Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,574
Reaction score
8,907
4f9c570fc947be185eddfe53aedd126d.jpg
 
Hivyo vifaru hata TANZANIA vipo vya kutosha.
Kwenye maonesho pale uwanja wa taifa huwa vinapita sana..
Sema tu serikali yetu haipendi kuanika mambo yake hadharani kawa kutoa statistics kuhusu uwezo wa vifaa vinavyopita pale taifa..
Lakini unaambi wa vile vifaru si vya sayari hii
 
Hivyo vifaru hata TANZANIA vipo vya kutosha.
Kwenye maonesho pale uwanja wa taifa huwa vinapita sana..
Sema tu serikali yetu haipendi kuanika mambo yake hadharani kawa kutoa statistics kuhusu uwezo wa vifaa vinavyopita pale taifa..
Lakini unaambi wa vile vifaru si vya sayari hii
Jifariji mkuu maana itabaki ndoto
 
Mi nijuavyo Urusi ni hatar na siyo Mmarekan,Mrusi anapambana na Nchi 28 zenye nguvu kiuchumi,Mmarekan akitaka kufanya jambo anatafuta washirika(vibaraka wake),vita vyote alivyovianzisha anategemea vibaraka wake,mfano Libya,Iraq,fghanistan na sasa Syria,Urus yeye akianzishs vita yu-mwenyewe,Mmarekan akitaka kuiwekea vikwazo Nchi fulan anatafuta vibaraka wake umoja wa Ulaya kumuunga mkono,kama kwa ulimwengu huu Urusi alifanikiwa kulichukua jimbo la Crimea Nchini Unkraine,tena kutoka Nchi mwanachama wa Nato,wameiwekea vikwazo lakin wameshindwa kumtikisa na wamebid wakubal na kwa sasa baadhi ya Nchi za ulaya nimeanza kumkwepa baada ya kutaka kuiwekea vikwazo,bado kuna tofauti baadhi ya Nchi hazitaki.
 
Armata MBT.....Russia
T92 MBT.......Russia
T72 MBT......Russia
Challenger.......US
Leopards ........Germany
Lecrec MBT......France
Merkava 4 MBT......Israel.
Zulfiqar MBT.......Iran
Karrar MBT.......Iran
Altay MBT.......Turkey..
Alkharid MBT.......Pakistan.
Countries with handful technology on [HASHTAG]#Main[/HASHTAG] [HASHTAG]#Battle[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tanks[/HASHTAG]
China
South Korea
North Korea
Japan
India
Ukrain, Poland nk nk nk.....
 
Kwsni Armata ina nini cha ajabu?!
Kama hyo mifumo ya kujilinda hata Merkava inayo, tena Merkava tumeviona kwenye vita na Hezbollah ilivykua ikipangua maRPG ya hao wanamgambo(Hezbollah)
Sasa vita israel na mgambo?Nato wanamakombola mazito yanashindwa kukibomoa hicho kifaru sasa israel anapigana na wanamgambo wenye siraha duni eti unawaona Nato kama majuwa vile
 
Sasa vita israel na mgambo?Nato wanamakombola mazito yanashindwa kukibomoa hicho kifaru sasa israel anapigana na wanamgambo wenye siraha duni eti unawaona Nato kama majuwa vile
Kheeee... Leo Hezbollah wana silaha duni[emoji23] ?!
Nyie si kila siku huwa mnawasifia humu kwamba wana silaha nzito. Kwahyo unataka kunambia Iran anatengeneza silaha duni?!
 
Sasa vita israel na mgambo?Nato wanamakombola mazito yanashindwa kukibomoa hicho kifaru sasa israel anapigana na wanamgambo wenye siraha duni eti unawaona Nato kama majuwa vile
6698f5c284d8026df9f47f712db8b8ba.jpg




Hapo ndo kipya tena kwenye mazoezi [emoji23] [emoji23] [emoji23] , je kikiingia vitani?!
 
Kheeee... Leo Hezbollah wana silaha duni?!
Nyie si kila siku huwa mnawasifia humu kwamba wana silaha nzito. Kwahyo unataka kunambia Iran anatengeneza silaha duni?!
Unazani kifaru kinavunjwa kwa roket ya kubebwa pegani?
 
Back
Top Bottom