Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
Kwanini? Mgogoro unakua kwenye nini hasa?Maana yake, mtakua na mgogoro wa ndoa usokwisha maisha yenu yote mpaka mkiachana .
Kwanini? Mgogoro unakua kwenye nini hasa?Maana yake, mtakua na mgogoro wa ndoa usokwisha maisha yenu yote mpaka mkiachana .
Dah!! Hapo napo kunahusika, upande wa ndugu zake itakua kashesheSasa kwa Imani yake, si itakua anahesabika kuwa anazini tu?
Ndoa ni yako mzee baba hebu we ifanyie maamuzi, ukiona unaweza kuishi nae haya, ila usimind ukiitwa kafiri.
Mnatishana tu.!! Mi mzee wangu kafunga hiyo ndoa ya Bomani tangia enzi hizo mpaka leo anazeeka na Mkewe na wana watoto vizuriKama hmajelewana nani amfuate nani, jamaa acha kabisa hiyo ndo utapata matatizo mbeleni halafu uje useme wanawake wabay.
Hakuna ndoa hapo, utapata shida sana badae. Kama hataki siyo tu kubadilisha dini lakini hata kuingia kanisani kufunga ndoa then aendelee na imani yake basi hafai kuwa ubavu. Kaa mbali na bom hilo.Wadau kuna mrembo flani hivi ni muislamu ila tumeelewana sana na tunatamani tuishi kama mume na mke, mm ni mkristo. Tatizo la huyo manzi hataki kubadili dini na ameshauri kama tukikibalina kuishi pamoja basi tukafunge ndoa kwa mkuu wa wilaya. Nawaza sana kuikabidhi ndoa yangu kwa mkuu wa wilaya badala ya kumkabidhi Mungu. Nilitamani sana tufunge ndoa kanisani halafu baada ya ndoa kila mmoja aendelee na dini yake ila manzi kagoma.
La pili nilitaka uzoefu wenu kuhusu kuishi na mwenza wako akiwa ni dini tofauti, nawaza pia watoto wanaweza kumfwata mama yao kwenye dini yake wakati mm natamani wanifwate kwenye ukristo. Naombeni ushauri wadau
Ni kweli mkuu.. Ndoa ya kwa DC naona ni mtihani kwangu kiimani, naona kabisa namkabidhi DC ndoa yangu badala ya kumkabidhi Munguunaelewa kwanini umeumbwa Mwanaume.??
kwenye kila kitu hapa duniani Mwanaume ni kiongozi, ndiyo maana YESU KRISTO alikumbwa Mwanaume, Mtume MOHAMAD aliumbwa Mwanaume, Mungu hakuwa mjinga kufanya hivi..
Namaanisha kama huyo Mwanamke anakupenda kweli, na anatambua wewe ni Mwanaume, ilipaswa umpe kauli mona tu kuwa abadili dini muishi pamoja na akubali..
usifunge ndo ya kwa DC hiyo ni mahsusi kwaajili ya security ya mwanamke haswa mkitengana itamsaidia kwa nyie kugawana mali ulizochuma..
maana ya ndoa ni Mungu kuwatambua ninyi ni mwili mmoja, na hamfanyi dhambi ya uzinzi bali ni mke na mume halali..

Ukweli sijawahi muuliza kama walifunga ndoa au hawakufunga me nimemfahamu tu ukubwaniGood experience, ndoa yao waliifungia wapi?
Hayo mambo ya ndugu yatakuja baadae muhimu ni wewe na yeye....ila hapo mwanamke inakaa vema akufate weweDah!! Hapo napo kunahusika, upande wa ndugu zake itakua kasheshe
Mwache afuate uamuz wake single mother n atomic bombNadhani bora kuoa single mother kuliko mke Wa dini tofauti nayako
Acha kuforce kingi mkuu, utawasumbua watoto wako.Ndoa yako inakuwa haina radha. tafuta mwanamke atakaye kuwa dina moja na wewe.Ili siku ya jumapili muwemnaondoka kama familia ya baba,mama na watoto mnaongozana kuelekea kanisani.Kuna raha yake bro.Wadau kuna mrembo flani hivi ni muislamu ila tumeelewana sana na tunatamani tuishi kama mume na mke, mm ni mkristo. Tatizo la huyo manzi hataki kubadili dini na ameshauri kama tukikibalina kuishi pamoja basi tukafunge ndoa kwa mkuu wa wilaya. Nawaza sana kuikabidhi ndoa yangu kwa mkuu wa wilaya badala ya kumkabidhi Mungu. Nilitamani sana tufunge ndoa kanisani halafu baada ya ndoa kila mmoja aendelee na dini yake ila manzi kagoma.
La pili nilitaka uzoefu wenu kuhusu kuishi na mwenza wako akiwa ni dini tofauti, nawaza pia watoto wanaweza kumfwata mama yao kwenye dini yake wakati mm natamani wanifwate kwenye ukristo. Naombeni ushauri wadau