Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

Tunahitaji vita ya tatu ya dunia kwakweli..
 
Hivyo vifaru hata TANZANIA vipo vya kutosha.
Kwenye maonesho pale uwanja wa taifa huwa vinapita sana..
Sema tu serikali yetu haipendi kuanika mambo yake hadharani kawa kutoa statistics kuhusu uwezo wa vifaa vinavyopita pale taifa..
Lakini unaambi wa vile vifaru si vya sayari hii
Ulinzi ni siri na kwenye maonesho hutolewa zile nyepesinyepesi tu.Ndiyo maana tender ya manunuzi ya vifaa vya ulinzi ni protected tender haitangazwi ni single source supplier no competition of tenderers.
 
We jamaa wewe? Unaona ni sifa kubwa kifaru kupangua RPGs!!!

Ni hivi, RPG ni specially designed kulipua malori ya adui, kwa hiyo INA mantiki kama hiyo Merkava itapangua anti-tank mortars.
ead1ce918c4123d303e269d14f3187ee.jpg
d6a4e99a3fb4bb53ab13d747746e0d3c.jpg
2e3f7808e2d30919f57d70ebd09dbdd4.jpg


Haya jibu la swali lako.... Huo mfumo uliokua ukitumika kupangua hayo ma Antu tanks unaotwa Trophy Active Protection System na ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Pia kumbuka moja ya ant tanks Hezbollah walizokua nazo mojawapo ni Kornet ya mrusi(kaitafute uisome).

Na sasa Israel wapo mbioni kutengeneza Helment kma zile za F35 kwa ajili ya merkava na kukiwezesha kuona pande zote 360° na kuongeza ufanisi wa kupangua hayo maRPGs, Anti tanks, mortals, etc.
 
Sasa vita israel na mgambo?Nato wanamakombola mazito yanashindwa kukibomoa hicho kifaru sasa israel anapigana na wanamgambo wenye siraha duni eti unawaona Nato kama majuwa vile
na cha ajabu hao wanamgambo wamempiga israeli,
 
42dd0ec293a345555bad6125a7b9a5ee.jpg
hii kitu inawanyima usingizi China na Urusi...hawawez sema ukweli lakn Abraham weapon inawaumiza sana
Acha uongo bado T-50 ya Murusi ni kifaru bora kuliko vyote
 
Russia ndiye Dume pekee duniani USA na Ulaya Magharib wote kwa pamoja kwa miaka wanapanga nakupangua kuivamia kijeshi ila nakwambia Russia hapigiki na hakuna nchi itakayokubali kuingia vitani na urusi na ktk mataifa hayo wanaijua vizur urusi kwa mkono ndo maana wanabaki kubweka tu
 
ead1ce918c4123d303e269d14f3187ee.jpg
d6a4e99a3fb4bb53ab13d747746e0d3c.jpg
2e3f7808e2d30919f57d70ebd09dbdd4.jpg


Haya jibu la swali lako.... Huo mfumo uliokua ukitumika kupangua hayo ma Antu tanks unaotwa Trophy Active Protection System na ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Pia kumbuka moja ya ant tanks Hezbollah walizokua nazo mojawapo ni Kornet ya mrusi(kaitafute uisome).

Na sasa Israel wapo mbioni kutengeneza Helment kma zile za F35 kwa ajili ya merkava na kukiwezesha kuona pande zote 360° na kuongeza ufanisi wa kupangua hayo maRPGs, Anti tanks, mortals, etc.




Kazi kweli, sasa wewe kifaru cha Merkava kustage grenades za RPG ndio mafanikio makubwa?
 
ead1ce918c4123d303e269d14f3187ee.jpg
d6a4e99a3fb4bb53ab13d747746e0d3c.jpg
2e3f7808e2d30919f57d70ebd09dbdd4.jpg


Haya jibu la swali lako.... Huo mfumo uliokua ukitumika kupangua hayo ma Antu tanks unaotwa Trophy Active Protection System na ulifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Pia kumbuka moja ya ant tanks Hezbollah walizokua nazo mojawapo ni Kornet ya mrusi(kaitafute uisome).

Na sasa Israel wapo mbioni kutengeneza Helment kma zile za F35 kwa ajili ya merkava na kukiwezesha kuona pande zote 360° na kuongeza ufanisi wa kupangua hayo maRPGs, Anti tanks, etc.

mkuu hizo merkava si zilipigwa sana tu na hezbollah?

52 zilipigwa, 5 zikalipuka kabisa hazifai na 22 makombora yaliingia hadi ndani.

na kipindi hezbollah wanapiga israeli almost 23% (according to wikipedia) yalikuwa yanatua kwenye miji mikubwa ya israeli, israeli alihamisha raia wengi tu, hawakuwa na technology yoyote ya kuyazuia hayo makombora.

hao ni washirika tu na si urusi yenyewe, kwa nchi kama israeli bila msaada wa marekani hawezi dumu hata mwezi kupigana na urusi, itachakazwa nchi nzima.
 
Kwsni Armata ina nini cha ajabu?!
Kama hyo mifumo ya kujilinda hata Merkava inayo, tena Merkava tumeviona kwenye vita na Hezbollah ilivykua ikipangua maRPG ya hao wanamgambo(Hezbollah)
Hahaha Hakuna kitu kinachokukera kama usikie mrusi kafanya kitu flani..kiwe cha zamani au kipya..awe katumia tech ya miaka Mia iliopita au tech mpya.. Nahisi Hua unapita kwenye ili jukwaa mda ote ukitafuta nani kapost kuhusu urusi ili upinge tu...ata pro us wenzio hawapo hivo
 
Back
Top Bottom