kupima ni jambo moja je majibu yanaonyesha nini?tumepima lakini sipo tayari kabisa peku peku
swala la kupima linaambatana na uaminifu hata mkienda kupima leo mkakuta negative kama c mwaminifu ni kazi bure kwani anaweza kwenda kwa wengine akaambukizwa na atkuambukiza kwani tayari utakua hauna wasiwasi naye
nshaionja, na mtu mwingine ndo maana sioni tofauti bora nilendelee kuwa safe zaidi kwa kutumia kinga
Selfishness; mwenzako hasikii ladha ndio maana mlienda kupima ili apige peku. Peku na kondom ladha ni tofauti kabisaaa....Tumepima lakini sipendi peku peku, naona ladha ni ile ile hata ukitumia kinga
Tumepima lakini sipendi peku peku, naona ladha ni ile ile hata ukitumia kinga
je kufanya mapenzi bila kinga ni ishara kwamba mnapendana kwa dhati, nina mpenzi wangu kila siku analalama kuwa simpendi kisa atataka peku peku na mimi sipo tayari,
Tumepima lakini sipendi peku peku, naona ladha ni ile ile hata ukitumia kinga
Kwenda Peku kunaweza sababisha mimba.
Ukiona manyoya??? UJUE YUKO MBELE ENDELEA KUTAFUTA UTAMWONA
Saint Ivuga, wewe umepima? Unajua kuna window period ya miezi 3?So simple nendeni mkapime.yena nadhani kwa hpo Tanzania kupima ni bure