Wana jf...mimi ni mteja wa nbc, akaunti yangu niliifungua kwaajili ya boom nikiwa chuoni. Ni kama miezi mitano cjai2mia, leo kunam2 kaniingizia hela na akaunti haikuwa nahela b4. Nilipoenda nimeingiza kadi option ilokuja nikuwa account status 25. Kulikoni? Inamaana nilishafungiwa?