Kufundisha vyuo vya hotel ni mtihani

Kufundisha vyuo vya hotel ni mtihani

Fata kilichokupeleka hapo chuoni.

Jali afya yako na umpendae, jihadhari.
 
Wakuu salamu humu
Mwenzenu nipo katika mtihani mkubwa Sana dhidi ya hawa wanachuo wangu wa kike
Watoto ni warembo balaa skirt wanazovaa na mikao yao darasani ninapowapigia lecture ni mitego tupu
Wanavaa skirt fupi na kukaa kihasara hasara
Baadhi wameanza mazoea kwangu kuniomba omba hela ya supu na nauli
Jamani nikianza kuwala ni kosa kwani manake wanavyonifanyia uzalendo umenishinda.
Hapo unaona unategwa! Je ungefundisha IFM, TIA, au CBE si ndio ungechanganikiwa kabisa
 
18221642_1555769717790109_4147106158594951796_n.jpg
Unamfaham huyu pastor
 
Hongera sana kwa kuwa na kazi.Ila usiitumie vibaya .Wengine wake za watu hao
 
Wakuu salamu humu
Mwenzenu nipo katika mtihani mkubwa Sana dhidi ya hawa wanachuo wangu wa kike
Watoto ni warembo balaa skirt wanazovaa na mikao yao darasani ninapowapigia lecture ni mitego tupu
Wanavaa skirt fupi na kukaa kihasara hasara
Baadhi wameanza mazoea kwangu kuniomba omba hela ya supu na nauli
Jamani nikianza kuwala ni kosa kwani manake wanavyonifanyia uzalendo umenishinda.
Kaka endelea kuwataman hao malaika ila kama kwa sasa una miaka 30 kumbuka mlinganyo huu; 30+30=60
 
Ujue mtoto wa mwenzio siyo mkubwa mwenzio bali ni mwanao. Halafu, hivi huogopi mambo ya Sodoma na Gomola? Na NENO linasema "Heri kila mume au mke awe na mwenzi wake kwa ndoa takatifu cyo kwa mawazo yako hayo. Fundisha taaluma cyo hayo mengine eti.
 
Acha kabisa! Acha! Kwanza hivyo vitoto havinaga heshima. Ukikachukua kamoja unaweza kuta kamekutangaza mji mzima oh yuko.hivi, oh ni hasara tupu, oh ni hivi...... Utapata aibu sana. Na hata kama unamwona mzuri kupindukia, katafute mwingine wa mbali na hapo. Awe anakuja kukusalimia zile saa zako za kutoka halafu mtoke naye kama vile mnapendana sana (hata kama humtaki) ili tu uwakomeshe hao. Wakishaona huwajali heshima itakuwepo
 
Niunganishe nije kufundisha hapo chuoni kwako maana patanifaa
 
we kaka..usiisahau code of conduct ya kazi yako maana ni kiapo
 
kwani wew huna mwanamke wako? ukishaanza kutembea nao hata level ya unachowafundisha itashuka darasani hataingia mtihani utampa alafu baadae anaenda kuvompete na mkenya aliekomaa na shule+advantage ya English nyie walimu ndo mnaleta matatizo watz kushindwa kucompete na foreigners virushwa vya kishenzi na tamaa zenu
 
Teaching is the noble profession....

Ndio maana kwenye hotels nyingi za hadhi ya juu wamejaa foreigners.
Hotels za hadhi ya juu ...four to five stars ni very complex business kuziendesha...
Zinahitaji at least uwe na Bachelors Degree plus years of experience....Nitajie chuo chochote hapa Tanzania kinachotoa course ya Hotel Management at Bachelors to Masters level......
Kama hakuna basi Wataalamu hao lazima watoke nje....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom