Kufanya biashara ya ubia partnership na mbongo bora pesa yako ujenge nyumba ya wapangaji

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,477
Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao waswahili walio zeekea hapa hata hajawahi kuvuka mpaka kuenda Kenya au Uganda muwaogope sana kufanya nao partenership.

Utakufa kwa pressure stress au fatique hao watu bado hawajastaharabika kama Ulaya mnavo ona kwamba bishara zinazo shamiri sana ni zile za ubia/partnership na watu wana aminiana.

Watanzania/waswahili wenzetu wana kila aina ya vitabia vibomvu awe msomi au sio msomi kama haja wahi kuishi nje ya Tanzania usimuamini kibiashara. Wengi ni:
  • Waongo
  • Sio waminifu kibiashara
  • Wezi
  • Wavivu wa kufanya kazi
  • Matapeli.
  • Wanapenda raha sana
  • Hupenda kuongea sana na simu hata wakati wa kazi.
  • Limbukeni
  • Wana showoff za kishamba
  • Wanaamini kwenye uchawi.
  • Wanafiki nk.
Ili limetokea kwangu ndugu na rafiki zangu zaidi ya watano the most recent ni huyu rafiki yangu wakaribu alio toka Norway baada mwaka jana ya kuka huko miaka zaidi ya 10 kukusanya mtaji. kamuka asubuhi mbia wake kakimbia na mtaji wote na ofisi imefungwa na simu zake zote hazipatikani.

Jamaangu kachanganyikiwa zaidi $35,000 zimepotea anajipanga upya tena kwasbb hawezi kurudi ughaibuni tena. Jamani lindeni pesa/mitaji haipatikani kirahisi kaa mbali na marafiki wasio kuongezea thamani yoyote kwenye maisha yako.
 
Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao waswahili walio zeekea hapa hata hajawahi kuvuka mpaka kuenda Kenya au Uganda mwaogope sana kufanya nao
Waswahili hawana uchungu na pesa yako hata siku moja kila siku anaamuka kuwaza atakuibia je. Ili ufirisike ndo raha ya mbogo kuona mtu kaishiwa atakusambaza mtaa mzima.
 
Siwezi hata siku moja kumuamini mtu 100% Waswahili wengi majizi usiamini hata awe mkurugenzi au hata waziri wote ni walewale

Lazima ufanye utafiti mkubwa sana Kama unataka kuwa na mbia na lazima nae awe na at least nusu ya mtaji unaowekeza tena kwa maandishi au awe na mradi endelevu

Sio lazima kuwa na hao unaweza kutafuta wenye asili tofauti hata kama kazaliwa hapo ila amekulia kwenye hela na kuzichezea ( sio condactor)

Kuna jamaa yangu kawekeza kwenye nchi fulani, jamaa walifungua kiwanda cha magodoro wakawa wanahitaji wabia wa kuwekeza kidogo

Akawekeza £30,000 bila kuogopa atatapeliwa yeye yuko uzunguni na kiwanda Africa na amefundishwa na jamaa zake tu

Leo anakula matunda mwaka wa 13 sasa na ni sleeping partner zinaingia kila mwezi

Bongo ukimpa mbuzi 5 mtu mwezi mmoja tu anakuambia wamekufa wote
 
Siwezi hata siku moja kumuamini mtu 100%
Waswahili wengi majizi usiamini hata awe mkurugenzi au hata waziri wote ni walewale

Lazima ufanye utafiti mkubwa sana Kama unataka kuwa na mbia na lazima nae awe na at least nusu ya mtaji unaowekeza tena kwa maandishi au awe na mradi endelevu

Sio lazima kuwa na hao unaweza kutafuta wenye asili tofauti hata kama kazaliwa hapo ila amekulia kwenye hela na ja tu anakuambia wamekufa wote
Unawaelewa waswahili vuzuri sana mkuu ukiwapa tu nafasi watakuumiza tu, hu umekua utamaduni wa hi nchi sijui itakua je. Mimi ma suala ya ubia nilishafunga hiyo chapter naona sasa ni afadhari niwe na mradi moja wenye capital security.
 
Hata ulaya wanapigwa vile vile...

Hapa Tanzania wapo nawajua wanafanya partnership na wamefanikiwa, na hizi mambo zako za kudharau ndugu zako uache.
Tatizo lipo kwenye sheria zetu katika kulinda biashara.

Ni bahati mbaya sana watu wanakosea kuchagua wenza wa kufanya nao biashara.

Ila kingine wengi wanaamini biashara ni walk in thr park, business is hard, very hard, ikiwa ya jumla ndio balaa zaid maana Kuna madeni na gharama nyingi ambazo hukuzitarajia, Sasa kwenye partnership tatizo huwa linaanza kwenye kueleweshana unforeseen costs.

Lakini nirudie tena, njia rahisi sana ya kuwa Tajiri na kufilisika ni kufanya biashara.
 
Siwezi hata siku moja kumuamini mtu 100%
Waswahili wengi majizi usiamini hata awe mkurugenzi au hata waziri wote ni walewale

Lazima ufanye utafiti mkubwa sana Kama unataka kuwa na mbia na lazima nae awe na at least nusu ya mtaji unaowekeza tena kwa maandishi au awe na mradi endelevu

Sio lazima kuwa na hao unaweza kutafuta wenye asili tofauti hata kama kazaliwa hapo ila amekulia kwenye hela na kuzichezea ( sio condactor)

Kuna jamaa yangu kawekeza kwenye nchi fulani, jamaa walifungua kiwanda cha magodoro wakawa wanahitaji wabia wa kuwekeza kidogo

Akawekeza £30,000 bila kuogopa atatapeliwa yeye yuko uzunguni na kiwanda Africa na amefundishwa na jamaa zake tu

Leo anakula matunda mwaka wa 13 sasa na ni sleeping partner zinaingia kila mwezi

Bongo ukimpa mbuzi 5 mtu mwezi mmoja tu anakuambia wamekufa wote
Bongo ukimpa mbuzi 5 mtu mwezi mmoja tu anakuambia wamekufa wote
Kuna machungu sitaki kuyakumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na nature ya mzazi mbona kuna mafather wengi wako fresh tu hawana shida mpange mzee wako mpe plan nzima ya biashara kama anakuamini mtatoka vizuri bila shida
Ila sio wote miaka ya 2000 nilisha wahi kutumia baba angu mzazi $8000 anunue viti vya plastic na na vyombo vya kupikia awe anakodisha wana kijiji nyakati za sherehe na msiba kwasbb baba angu alikua kiongozi kwenye hiyo kata, cha kushangaza pesa alipokea na akaitumia kuboresha nyumba ya bi-mdogo wake, ila sikuchukia kwasabb hiyo pesa nilitaka iwesaidie nyumbani, na yeye hajawahi kuligusia wala ku niomba msamaha hao ndo wazazi wetu wa Africa " a parent doesn't wrong"
 
Hata ulaya wanapigwa vile vile...

Hapa Tanzania wapo nawajua wanafanya partnership na wamefanikiwa, na hizi mambo zako za kudharau ndugu zako uache.
Tatizo lipo kwenye sheria zetu katika kulinda biashara.

Ni bahati mbaya sana watu wanakosea kuchagua wenza wa kufanya nao biashara.

Ila kingine wengi wanaamini biashara ni walk in thr park, business is hard, very hard, ikiwa ya jumla ndio balaa zaid maana Kuna madeni na gharama nyingi ambazo hukuzitarajia, Sasa kwenye partnership tatizo huwa linaanza kwenye kueleweshana unforeseen costs.

Lakini nirudie tena, njia rahisi sana ya kuwa Tajiri na kufilisika ni kufanya biashara.
Sijadharau mtu mkuu ila huo ni ukweli biashara na mbongo maelezo ni mengi sana na mengi ni uongo ili akupige tu.
 
Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao waswahili walio zeekea hapa hata hajawahi kuvuka mpaka kuenda Kenya au Uganda mwaogope sana kufanya nao ibuni tena. Jamani lindeni pesa/mitaji haipatikani kirahisi kaa mbali na marafiki wasio kuongezea thamani yoyote kwenye maisha yako.
Kufanya biashara na ndugu au rafiki yangu ni bora hiyo biashara niifunge
 
Unawaelewa waswahili vuzuri sana mkuu ukiwapa tu nafasi watakuumiza tu, hu umekua utamaduni wa hi nchi sijui itakua je. Mimi ma suala ya ubia nilishafunga hiyo chapter naona sasa ni afadhari niwe na mradi moja wenye capital security.
Yaani bora uamue kufanya mwenyewe badala ya kusema nafanya kazi huku na huku naajiri mtu

Hiyo biashara wanaziweza majizi serikalini ambapo hana uchungu na hela za wizi bali anatakatishia hapo kwenye mradi

Lakini kama ni hela yako ya halali usiingize kwenye biashara ukamkabidhi mtu

Nimefanya sana biashara na kuwapa vijana nikachoka na wanaume ikabidi nimkabidhi Msichana

Wiki ya kwanza stock take yuko vizuri
Wiki ya 3 akajigawia 80,000 namuuliza ananiambia mama alikuwa mgonjwa sana

Sasa mama yake ananihusu nini mimi huo ni wizi bora angeniomba nilimtimua na kufunga biashara
 
Watanzania wenzangu mnao toka ughaibuni kwa lengo la kuwekeza nyumbani na kufanya biashara ya ubia na hao wasibuni tena. Jamani lindeni pesa/mitaji haipatikani kirahisi kaa mbali na marafiki wasio kuongezea thamani yoyote kwenye maisha yako.
Ndo mana mi ubia na ndugu ni kumfungulia genge la mboga na matunda au kijiwe cha kahawa tu. Ili mizinga ipungue
 
Ila sio wote miaka ya 2000 nilisha wahi kutumia babaangu mzazi $8000 anunue viti vya plastic na na vyombo awe anakidishia wana kijiji nyakati za sherehe na msiba kwasbb babaangu alikua kiongozi kwenye hiyo kata, cha kushangaza pesa aliipokea na akaitumia kuboresha nyumba ya bi mdogo wake, ila sikuchukia kwasabb hiyo pesa nilitaka iwesaidie nyumbani na yeye hajawahi kuligusia wala kuniomba msamaha hao ndo wazazi wetu wa Africa " a parent doesn't wrong"
Ahahahahaha..nikiwa form 5 boarding, nilijichanga changa vile vi pocket money nikamuomba mama pale dukan kwake niweke vinywaji nikampa pesa ya kreti kama 7 kwa kuanzia (ilikia 2008)...eeehhh narud likizo ya mwisho kumaliza kidato cha sita kala pesa zangu zote....hakuliongelea hilo wala kuomba msamaha nami nikatulia kimyaaaa 😂😂😂
 
Waswahili hawana uchungu na pesa yako hata siku moja kila siku anaamuka kuwaza atakuibia je. Ili ufirisike ndo raha ya mbogo kuona mtu kaishiwa atakusambaza mtaa mzima.
Umesema ukweli kabisa. Ila mimi nadhani ni watanzania wote tuko hivi. Hata waliokaa ughaibuni, kuna wenye tabia kama hizi. Kwa kifupi ni hivi: kuliko kuingia ubia na mtanzania ni bora fedha ufanyie starehe angalau uje kukumbuka ulikula good time.
 
Back
Top Bottom