KndNo1
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 627
- 2,025
Gari toleo moja inakuja na engines tofauti tofauti..
Kuna baadhi ambazo muonekano wake unakupa code ya engine iliyopo..
Baadhi ni hizi
Prado 70..
Imeandikwa neno Turbo kwenye front grill hiyo ni 2LTE..!
Imeandikwa 3.0 turbo mlango wa nyuma hiyo ni 1KZ
Landcruiser Mkonga
Pua mbele.. 1VDFTV
Usiijaribu ukidhani ni mchovu 1hz.. Utaaibika kama mashine yako ndogo..
Hilux pua 1KD..!
Rav4 L V
Hii huwa inakuwa na 3S GE.. Ni tofauti na zile 3S zilizozoeleka.. Hii mwendo upo..
Aristo hii 2jz plain.. Haina mwendo..
V300 Aristo hii 2jz gte.. Turbo ikikickin ni stori nyingine.. Usiifuate..
Harrier
350G..Hii mashine 2GR..kaa nayo mbali usije kupasua pistons..!
Fuga
350GT VQ35
Usiifuate kama una Crown 4GR/Altezza/320i/C200
Vitz RS
1NZ yenye turbo.. Usipokuwa makini inakutoa nishai..!
Subaru
Zimezoeleka ni gari za Kelele nyingi ila Mwendo hakuna..!
Ukikutana na yenye logo STi..EJ25 Iogope kama STDs..!
LC100 ukiona V8 badge..
Hiyo ni Petrol..2UZ..
Ina mwendo kuliko 100 series zote..!
LC200 GX
1VDFTV.. Haitoboi zaidi ya 240kph..hii ndio ya kuipita vizuri..ukiona tumerekodi video ya Wajerumani kuzipita V8 inakuwa ndio hizi GX..
Discovery 4
TDV6 engine ndogo..
SDV6 engine kubwa.. Kuifukuza ujipange.. Twin turbo..!
BMW 540i(E34)
M60 Chuma kama Chuma.. Mkwaju.. V8 engine.. Ikikuomba njia pisha.. Ukifukuzana nayo utachomoa piston kwenye bonnet..!
BMW iliyoandikwa M
Benz iliyoandikwa AMG
Hizi ukibahatika kukutana nazo fanya kupaki pembeni tuu..maana hata uwe na LC300 huwezi moto wa vyuma hivyo..!
Kuna baadhi ambazo muonekano wake unakupa code ya engine iliyopo..
Baadhi ni hizi
Prado 70..
Imeandikwa neno Turbo kwenye front grill hiyo ni 2LTE..!
Imeandikwa 3.0 turbo mlango wa nyuma hiyo ni 1KZ
Landcruiser Mkonga
Pua mbele.. 1VDFTV
Usiijaribu ukidhani ni mchovu 1hz.. Utaaibika kama mashine yako ndogo..
Hilux pua 1KD..!
Rav4 L V
Hii huwa inakuwa na 3S GE.. Ni tofauti na zile 3S zilizozoeleka.. Hii mwendo upo..
Aristo hii 2jz plain.. Haina mwendo..
V300 Aristo hii 2jz gte.. Turbo ikikickin ni stori nyingine.. Usiifuate..
Harrier
350G..Hii mashine 2GR..kaa nayo mbali usije kupasua pistons..!
Fuga
350GT VQ35
Usiifuate kama una Crown 4GR/Altezza/320i/C200
Vitz RS
1NZ yenye turbo.. Usipokuwa makini inakutoa nishai..!
Subaru
Zimezoeleka ni gari za Kelele nyingi ila Mwendo hakuna..!
Ukikutana na yenye logo STi..EJ25 Iogope kama STDs..!
LC100 ukiona V8 badge..
Hiyo ni Petrol..2UZ..
Ina mwendo kuliko 100 series zote..!
LC200 GX
1VDFTV.. Haitoboi zaidi ya 240kph..hii ndio ya kuipita vizuri..ukiona tumerekodi video ya Wajerumani kuzipita V8 inakuwa ndio hizi GX..
Discovery 4
TDV6 engine ndogo..
SDV6 engine kubwa.. Kuifukuza ujipange.. Twin turbo..!
BMW 540i(E34)
M60 Chuma kama Chuma.. Mkwaju.. V8 engine.. Ikikuomba njia pisha.. Ukifukuzana nayo utachomoa piston kwenye bonnet..!
BMW iliyoandikwa M
Benz iliyoandikwa AMG
Hizi ukibahatika kukutana nazo fanya kupaki pembeni tuu..maana hata uwe na LC300 huwezi moto wa vyuma hivyo..!