Top not aboveMengine tumuonee huruma tu mkuu. Maagizo from above.
Najibu moja tuu mengine sijui. Kesi iliisha kwa jamaa kuteuliwa DC.Sorry, Out of topic.
Hivi Kipindi kile anaumwa alikua akiumwa nini??
Na ile kesi ya kumpiga Mgombea mwenzake ndani ya CCM iliishaje??
Sababu gani zilimfanya akaachiwa??
Msaada please
duuuuuh kanyamazishwaNajibu moja tuu mengine sijui. Kesi iliisha kwa jamaa kuteuliwa DC.
Spika dishi limeyumbaSio kila taarifa unayoletewa mezani kwako unaweza kuisoma mbele ya bunge, nina imani kuna hoja nyingi na za msingi kabisa huwa unaletewa na kutia kapuni. Unaendesha bunge kwa misingi ya kishabiki na ubaguzi usioendana na ueledi wa majukumu yako kiongozi.
Unaelewa kabisa kua suala la Kenya liko hot hasa kwenye kanda yetu ya Maziwa makuu na dunia kwa ujumla. Taarifa uliyoletewa na mbunge kuuliza kwanini wabunge wa upande flani wamevalia suti nyeusi? Kufutwa kwa matokeo ya Urais Kenya ndio kuwafanye wabunge wetu wa upinzani wavae suti nyeusi? Wewe Kenya umeona hata mfuasi mmoja wa Jubilee amevaa nguo yeyote nyeusi?
Umeletewa taarifa iliyojaa unafki,uchonganishi na ufitini na wewe ukapoteza muda wa bunge kuisoma hivyo hivyo. Unafikiri wenzetu wa Kenya wakilisikia hili wanajisikiaje? Kumbe yaliyowatokea wenzetu 2007 kuna watu hakuguswa kabisa.
Badala ya wewe kusimama na kukemea upuuzi huu au kuitupa taarifa hiyo wewe unapoteza muda kuisoma kishabiki. Yaani mtu kama Lusinde au Msukuma akuletee taarifa kama hiyo na uisome, hivi jamii itakuchukuliaje jamani?
Tumewachokoza wakenya hasa Rais aliyekalia kiti hivi sasa, uchokozi tunawafanyia kwa kuingiza siasa zetu uchwara, baadaye muda utazungumza.