunge kuuliza kwanini wabunge wa upande flani wamevalia suti nyeusi? Kufutwa kwa matokeo ya Urais Kenya ndio kuwafanye wabunge wetu wa upinzani wavae suti nyeusi? Wewe Kenya umeona hata mfuasi mmoja wa Jubilee amevaa nguo yeyote nyeusi?

Umeletewa taarifa iliyojaa unafki,uchonganishi na ufitini na wewe ukapoteza muda wa bunge kuisoma hivyo hivyo. Unafikiri wenzetu wa Kenya wakilisikia hili wanajisikiaje? Kumbe yaliyowatokea wenzetu 2007 kuna watu hakuguswa kabisa.


Badala ya wewe kusimama na kukemea upuuzi huu au kuitupa taarifa hiyo wewe unapoteza muda kuisoma kishabiki. Yaani mtu kama Lusinde au Msukuma akuletee taarifa kama hiyo na uisome, hivi jamii itakuchukuliaje jamani?


Tumewachokoza wakenya hasa Rais aliyekalia kiti hivi sasa, uchokozi tunawafanyia kwa kuingiza siasa zetu uchwara, baadaye muda utazungumza.
mbona hukumshauri lowassa asijiingize kwenye siasa za wakenya
shame on you

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom