THOMASS SANKARA
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 2,066
- 4,775
Ahahahahaahahmsalimie dr Leyaro na Dr joel.
Wataalam wa ecomometrx mambo ya logit n probit
Ahahahahaahahmsalimie dr Leyaro na Dr joel.
Kama wewe umechukua HGE kwa tanzania focus on BA in Economics/ BSc Economics na Uchumi Kilimo. Kama nilivyosema hapo juu econometrics inajengwa juu ya msingi wa Statistics na Mathematics pamoja na economic theory (demand, supply, production na mengineyo). Kabla ya kufundishwa econometrics utakuwa umefanya course za mathematics na Statistics (in most cases mwaka wa kwanza). Hizi zitakutayarisha kwa hiyo course. Isikupe wasiwasi ni kufanya kazi wakati ukifika.Nashukuru xnaa kidogo nimeanza kupata muangaza na nilisoma HGE na iyo econometric cjaipata maana naona kma watu wanaiona ningumu sana sasa cjui kma ni kwel na inahusiana sana na kitu gan hasa ili nijipange kabisa #masiya
umesoma eco. udsm?msalimie dr Leyaro na Dr joel.
basi wewe ulikuwa kilaz.a mkuu.. yaani hizo wiki 10 ulikuwa unafanya nini chuo? ama RB600 ilikuwa inakulevya sana? 😀😀Mimi nilikuja kuelewa hiyo kitu wiki mbili za mwisho za semester
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
mbona econometrics simple sana.. mwambie ajiandae na account AC100 na AC101 hapo ndo kasheshe inapoanza. Econometrics inakuja mwaka wa pili mtu ushazoea mazingira ya chuoKaaribu BA.economics udsm
Ila jiandae kijana na econometrx
Mkuu asante kwa kuniita kilazabasi wewe ulikuwa kilaz.a mkuu.. yaani hizo wiki 10 ulikuwa unafanya nini chuo? ama RB600 ilikuwa inakulevya sana? 😀😀
Nashukuru sana ila napenda kufaham iyo BA in economics na ile BA in economics and statistics zinatofauti gan??Kama wewe umechukua HGE kwa tanzania focus on BA in Economics/ BSc Economics na Uchumi Kilimo. Kama nilivyosema hapo juu econometrics inajengwa juu ya msingi wa Statistics na Mathematics pamoja na economic theory (demand, supply, production na mengineyo). Kabla ya kufundishwa econometrics utakuwa umefanya course za mathematics na Statistics (in most cases mwaka wa kwanza). Hizi zitakutayarisha kwa hiyo course. Isikupe wasiwasi ni kufanya kazi wakati ukifika.
ba eco nd statistics sio pure economics coz unakua unasoma units chache za uchumi na nyingine za statistics.Nashukuru sana ila napenda kufaham iyo BA in economics na ile BA in economics and statistics zinatofauti gan??
sasa unaita wenzio vilaza afu muda huo huo unasema ac100 na ac 101 ngumu wakati wenzio hapo tulipiga fresh.ungesema tu kila mtu ana kitu anachokiweza basi ila sio kuita wenzio vilaza.mbona econometrics simple sana.. mwambie ajiandae na account AC100 na AC101 hapo ndo kasheshe inapoanza. Econometrics inakuja mwaka wa pili mtu ushazoea mazingira ya chuo
kuna zile kitu za ec 216 chini ya dr mdabila na ec 218 chini ya dr naho nazo zilikua hatari sana.mwaka wa pili uliniendea vibaya sana nikataman kukimbia shule..ila walau ec 220 chini ya wale akina prof msambichaka na mosha ilikuja kuokia jahazi.dr nyoni nae na ec 217 alikua anazingua anasahihisha hadi spelling.kwenye kuopt nikakimbilia udbs asee.Ahahahahaahah
Wataalam wa ecomometrx mambo ya logit n probit
Mi hata hiyo nilidufua vizuri tu maana zote nilikuwa na B+ vipi.. umesoma Economics UD? unaweza kuta tulikuwa class mojasasa unaita wenzio ****** afu muda huo huo unasema ac100 na ac 101 ngumu wakati wenzio hapo tulipiga fresh.ungesema tu kila mtu ana kitu anachokiweza basi ila sio kuita wenzio ******.
sijamaanisha kihivo mkuu.. wala usimaindi sana mambo madogo haya...Mkuu asante kwa kuniita ******
Kwa UDSM zote mbili zina kiwango sawa cha economic theory (Microeconomics and Macroeconomics) na econometrics lakini BA in economics ina more applied courses za uchumi (kama health, agricultural economics etc) where as BA econ & stat wana courses nyingi zaidi za hesabu na statistics (kama matrix algebra, Stochastic Process etc) ndio maana hii ya pili wanataka lazima uwe na ufaulu wa adv. maths wa D au zaidi.Nashukuru sana ila napenda kufaham iyo BA in economics na ile BA in economics and statistics zinatofauti gan??
Ba in eco unakua una deal 100% na uchumi!! Wakati kwenye iyo ingine unakua unapiga uchumi na modules nyingi zaidi za statistics! Kama unajua uko vizuri maths basi nenda kwenye iyo yenye statisticsNashukuru sana ila napenda kufaham iyo BA in economics na ile BA in economics and statistics zinatofauti gan??
islamic economics inasomwa chuo gani shehe?Dogo kama huna basic nzuri ya economics huku chini high school itabidi ufunge mkanda kweli hasa second year. Ila kiukweli economics ni course moja tamu sana mimi nilienjoy sana uwepo wangu campus ingawa at times mambo yalikuwa mengi mno units kibao. Mimi nilisoma economics hii ya kawaida pamoja na islamic economics. Mziki wake ulikuwa balaa. Ila nilienjoy cz nilikuwa na background nzuri sana ya uchumi.