Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
1. UDOM.
Pamoja na kuwa hiki ni chuo cha Serikali lakini kumekuwa na tatizo kubwa sana la kiuongozi katika chuo hiki na kusababisha hata maadili ya Elimu kutozingatiwa. Kimekuwa mara nying kwenye kashfa ya Kusajili wanachuo wenye vigezo hafifu na baadaye pia kuwafaulisha kwa kiwango cha juu ingawa wengi wao kichwani hamna kitu na moja ya ushahidi na hawa waliorudishwa juzi juzi hapa kwa maelfu. Fikiria wale ambao walishamaliza miaka hiyo 6 iliyopita.

2.CBE
Ni chuo ambacho kinachukua watu wote ambao wanaenda kuomba kusoma. Walimu wao wengi ni walimu vijana vijana ambao bado wana utoto utoto mwingi na wengine hajui hata thamani ya elimu. Wadada warembo wengi hufahulu kwa maksi za juu sana ingawa ukikaa nao kichwan hawana content. Inasemekana kuna diploma na degree za ******* . na wengi wamekuwa wakikimbilia huko kwa sababu ya Elimu mchekea.

3. SAUT.
Huku nako walianza kufanya biashara zaidi wakajikuta wanachukua hata failures na kuwatengenezea Bridge Course/ Foundation Course ya miezi kadhaa kabla hawajaja soma Degree. Inaendeshwa kirahisi sana na watu waliokuwa wame fail wamekuwa wakisajiriwa kirahisi tu kwa kupitia hizo course.

4. Tumaini.
Hiki chuo kimekuwa na uhaba wa wakufunzi kiasi kwamba unakuta Mkufunzi wa somo husika anasafiri Mbeya, Dar ,Iringa na kupoteza muda mwingi sana. Nilimkuta mwanafunzi mmoja mwaka 2011 analalamika kuwa hawajafundishwa miezi miwili lecturer kaenda Mbeya ila kawaambia wasijali mtihani wao watafaulu.

5. Mzumbe .
Wamekuwa wakitoa Masters nyepesi sana kiasi kwamba kwa sasa watu wanakimbia UDSM KWA madai kuwa shule ya UDSM ni ngumu sana. Wengi wanakuwa Mzumbe wakifanyiwa research zao na jamaa ambao wameamua kujiajiri kwa njia hiyo.Ukienda Mabibo hostel kuna jamaa wanakaa pale kazi zao kubwa ni kuwafanyia/andalia dissertation wanafunzi wa Mzumbe kwa malipo ya 150,000-400,000 inategemeana na uzito wa kazi yenyewe. Kuna jamaa yangu anafanya kazi Shirika moja la Kimataifa alisoma pale kirahisi sana na kazi zote alikuwa anafanyiwa na jamaa waliojiajiri kuwasaidia wanafunzi wa masters.

Nmevitaja hivi kwa kuwa vipo usoni na ni vyuo vikubwa. Kuna vyuo sikutaka hata kuhangaika navyo kwa sababu hivyo ni kuvionea kwa kuwa tayari vilishashindwa mapema. Hivi nlivyotaja nmetaja kwa kuwa ni vyuo vikubwa na vyenye majina makubwa. So mtu akisema kuna chuo morogoro ,songea,mosh n.k kwa kuwa sijakitaja basi ni salama atakuwa amewaza kwa kukosea.

Sijataja kwa kuwa hivyo havina impact kubwa sana. Mama Prof Waziri Ndalichako kazi bado ni kubwa ila tunakutegemea uiokoe Elimu hii na wasomi hawa tuliokuwa nao sasa ambao kiuhalisia ni wasomi wa vyeti tu llakini ki uwezo hamna kitu na hawana mchango wowote kwa Taifa au katika jamii.
 
SAUT. huku nako walianza kufanya biashara zaidi wakajikuta wanachukua hata failures na kuwatengenezea Bridge Course/ Foundation Course ya miezi kadhaa kabla hawajaja soma Degree. Inaendeshwa kirahisi sana na watu waliokuwa wame fail wamekuwa wakisajiriwa kirahisi tu kwa kupitia hizo course.
Hii issue ya Bridging au Foundation courses ni sera ya serikali. Kama serikali isingeruhusu wasinge fanya hivyo. Serikali (wizara na TCU) ikiruhusu vyuo vilivyotayari vitatoa programs hizo. Kumbuka kulikuwa pia na special program zikilenga sana mabinti kwenye vyuo vya serikali ili watakaofaulu wadahiliwe. Kwa kuwa na vyuo vingi ni wajibu wa TCU kuwa macho, na sasa wanatoza Shs 20000 kwa kila mwanafunzi wa chuo kikuu for quality control hivyo wafanye kazi. Program au chuo kilichochini ya viwango kiwajibishwe kiwe banafsi au cha serikali. Watanzania wana deserve elimu bora.
 
Vyuo karibu vyote Tanzania vina mapungufu, hii ni kwa sababu mfumo uliyakumbatia mapungufu kwa gia ya kuongeza wasomi. Angalia kwenye ranking ndio utajua!Ila Mleta uzi sijakuelewa hapa ''So mtu akisema kuna chuo morogoro ,songea,mosh n.k kwa kuwa sijakitaja basi ni salama atakuwa amewaza kwa kukosea''
Nadhani hujakitendea haki chuo kikuu cha kilimo cha sokoine
Hiki sio chuo cha kata ni chuo cha hadhi na kinaheshimika Africa na Dunia kwa fani zake. Nenda kwenye world au Africa ranking uone vinapishana kiasi gani na UDSM!
 
1. Udom. Pamoja na kuwa hiki ni chuo cha Serikali lakini kumekuwa na tatizo kubwa sana la kiuongoz katika chuo hiki na kusababisha hata maadili ya Elimu kutozingatiwa. Kimekuwa mara nying kwenye kashfa ya Kusajili wanachuo wenye vigezo hafifu na baadaye pia kuwafaulisha kwa kiwango cha juu ingawa wengi wao kichwani hamna kitu na moja ya ushahidi na hawa waliorudishwa juzi juzi hapa kwa maelfu. Fikiria wale ambao walishamaliza miaka hiyo 6 iliyopita.

2.CBE ni chuo ambacho kinachukua watu wote ambao wnaenda kuomba kusoma. Walimu wao wengi ni walimu vijana vijana ambao bado wana utoto utoto mwing na wengine hajui hata thaman ya elimu. Wadada warembo wengi huwafaulu kwa maksi za juu sana ingawa ukikaa nao kichwan hawana content. Inasemekana kuna diploma na degree za ******* . na wengi wamekuwa wakikimbilia huko kwa sababu ya Elimu mchekea

3. SAUT. huku nako walianza kufanya biashara zaidi wakajikuta wanachukua hata failures na kuwatengenezea Bridge Course/ Foundation Course ya miezi kadhaa kabla hawajaja soma Degree. Inaendeshwa kirahisi sana na watu waliokuwa wame fail wamekuwa wakisajiriwa kirahisi tu kwa kupitia hizo course.

4. Tumaini. Hiki chuo kimekuwa na uhaba wa wakufunzi kiasi kwamba unakuta Mkufunzi wa somo husika anasafiri Mbeya, Dar ,Iringa na kupoteza muda mwingi sana. Nlimkuta mwanafunzi mmoja mwaka 2011 analalamika kuwa hawajafundishwa miezi miwili lecturer kaenda Mbeya ila kawaambia wasijali mtihani wao watafaulu.

5. Mzumbe . wamekuwa wakitoa Masters nyepes sana kiasi kwamba kwa sasa watu wanakimbia UDSM KWA madai kuwa shule ya Udsm ni ngumu sana. Wengi wanakuwa Mzumbe wakifanyiwa research zao na jamaa ambao wameamua kujiajiri kwa njia hiyo.ukienda mabibo hostel kuna jamaa wanakaa pale kazi zao kubwa ni kuwafanyia/andalia dissertation wanafunzi wa mzumbe kwa malipo ya 150,000-400,000 inategemeana na uzito wa kazi yenyewe. Kuna jamaa yangu anafanya kazi Shirika moja la Kimataifa alisoma pale kirahisi sana na kazi zote alikuwa anafanyiwa na jamaa waliojiajiri kuwasaidia wanafunzi wa masters.

Nmevitaja hivi kwa kuwa vipo usoni na ni vyuo vikubwa. Kuna vyuo sikutaka hata kuhangaika navyo kwa sababu hivyo ni kuvionea kwa kuwa tayari vilishashindwa mapema. Hivi nlivyotaja nmetaja kwa kuwa ni vyuo vikubwa na vyenye majina makubwa. So mtu akisema kuna chuo morogoro ,songea,mosh n.k kwa kuwa sijakitaja basi ni salama atakuwa amewaza kwa kukosea. Sijataja kwa kuwa hivyo havina impact kubwa sana. Mama Prof Waziri Ndalichako kazi bado ni kubwa ila tunakutegemea uiokoe Elimu hii na wasomi hawa tuliokuwa nao sasa ambao kiuhalisia ni wasomi wa vyeti tu llakini ki uwezo hamna kitu na hawana mchango wowote kwa Taifa au katika jamii.
Ulitakiwa utuambie na vyuo vinavyoboresha elimu ya juu
 
Udom nakataa aiseee
Kina mapungufu yake mkuu hatubishi japo mtoa mada kaongeza chumvi kusema watu wanaingia kwa ufaulu mdogo na kumaliza na ufaulu mkubwa. SI KWELI. Hakuna GPA za kupeana UDOM na vigezo vinavyotumika ktk udahili kwa mujibu wa TCU ndio hutumika pale. Zikiachwa siasa za ajabu ajabu na matatizo ya kiutawala yaliyofugwa na serikali iliyopita, itachukua muda wa miaka michache kudhihirisha kuwa kile ni chuo bora kabisa.
 
Mada uliyotoa haitaji suluhisho ni kwa namna gani paboreshwe.Haisemi elimu hasa ni nini na muafaka ni upi.
 
Kina mapungufu yake mkuu hatubishi japo mtoa mada kaongeza chumvi kusema watu wanaingia kwa ufaulu mdogo na kumaliza na ufaulu mkubwa. SI KWELI. Hakuna GPA za kupeana UDOM na vigezo vinavyotumika ktk udahili kwa mujibu wa TCU ndio hutumika pale. Zikiachwa siasa za ajabu ajabu na matatizo ya kiutawala yaliyofugwa na serikali iliyopita, itachukua muda wa miaka michache kudhihirisha kuwa kile ni chuo bora kabisa.
Moja ya reason ya kutafuta history ya sehem ni pamoja na kutokuwa na bias katika taarifa na ufanye research sasa mtoa mada kakurupuka kutoka huko alipotoka na kuja bila data sahihi
 
1. UDOM.
Pamoja na kuwa hiki ni chuo cha Serikali lakini kumekuwa na tatizo kubwa sana la kiuongoz katika chuo hiki na kusababisha hata maadili ya Elimu kutozingatiwa. Kimekuwa mara nying kwenye kashfa ya Kusajili wanachuo wenye vigezo hafifu na baadaye pia kuwafaulisha kwa kiwango cha juu ingawa wengi wao kichwani hamna kitu na moja ya ushahidi na hawa waliorudishwa juzi juzi hapa kwa maelfu. Fikiria wale ambao walishamaliza miaka hiyo 6 iliyopita.

2.CBE
ni chuo ambacho kinachukua watu wote ambao wnaenda kuomba kusoma. Walimu wao wengi ni walimu vijana vijana ambao bado wana utoto utoto mwing na wengine hajui hata thaman ya elimu. Wadada warembo wengi huwafaulu kwa maksi za juu sana ingawa ukikaa nao kichwan hawana content. Inasemekana kuna diploma na degree za ******* . na wengi wamekuwa wakikimbilia huko kwa sababu ya Elimu mchekea

3. SAUT.
huku nako walianza kufanya biashara zaidi wakajikuta wanachukua hata failures na kuwatengenezea Bridge Course/ Foundation Course ya miezi kadhaa kabla hawajaja soma Degree. Inaendeshwa kirahisi sana na watu waliokuwa wame fail wamekuwa wakisajiriwa kirahisi tu kwa kupitia hizo course.

4. Tumaini.
Hiki chuo kimekuwa na uhaba wa wakufunzi kiasi kwamba unakuta Mkufunzi wa somo husika anasafiri Mbeya, Dar ,Iringa na kupoteza muda mwingi sana. Nlimkuta mwanafunzi mmoja mwaka 2011 analalamika kuwa hawajafundishwa miezi miwili lecturer kaenda Mbeya ila kawaambia wasijali mtihani wao watafaulu.

5. Mzumbe .
wamekuwa wakitoa Masters nyepes sana kiasi kwamba kwa sasa watu wanakimbia UDSM KWA madai kuwa shule ya UDSM ni ngumu sana. Wengi wanakuwa Mzumbe wakifanyiwa research zao na jamaa ambao wameamua kujiajiri kwa njia hiyo.ukienda mabibo hostel kuna jamaa wanakaa pale kazi zao kubwa ni kuwafanyia/andalia dissertation wanafunzi wa mzumbe kwa malipo ya 150,000-400,000 inategemeana na uzito wa kazi yenyewe. Kuna jamaa yangu anafanya kazi Shirika moja la Kimataifa alisoma pale kirahisi sana na kazi zote alikuwa anafanyiwa na jamaa waliojiajiri kuwasaidia wanafunzi wa masters.

Nmevitaja hivi kwa kuwa vipo usoni na ni vyuo vikubwa. Kuna vyuo sikutaka hata kuhangaika navyo kwa sababu hivyo ni kuvionea kwa kuwa tayari vilishashindwa mapema. Hivi nlivyotaja nmetaja kwa kuwa ni vyuo vikubwa na vyenye majina makubwa. So mtu akisema kuna chuo morogoro ,songea,mosh n.k kwa kuwa sijakitaja basi ni salama atakuwa amewaza kwa kukosea.

Sijataja kwa kuwa hivyo havina impact kubwa sana. Mama Prof Waziri Ndalichako kazi bado ni kubwa ila tunakutegemea uiokoe Elimu hii na wasomi hawa tuliokuwa nao sasa ambao kiuhalisia ni wasomi wa vyeti tu llakini ki uwezo hamna kitu na hawana mchango wowote kwa Taifa au katika jamii.
Kwa Mzumbe unachoOngea siyo kweli.
Nimemaliza mwaka jana Bachelor na hivi sasa nasoma Masters hucho kitu hakipo.
Plz embu fanya research again na utupe Critical Evidence na siyo Application ya siasa kila mahali mpaka kwenye mambo ya msingi kama haya.
Epuka kutoa taarifa zisizo na Ushahidi unaoEleweka plus chuku binafsi dhidi ya chuo fulani.

We need Evidence from yuir source siyo mtu unalala unaAmka nakuja kutoa Povu
 
Back
Top Bottom