Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,806
- 12,221
Ni Ngumu kwa sababu jamaa aliovatake na Majina Tofauti Vyuoni huwa hawaombi Vyeti vya Darasa la 7 ninamiini hata Mimi Trol JF nikichukua Vyeti vyako Nikaenda kusoma Certificate Ardhi Na Diploma nikaja Kufanya Admission UDSM completely hawataweza Kunitambua Pale unapokua na nafasi kubwa hasa za Kisiasa ndo Unaumbuka. kwa sababu watu wa mtaani kwako au kijijini kwenu wanakujua kwa sura na Majina yako ya awali hasa classmates wa Darasa la 7.Baraza La Seneti La Muccobs
Tunategemea Wachukue Desa La Mzumbe Watangaze Kuwa Bashite Kavuliwa Degree Yake Wakati Vyombo Vikusuasua Kuchukua Hatua