


Mzee lengo la wazee wa CCM ilikuwa ni kuweka makao makuu katikati ya nchi na si vinginevyo! Na Nyerere aliwakamatia kigezo cha usalama.
Dar Es Salaam ni kamji kadogo sana kama serikali ingeendelea kuwepo huko miaka 20 ijayo unadhani patakuwaje? Hivi tu kuna watu 5 million mmebanana vibaya mno.
Dodoma ni sehemu poa ila tu ina mapungufu makubwa ambayo yatafanya mji uwe mzuri kupita Dar Es Salaam na moja ya pungufu kubwa umeliainisha ni mvua.
Nilipasema Singida, pale ndio katikati kabisa sasa mwa Tanzania pia CCM ndo nyumba yake ya pili baada ya Dodoma Singida kuna vile viziwa angalau kungevutia na mawe mawe yale kama Rock city japokuwa Singida nayo ni semidesert

ila ina kaunafuu!
Pengine haikuchaguliwa huenda miaka hiyo palikuwa chaka sana


Naisapoti sana serikali kuondoka Dar kwakweli hapafai padogo mno