johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Hili nalisema kiimani Zaidi kwa Sababu Maombi siyo swala la Siasa au mizaha
Pale Anglikana kwa mfano kila Jumapili Litugia yao ina Vifungu Vya Maombezi na Moja ya kifungu hicho ni kumuombea Rais wa JMT na Wasaidizi wake.
Pale kwenye Wasaidizi wa Rais pamewekwa ( hasa......) ambapo mchungaji atamtaja kwa jina Kiongozi mwenye Uhitaji maalumu wakiwemo Wagonjwa na Walio Safarini
Sasa kama Ratiba za Viongozi hazijulikani basi anaombewa Rais na Mawaziri wanaoswali pale tu mfano St Albans watamtaja Mkuchika, Ndugai na Kabudi basi
Nitoe wito hasa kwa Dr Tulia PhD aliyeomba tuwe tunawaombea basi wasisahau kutujulisha mahitaji yao maalumu ya kuyaweka kwenye Maombi
Ahsanteni sana!
Pale Anglikana kwa mfano kila Jumapili Litugia yao ina Vifungu Vya Maombezi na Moja ya kifungu hicho ni kumuombea Rais wa JMT na Wasaidizi wake.
Pale kwenye Wasaidizi wa Rais pamewekwa ( hasa......) ambapo mchungaji atamtaja kwa jina Kiongozi mwenye Uhitaji maalumu wakiwemo Wagonjwa na Walio Safarini
Sasa kama Ratiba za Viongozi hazijulikani basi anaombewa Rais na Mawaziri wanaoswali pale tu mfano St Albans watamtaja Mkuchika, Ndugai na Kabudi basi
Nitoe wito hasa kwa Dr Tulia PhD aliyeomba tuwe tunawaombea basi wasisahau kutujulisha mahitaji yao maalumu ya kuyaweka kwenye Maombi
Ahsanteni sana!