Mi nijuavyo Urusi ni hatar na siyo Mmarekan,Mrusi anapambana na Nchi 28 zenye nguvu kiuchumi,Mmarekan akitaka kufanya jambo anatafuta washirika(vibaraka wake),vita vyote alivyovianzisha anategemea vibaraka wake,mfano Libya,Iraq,fghanistan na sasa Syria,Urus yeye akianzishs vita yu-mwenyewe,Mmarekan akitaka kuiwekea vikwazo Nchi fulan anatafuta vibaraka wake umoja wa Ulaya kumuunga mkono,kama kwa ulimwengu huu Urusi alifanikiwa kulichukua jimbo la Crimea Nchini Unkraine,tena kutoka Nchi mwanachama wa Nato,wameiwekea vikwazo lakin wameshindwa kumtikisa na wamebid wakubal na kwa sasa baadhi ya Nchi za ulaya nimeanza kumkwepa baada ya kutaka kuiwekea vikwazo,bado kuna tofauti baadhi ya Nchi hazitaki.