Kweli kabisa maana polepole wa sasa si yule wa zamani hapa vitu vingine unaacha vinapita ili Maisha mengine yaendelee maana huko siko kabisa.Hivi kwa mtazamo wako tu unaona wapo sawa yule na huyu wa sasa?
mijadala yake ya hitajio la katiba mpya kipindi kile na ukosoaji wake kipindi kile kuhusu CCM na serikali yake,alafu baada ya teuzi kawa sio yuleeeee,,,wa kipindi kileeeeeee,,,!
Achana na teuzi kasomi utaisha.
Nikweli, ila siku akisema tunatembelea Magerezani nitakuwa mstari wa mbele.......si jambo baya kukusanya watoto ila tuwaze zaidi makundi yenye uhitaji kama camps za wazee, Yatima na washikaji walio JelaBasi ili kuendelea kufanikishwa mjitahidi na nyinyi kutoa chochote either pesa au zawadi kwa ajili ya Watoto.
Kweli nalo ni jambo Jema bila shaka hapa atachukua point na Siku Moja kulifanyia kazi hili.Nikweli, ila siku akisema tunatembelea Magerezani nitakuwa mstari wa mbele.......si jambo baya kukusanya watoto ila tuwaze zaidi makundi yenye uhitaji kama camps za wazee, Yatima na washikaji walio Jela
Kusanyiko hili liliwezekana kwa kubuniwa na kuratibiwa na Padre Christian Caristus Likoko Nyumayo ambapo watoto bila kujali tofauti zao za kiimani waliburudika pamoja.
Itakuwa jambo jema sanaKweli nalo ni jambo Jema bila shaka hapa atachukua point na Siku Moja kulifanyia kazi hili.
JF members kama wapo walioshirikishwa huenda watakuwa walio karibu na Mods. Hao watoto ingependeza zaidi kama ni Railway Children.Basi ili kuendelea kufanikishwa mjitahidi na nyinyi kutoa chochote either pesa au zawadi kwa ajili ya Watoto.
Mjitahidi au sote tujitahidi?Umeanza social segregation?😂😂😂😂Basi ili kuendelea kufanikishwa mjitahidi na nyinyi kutoa chochote either pesa au zawadi kwa ajili ya Watoto.
Tujitahidi 🙌🙌🙌Mjitahidi au sote tujitahidi?Umeanza social segregation?😂😂😂😂
Bila shaka Melo na crew nzima ya JF watajitahidi huenda baadae wataanza kuwashirikisha na members wengine.JF members kama wapo walioshirikishwa huenda watakuwa walio karibu na Mods. Hao watoto ingependeza zaidi kama ni Railway Children.
Tuko tayari, kuunga mkono, Bila shaka wakati ukifika utatupatia utaratibu wa sisi pia, Wana JF, jinsi kushiriki kuchangia kidogo tulichonacho.Mwaka 2022 tunatarajia kuwa na watoto zaidi ya 1,500 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar..
Tuunge mkono ukiweza!
Tunaomba na sisi members muwe mnatupa taarifa ya vitu vizuri kama hivyo mapema, ili kama tuna michango yetu tuweze kuchangia na kwa wakati.
Tugawane thawabu, natanguliza shukrani