King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Kwahiyo wewe kwa akili yako unafikiri mpaka kina Halima Mdee na wenzie wanaingia bungeni watu hawajui nini kimefanyika ? Jiwe , Ndugai , maccm hawaishi mbinguni wanaishi duniani yote yako wazi kina Kigogo walishayasema toka zaidi ya wiki tatu zilicopita.Dah"njaa haina baunsa"