Mimi baada ya kuishi na mwanamke kwa miaka 8 na kupata watoto wawili akataka tufunge ndoa ,ila nibadili dini niwe mkristo mi nimegoma ,ingawa watoto anawapeleka kanisani siku moja moja hiyo sio inshu Sana kwangu,tumefunga ndoa ya bomani,ila sijiskii kama nimeoa au nina Mke,tunaishi mbalimbali kwa muda mrefu ,siku moja nipo nae anadiss eti ndoa gani ile haina hata shamramshara Ili watu wamjue kama yeye ni Mke wa fulani,nikamwambia wewe mwanamke umegoma kubadili dini na Mimi siwezi kubadili dini na kama unaona ndoa haina maana na wewe ndo uliitaka utajijua mwenyewe sitaki kelele, ni hivi haya Maisha bora mtu uishi mwenyewe tu ukiwa na hamu tafuta malaya gonga kalale na si kumfuga mwanamke ndani ni mateso tu