Wakati wa kujitayarisha ni sasa-angalia options na uzielewe. Kama untaka kuwa mfanya biashara inabidi pia uangalie program za business management na hizo za uchumi. Lakini kwanza ingia mtandaoni ugoogle hizo programs upate maelezo yake. Bahati mbaya ukiangalia prospectus zetu hazielezi kwa kina hivyo itabidi ucheck vyuo vingine hata vya nje.
Jiulize umechukua kombi ipi. HGE au EGM, nafikiri pia kuna ECA (masomo ya biashara zaidi). Economics & Statistics-UDSM na UDOM nafikiri wote wanataka in addition to Economics uwe na ADVANCE Maths, Wenye BAM naamini hawachukuliwi. BA in Economics (UDSM, UDOM, SAUT, JUCO , ARDHI) au BSc in Economics (Mzumbe) hawa wanachukua wote wa EGM na HGE. Halafu kuna Uchumi kilimo na Biashara (SUA) na Uchumi Kilimo, Mazingira na Biashara (UDSM)nao nafikiri wanachukua wote EGM na HGE. Somo moja lapo ambalo mtu wa uchumi hufanya ni Econometrics ambayo msingi wake huwa statistics na mathematics. Hivyo utakapolifikia kama umejenga msingi wake utaliweza au siyo kama mkuu mmoja alivyosema alilijua baada ya kula supp (lakini haya ndio maisha ya vyuo).
Ukisha jua kipi ni kipi unaweza kuangalia prospectus a vyuo tofauti. Karibu vyuo vyote vimeanzia na ile UDSM na kubadilisha machache. Ya SUA na UDSM kilimo zinautofauti wa kutosha kwani ni za kilimo +