Tatizo watu hawajapenda Dodoma kupewa hadhi yake,wanataka kila kitu kiwe Dar kwa kigezo cha bahari na starehe nyinginezo.Mungu akipenda inawezekana Dodoma ikawa chanzo cha mafanikio ya mikoa ambayo iliachwa na wakoloni pasipo maendeleo yoyoteBonds la ufa! Japani kuna matetemeko mengi sana kuliko Dodoma, hata hivyo Japani inamajengo marefu kuliko yaliyopo Tanzania.
Ukame, pamoja na ukame lakini mji wa Dodoma hauna tofauti na Dar!
Mzunguuko wa pesa, makao makuu ya serikali si mji wa kibiashara, wengi wanadhani ndiko biashara zote zitakakofanyika, mji wa biashara utabaki kuwa Dar.
Makao makuu ya CCM, hili kwa sasa halina uhusiano na makao makuu ya serikali, vyama vyote vikohuru kujenga Dodoma.
Una matatizo.Wakuu zipo sababu kibao ambazo tukizitaja zinaweza kuwa mwiba mchungu sana lakini itabidi tuzitaje ili kuuboresha mji wa Dodoma ambao umepewa hadhi ya jiji ikiwa kimuonekano baado sana
1. Geografia ya mji wa Dodoma
Mkoa huu ni miongoni mwa mikoa mikame na yenye asili ya jangwa kwa maana hauna mvua za kutosha ikiwa wastani wa mvua zake ni miezi mitatu au minne kasoro. Hivyo uoto wa asili muda wote ni ukame. Najiuliza sana serikali yetu imetenga bajeti kuwekeza katika eneo lenye ukame na kulifanya liwe la kuvutia au wamekurupuka tu.
Tukiangalia miji ya Dubai, Misri yenye hali kama hii ya ukame wametumia gharama kubwa kufanya miji ipendeze.pia ukiacha ukame kuna bonde la ufa limepita pale ambalo kitaalamu linakufanya usijenge majengo marefu kwenda juu.
2. Mzunguko wa pesa
Kwa sasa mkoa huu umekuwa na mzunguko wa pesa kwakuwa kuna uuzwaji mkubwa wa viwanja lakini baada ya hapo sidhani kama kutakuja kuwa na mzunguko wa pesa. Pia uwekezaji unaofanyika hauendani na ungezeko la watu.
Yaani unajenga majengo ya gharama mbali na miji ya watu halafu watu waje wajae kama maji ya bahari ni kitu kigumu sana.
Hii itatokea kwa miaka ya mbele kama 40 au zaidi. Kinachofanyika sasa ni kuharibu pesa za walipa kodi ambazo kurudi kwake itatugharimu miaka mingi.
3. Ni mji wa kisiasa (Makao makuu ya CCM)
Kwa mitazamo ya kawaida tunajua huu mji Nyerere na serikali waliufanya uwe makao makuu ya Chama cha Mapinduzi. Kimsingi sio wazo baya ila Nyerere mwenyewe alishtuka kuufanya katika kuufanyia maendeleo kwa kuwa kisiasa watu watajitambua na CCM itapoteza taswira. Serikali hii imevunja kanuni ya huu mji haukutakiwa kuendelezwa ili CCM itawale.
Yapo mengi ya kuelezea kwangu mimi. Wadau kama mnayo kuhusiana na mji huu mnaweza kutiririka.
Aisee sasa kipi ni kipi maana mengi yanasemwa kuhusu Makao Makuu Dodoma.
Well said [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji106] [emoji106] [emoji106]MARA MIA MJI UNGEJENGWA MOROGORO KWA KUIKATA KATIKATI UKATENGENGWA MKOA MMOJA UKAITWA MAKAO MAKUU
KWASABABU NI KARIBU NA DAR ES SALAAM
Udogo wa Dar siyo issue kwani wangepanga vizuri Kibaha, mpaka Mlandizi, pugu, mkuranga yote ingekuwa part ya Dar.[emoji13][emoji13][emoji13] Mzee lengo la wazee wa CCM ilikuwa ni kuweka makao makuu katikati ya nchi na si vinginevyo! Na Nyerere aliwakamatia kigezo cha usalama.
Dar Es Salaam ni kamji kadogo sana kama serikali ingeendelea kuwepo huko miaka 20 ijayo unadhani patakuwaje? Hivi tu kuna watu 5 million mmebanana vibaya mno.
Dodoma ni sehemu poa ila tu ina mapungufu makubwa ambayo yatafanya mji uwe mzuri kupita Dar Es Salaam na moja ya pungufu kubwa umeliainisha ni mvua.
Nilipasema Singida, pale ndio katikati kabisa sasa mwa Tanzania pia CCM ndo nyumba yake ya pili baada ya Dodoma Singida kuna vile viziwa angalau kungevutia na mawe mawe yale kama Rock city japokuwa Singida nayo ni semidesert [emoji13] ila ina kaunafuu!
Pengine haikuchaguliwa huenda miaka hiyo palikuwa chaka sana[emoji13][emoji13]
Naisapoti sana serikali kuondoka Dar kwakweli hapafai padogo mno
Swali moja kwako mkuu nitajie vivutio vitatu tu vya kiuchumi ambavyo vilikuepo dodoma kabla ya serikali kutangaza kuhamia huko.na ikibidi uvitolee ufafanuzi katika ufanisi wake na je serikali imeviendelezaje?? Isije kua tuna anza halafu tunapongezana bila ya kuwa na saababu za msingi.Una matatizo.
Fika dodoma uone mji unavyo shamiri.
Uchumi na uwekezaji au huoni??hoja ya kitoto sana hii, kuwa karibu na Dsm ndio nn sasa?
Yes ingekuwa ni wilaya hata tano kiuchumi ilikua na faida sana yaani ingekusanya mlandizi kibaha ni wilaya za jirani halafu makao makuu yawe morogoro ungeona mji unavyokua kwa kasi ; maghorofa unayoyaona posta yangefika mpaka chalinze tena kwa masta plan yakueleweka na fly over za kimkakati zingejengwaUdogo wa Dar siyo issue kwani wangepanga vizuri Kibaha, mpaka Mlandizi, pugu, mkuranga yote ingekuwa part ya Dar.
Wagogo watawakomeshaje? Tujuze tafadhaliAngalau wangeyapelekaga Singida aisee kama mikoa ya maana waliikosa.
Dodoma tatizo lake kubwa ni watu na si kingine Wagogo watawakomesha naona bado hamjawajua
Viwanda vya maji kama Kilimanjaro, Dasani nk wawekeze kwa wingi Dodoma maana maji yao mabalozi watanunua kwa wingi sio kwa akili ya kunywa tuu bali hata kuogea ili wasipauke kwa chumvi!
Hakika mzee wetu ni mbunifu wa kuendeleza viwanda, pongezi kwake!
Dodoma kuna mawe mengi sana.Swali moja kwako mkuu nitajie vivutio vitatu tu vya kiuchumi ambavyo vilikuepo dodoma kabla ya serikali kutangaza kuhamia huko.na ikibidi uvitolee ufafanuzi katika ufanisi wake na je serikali imeviendelezaje?? Isije kua tuna anza halafu tunapongezana bila ya kuwa na saababu za msingi.
Kwa hiyo Ubungo terminal ni standard siyo?Stendi imepauka kama jua limeshuka hapo halafu likapaa yaaani ni aibu tupu