Ni Ngumu kwa sababu jamaa aliovatake na Majina Tofauti Vyuoni huwa hawaombi Vyeti vya Darasa la 7 ninamiini hata Mimi Trol JF nikichukua Vyeti vyako Nikaenda kusoma Certificate Ardhi Na Diploma nikaja Kufanya Admission UDSM completely hawataweza Kunitambua Pale unapokua na nafasi kubwa hasa za Kisiasa ndo Unaumbuka. kwa sababu watu wa mtaani kwako au kijijini kwenu wanakujua kwa sura na Majina yako ya awali hasa classmates wa Darasa la 7.Baraza La Seneti La Muccobs
Tunategemea Wachukue Desa La Mzumbe Watangaze Kuwa Bashite Kavuliwa Degree Yake Wakati Vyombo Vikusuasua Kuchukua Hatua
Porque dices que vete a la mierda partido verde? Quien te ha dicho que este era objetivo del partido?Vip kuhusu bashite? SHERIA INA MACHO POLENI SANA.
NI MUDA WA KULA BATA MAKADA WA CCM WALE WENZANGU NA MM. MTAKOMA
Vete a la mierda partido verde
Nancy Kamuzora alipata division one form fourmzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...
watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii
mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy
Nancy Kamuzora alipata division one form four
Off point! Matokeo ya la 7 sio miongoni mwa sifa au vigezo vya kujiunga na degree hence masters. Kinyume na STD. VII, F.IV ni miongoni mwa sifa. Kama "alifanya manuva" akaingia bila sifa imekula kwake; anatakiwa avuliwe haraka sana hata kama ni PhD; unless ni ya heshima.kweli haki mkuu?
Ndio la 7 nilifeli nikafanya manuva nikaenda kidato nikafaulu mpaka Masters uje univue kisa nilifeli la 7??
Now you're talking! Kimsingi haitakiwi kuwa hivyo na inaonesha jinsi kulivyo na udhaifu mkubwa katika vyombo na mifumo yetu mbali mbali. Inatakiwa watu wadakwe mapema wanapojaribu forgery za aina ya Bashite na nyinginezo badala ya kusubiria mpaka awe "mtu mkubwa". Well, aliweza kufanya manuva akafika hapo alipo sawa; na wakati alipoteuliwa hapakuwa na vetting?Ni Ngumu kwa sababu jamaa aliovatake na Majina Tofauti Vyuoni huwa hawaombi Vyeti vya Darasa la 7 ninamiini hata Mimi Trol JF nikichukua Vyeti vyako Nikaenda kusoma Certificate Ardhi Na Diploma nikaja Kufanya Admission UDSM completely hawataweza Kunitambua Pale unapokua na nafasi kubwa hasa za Kisiasa ndo Unaumbuka. kwa sababu watu wa mtaani kwako au kijijini kwenu wanakujua kwa sura na Majina yako ya awali hasa classmates wa Darasa la 7.
Mabashiiiteeee
Hivi na yeye si member wa Jf lazima anatenga muda wa kupekua nyuzi zinazomhusuBashite akiona hii lazima azimie
Kwanini wachunguze vyeti vya huyo tu?Na chuo kikuu cha ushirika chunguzeni suala la Daudi Bashite!
Kutaja mtu ni lazima uwe na uhakika.mzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...
watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii
mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy
ili tuendelee kama wazungu inabidi tufute janja janja zote sheria isiwe na double standards kila mtu afuate sheria kila sehem
Bashite au bwana Mruma?Alijaribu Masters ikakohoa.
Hapana chezeiya kuzungusha hafu utumie cheti cha mtu uwe kiongozi kiherehere ka mke wa balozi halafu uumbuke mchana kweupe, hakika lazima machozi yakutokeSasa nimeanza kuelewa kwanini DAUDI alimwaga machozi hadharani.
mzumbe chuo changu kinaongoza kwa digrii za janja janja...
watu wengi wanaishia form 4 tu na wanakuja mzumbe na kusoma certificate course 1 year kisha mwaka unaofata wanaingia kusoma digriii na wanatunukiwa hizo janja janja digriii
mfano hai ni mtoto wa katibu mkuu wa wizara ya mawasiliano anaitwa nancy
ili tuendelee kama wazungu inabidi tufute janja janja zote sheria isiwe na double standards kila mtu afuate sheria kila sehem