Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Asante sana Mkuu invisible kwa mabadiliko haya. Pia tunashukuru wengine tutapata access ya jukwaa la dini, na kuwa kutakuwa na taratibu general na specific kwa jukwaa hilo. Ni ukweli usiopingika kuwa masuala ya dini ni sensitive sana. Kwa mantiki hii wachangiaji ni lazima wawe na mipaka ya maneno (abusive words kwa dini). Sasa hapa kama ni kufungiwa naamini namba ya lockups itaongezeka (that is my prediction). Kwa upande wa mambo ya kikubwa naomba libakie private tu ila kule nako kuwe na mambo ambayo siyo yanayozidi mipaka ya binadamu. Yaani let us make our JF forum na majukwaa yake user friendly i.e palatable to majority. Binafsi sijaingia majukwa yote mawili (Dini na mambo ya kikubwa) ila I believe kulikuwa na hot debates!!!
Nawapongeza Next Level na Maxishimba kuwa mods wa awali kwa jukwa hili. Pia itapendeza kama mods watakuwa wa pande zote tatu tunazoamini i.e majority believers(muslims, christians and pagans), hii itasaidia moderation ya threads and posts kwani mods watakuwa kama wataalam katika filtering (hili ni wazo langu tu).
Nitafurahi kama our JF itaendelea kuwa jukwa la jamii na amani kama ilivyokuwa kabla ya jukwaa la dini kuwa public.All the best with the changes/modifications!!!!
Nawapongeza Next Level na Maxishimba kuwa mods wa awali kwa jukwa hili. Pia itapendeza kama mods watakuwa wa pande zote tatu tunazoamini i.e majority believers(muslims, christians and pagans), hii itasaidia moderation ya threads and posts kwani mods watakuwa kama wataalam katika filtering (hili ni wazo langu tu).
Nitafurahi kama our JF itaendelea kuwa jukwa la jamii na amani kama ilivyokuwa kabla ya jukwaa la dini kuwa public.All the best with the changes/modifications!!!!