Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

Kufaru kipya cha Urusi cha wakosesha usingizi NATO

Hivyo vifaru hata TANZANIA vipo vya kutosha.
Kwenye maonesho pale uwanja wa taifa huwa vinapita sana..
Sema tu serikali yetu haipendi kuanika mambo yake hadharani kawa kutoa statistics kuhusu uwezo wa vifaa vinavyopita pale taifa..
Lakini unaambi wa vile vifaru si vya sayari hii
Watu hawataki kuamini kabisa vifaru vyetu vimetengenezwa na aliens!
 
Makombora yalirushwa zaid ya 500+,52 ndo yakafanikiwa kupiga.. It means zaid ya makombora 448 yalidakwa na Merkava bado unasema sio mafanikio makubwa?!

Hapo hapo makombora 22 kati ya hayo 52 yalirushwa ndo yalifanikiwa kupenya tena ni kwa Merkava 2&3 na machache kama 3 kwa Merkava 4 bado unasema havifai?!

Kati ya hayo Makombora 52 yalifanikiwa kulipua vifaru 5 tu ambavyo baadae vikifanyiwa matengenezo tena na kurud kufanya kaz bado unasema sio mafanikio?! [emoji15]

Muogope mungu mkuu.
vifaru 5 viliharibika kabisa sio kutengenezeka, na vifaru 22 ndio viliharibika kawaida.

mkuu sijui umepitia wikipedia kwenye hii taarifa? asilimia 23 ya makombora yote uliyoyataja yalitua kwenye miji ya israeli na mpaka kufikia hatua israeli kuhamisha watu wake. sasa wewe unawatetea defensive system yao inapangua wao walihamisha raia kwenye miji nimuamini nani? nikuamini wewe au taarifa ya jeshi la israeli?
 
vifaru 5 viliharibika kabisa sio kutengenezeka, na vifaru 22 ndio viliharibika kawaida.

mkuu sijui umepitia wikipedia kwenye hii taarifa? asilimia 23 ya makombora yote uliyoyataja yalitua kwenye miji ya israeli na mpaka kufikia hatua israeli kuhamisha watu wake. sasa wewe unawatetea defensive system yao inapangua wao walihamisha raia kwenye miji nimuamini nani? nikuamini wewe au taarifa ya jeshi la israeli?
Kipind kile israel hawakua na defence system ya kuzuia maroket hii Iron dome ni ya juzjuz, Ndo maana wakahamisha raia kuwapeleka kwenye ngome za chini ya ardhi.
Iron dome ilianza kufanya kaz 2011 vita ikipiganwa 2006.
Pia makombora niliyoyazungumzia sio ya kupiga watu, ni ya kuharibu vifaru.
Nadhan umenielewa
 
Hivyo vifaru hata TANZANIA vipo vya kutosha.
Kwenye maonesho pale uwanja wa taifa huwa vinapita sana..
Sema tu serikali yetu haipendi kuanika mambo yake hadharani kawa kutoa statistics kuhusu uwezo wa vifaa vinavyopita pale taifa..
Lakini unaambi wa vile vifaru si vya sayari hii

Unamaanisha vile vilivyotumika kwenye WWII mkuu?
 
Back
Top Bottom