Kuenguliwa wapinzani kumewapaisha kisiasa

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,592
29,721
Mimi ni mwana CCM hai.

Kitendo cha watendaji/ wasimamizi wasaidizi kuwaengua wagombea zaidi ya asilimia 90 wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ni wazi kimeibua publicy sympathy dhidi ya wapinzani nchini.

Minong'ono iliyopo mitaani ambapo hata wanaCCM wengi wanaguswa na hili hivyo linaweza kusababisha kura za hasira kuiadhibu CCM endapo uchaguzi utafanyika baada ya maridhiano kati ya serikali na vyama vya siasa.

Mchakato wa uteuzi wa wagombea kupitia CCM uligubikwa na sintofahamu nyingi na hata kupelekea wagombea wengi wasiokubalika na wananchi kuteuliwa huku ubabe wa kuhakikisha ushindi ukifanyika.

Watendaji ama wasimamizi wa uchaguzi walipofanya maamuzi hayo, waliamini kuwa wanakisaidia Chama Cha Mapinduzi lakini uhalisia ni kuwa wamemsaidia chura kwa kumpiga teke.

Vyama vikubwa vya upinzani CHADEMA, ACT, CHAUMMA, NCCR MAAGEUZI vimejiengua kushiriki uchaguzi wa Novemba 24. Lakini Waziri mwenye dhamana ameagiza walioenguliwa wote warejeshwe kwenye orodha ya wagombea hivyo kuongezeka mkanganyiko zaidi.

Upigaji kura ni sehemu ndogo ya demokrasia ambapo maeneo mengine ni namna vyama na wagombea wanashiriki ama kushirikishwa kwenye michakato kwa njia za wazi na haki. Lakini kinachofanyika ni maamuzi yasiyoshirikisha pande zote kuu za uchaguzi. Ni maamuzi ama maelekezo ya upande mmoja pekee.

Ushauri.
Mosi.
Tamisemi kwa kushirikiana na wizara ya Katiba na sheria wakutane na vyama vyote vya siasa kuweza kujadili mustakabali wa hili lililotokea kwa lengo la kutafuta suluhisho lake.

Pili.
Uchaguzi usitishwe kwanza ili kutoa nafasi kwa majadiliano na maafikiano ya vyama shiriki kisha tarehe itokane na maafikiano hato

Tatu.
Chama Cha Mapinduzi kitumie muda huo kushughulika na makandokando ya uchaguzi wa uteuzi kwa sababu upangaji ssfu za wagombea ni kansa inayokitafuna chama kwa muda mrefu.

Mwisho
Upinzani unapata nguvu sana sasa kuliko kipindi chochote kutokana na haya yanayotokea na haiyumkiniki inawezekana wapigakura wakakiadhibu chama tawala endapo hakutakuwa na juhudi za makusudi kirekebisha kasoro zilizojitokeza.

Msanii
 
Mimi ni mwana CCM hai.

Kitendo cha watendaji/ wasimamizi wasaidizi kuwaengua wagombea zaidi ya asilimia 90 wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ni wazi kimeibua publicy sympathy dhidi ya wapinzani nchini.

Minong'ono iliyopo mitaani ambapo hata wanaCCM wengi wanaguswa na hili hivyo linaweza kusababisha kura za hasira kuiadhibu CCM endapo uchaguzi utafanyika baada ya maridhiano kati ya serikali na vyama vya siasa.

Mchakato wa uteuzi wa wagombea kupitia CCM uligubikwa na sintofahamu nyingi na hata kupelekea wagombea wengi wasiokubalika na wananchi kuteuliwa huku ubabe wa kuhakikisha ushindi ukifanyika.

Watendaji ama wasimamizi wa uchaguzi walipofanya maamuzi hayo, waliamini kuwa wanakisaidia Chama Cha Mapinduzi lakini uhalisia ni kuwa wamemsaidia chura kwa kumpiga teke.

Vyama vikubwa vya upinzani CHADEMA, ACT, CHAUMMA, NCCR MAAGEUZI vimejiengua kushiriki uchaguzi wa Novemba 24. Lakini Waziri mwenye dhamana ameagiza walioenguliwa wote warejeshwe kwenye orodha ya wagombea hivyo kuongezeka mkanganyiko zaidi.

Upigaji kura ni sehemu ndogo ya demokrasia ambapo maeneo mengine ni namna vyama na wagombea wanashiriki ama kushirikishwa kwenye michakato kwa njia za wazi na haki. Lakini kinachofanyika ni maamuzi yasiyoshirikisha pande zote kuu za uchaguzi. Ni maamuzi ama maelekezo ya upande mmoja pekee.

Ushauri.
Mosi.
Tamisemi kwa kushirikiana na wizara ya Katiba na sheria wakutane na vyama vyote vya siasa kuweza kujadili mustakabali wa hili lililotokea kwa lengo la kutafuta suluhisho lake.

Pili.
Uchaguzi usitishwe kwanza ili kutoa nafasi kwa majadiliano na maafikiano ya vyama shiriki kisha tarehe itokane na maafikiano hato

Tatu.
Chama Cha Mapinduzi kitumie muda huo kushughulika na makandokando ya uchaguzi wa uteuzi kwa sababu upangaji ssfu za wagombea ni kansa inayokitafuna chama kwa muda mrefu.

Mwisho
Upinzani unapata nguvu sana sasa kuliko kipindi chochote kutokana na haya yanayotokea na haiyumkiniki inawezekana wapigakura wakakiadhibu chama tawala endapo hakutakuwa na juhudi za makusudi kirekebisha kasoro zilizojitokeza.

Msanii
Waliewaengua wapinzani 90% ili wao ccm wapate 90% ushindi.

Waligeuza ubao mbele ikawa nyuma, nyuma ikawa mbele. Imekula kwao.
 
Mimi ni mwana CCM hai.

Kitendo cha watendaji/ wasimamizi wasaidizi kuwaengua wagombea zaidi ya asilimia 90 wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ni wazi kimeibua publicy sympathy dhidi ya wapinzani nchini.

Minong'ono iliyopo mitaani ambapo hata wanaCCM wengi wanaguswa na hili hivyo linaweza kusababisha kura za hasira kuiadhibu CCM endapo uchaguzi utafanyika baada ya maridhiano kati ya serikali na vyama vya siasa.

Mchakato wa uteuzi wa wagombea kupitia CCM uligubikwa na sintofahamu nyingi na hata kupelekea wagombea wengi wasiokubalika na wananchi kuteuliwa huku ubabe wa kuhakikisha ushindi ukifanyika.

Watendaji ama wasimamizi wa uchaguzi walipofanya maamuzi hayo, waliamini kuwa wanakisaidia Chama Cha Mapinduzi lakini uhalisia ni kuwa wamemsaidia chura kwa kumpiga teke.

Vyama vikubwa vya upinzani CHADEMA, ACT, CHAUMMA, NCCR MAAGEUZI vimejiengua kushiriki uchaguzi wa Novemba 24. Lakini Waziri mwenye dhamana ameagiza walioenguliwa wote warejeshwe kwenye orodha ya wagombea hivyo kuongezeka mkanganyiko zaidi.

Upigaji kura ni sehemu ndogo ya demokrasia ambapo maeneo mengine ni namna vyama na wagombea wanashiriki ama kushirikishwa kwenye michakato kwa njia za wazi na haki. Lakini kinachofanyika ni maamuzi yasiyoshirikisha pande zote kuu za uchaguzi. Ni maamuzi ama maelekezo ya upande mmoja pekee.

Ushauri.
Mosi.
Tamisemi kwa kushirikiana na wizara ya Katiba na sheria wakutane na vyama vyote vya siasa kuweza kujadili mustakabali wa hili lililotokea kwa lengo la kutafuta suluhisho lake.

Pili.
Uchaguzi usitishwe kwanza ili kutoa nafasi kwa majadiliano na maafikiano ya vyama shiriki kisha tarehe itokane na maafikiano hato

Tatu.
Chama Cha Mapinduzi kitumie muda huo kushughulika na makandokando ya uchaguzi wa uteuzi kwa sababu upangaji ssfu za wagombea ni kansa inayokitafuna chama kwa muda mrefu.

Mwisho
Upinzani unapata nguvu sana sasa kuliko kipindi chochote kutokana na haya yanayotokea na haiyumkiniki inawezekana wapigakura wakakiadhibu chama tawala endapo hakutakuwa na juhudi za makusudi kirekebisha kasoro zilizojitokeza.

Msanii
CCM wakati mwingine mnatenda bila kufikiria; tayari mlishakuwa na ushindi wa 58%+ kwa maana ya kupita bila kupingwa; kwanini na hiyo 42% mtake kuichukua bila kushindanishwa? Ni vizuri mkawarudisha kwenye "benchi la ufundi" kina Mh. January na Nape; wao walikuwa hawatafuti ushindi wa 100% bali wingi wa viti (majority).
 
Mazingira yote yaiweka CCM ktk hiyo lawama.

Je tutaendelea kulaumu kisha maisha yaendelee au tuamue kutumia akili zetu kutafuta suluhisho lisilo la madhara kijamii?

Tuondoke kwenye siasa za lawama.
Waliewaengua wapinzani 90% ili wao ccm wapate 90% ushindi.

Waligeuza ubao mbele ikawa nyuma, nyuma ikawa mbele. Imekula kwao.
 
Kuhusu Nape na January halina mashiko kwa sasa.

Hoja kuu ni hiki kinachoendelea kimeleta athari kubwa kisiasa siku za usoni.

Wananchi wanahitaji kutulizwa na kujengewa imani.

Tusiwapuuze wapigakura hata siku moja.

CCM iishauri serikali kukaa mezani na vyama vyote kwani hii ni nchi ya wote. Kuna hatua kadhaa (kama siyo zote) zinaweza kifikiwa
CCM wakati mwingine mnatenda bila kufikiria; tayari mlishakuwa na ushindi wa 58%+ kwa maana ya kupita bila kupingwa; kwanini na hiyo 42% mtake kuichukua bila kushindanishwa? Ni vizuri mkawarudisha kwenye "benchi la ufundi" kina Mh. January na Nape; wao walikuwa hawatafuti ushindi wa 100% bali wingi wa viti (majority).
 
Wenye akili wachache kama huyu.. Sio wote...!!!
Upande wa pili ni kulalamika tu pasipo kutoa boriti kwenye majicho yao zaidi ya kuhamisha matatizo yao upande mwingine na Serikali.

Ushahidi ni kutokuwepo uwazi wa kidemokrasia katika uteuzi wa wagombea wao. Kuna uwezekano maeneo mengine wagombea hawakuteuliwa ila wamejipeleja tu kuchukua fomu na kuzijaza kwa jinsi wanavyoona itawsaidia kuteuliwa kugombea.
 
Inawezekana nikashughulikiwa.

Lakini naamini wakubwa huko watakuwa wameona zaidi ya haya tunayoyaona sasa lakini guts ndo ikawa kikwazo
Hakuna ccm mwenye mawazo ya kujenga kama yako,ccm wengi akil zao ni kubomoa tu
 
Mimi ni mwana CCM hai.

Kitendo cha watendaji/ wasimamizi wasaidizi kuwaengua wagombea zaidi ya asilimia 90 wa serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji ni wazi kimeibua publicy sympathy dhidi ya wapinzani nchini.

Minong'ono iliyopo mitaani ambapo hata wanaCCM wengi wanaguswa na hili hivyo linaweza kusababisha kura za hasira kuiadhibu CCM endapo uchaguzi utafanyika baada ya maridhiano kati ya serikali na vyama vya siasa.

Mchakato wa uteuzi wa wagombea kupitia CCM uligubikwa na sintofahamu nyingi na hata kupelekea wagombea wengi wasiokubalika na wananchi kuteuliwa huku ubabe wa kuhakikisha ushindi ukifanyika.

Watendaji ama wasimamizi wa uchaguzi walipofanya maamuzi hayo, waliamini kuwa wanakisaidia Chama Cha Mapinduzi lakini uhalisia ni kuwa wamemsaidia chura kwa kumpiga teke.

Vyama vikubwa vya upinzani CHADEMA, ACT, CHAUMMA, NCCR MAAGEUZI vimejiengua kushiriki uchaguzi wa Novemba 24. Lakini Waziri mwenye dhamana ameagiza walioenguliwa wote warejeshwe kwenye orodha ya wagombea hivyo kuongezeka mkanganyiko zaidi.

Upigaji kura ni sehemu ndogo ya demokrasia ambapo maeneo mengine ni namna vyama na wagombea wanashiriki ama kushirikishwa kwenye michakato kwa njia za wazi na haki. Lakini kinachofanyika ni maamuzi yasiyoshirikisha pande zote kuu za uchaguzi. Ni maamuzi ama maelekezo ya upande mmoja pekee.

Ushauri.
Mosi.
Tamisemi kwa kushirikiana na wizara ya Katiba na sheria wakutane na vyama vyote vya siasa kuweza kujadili mustakabali wa hili lililotokea kwa lengo la kutafuta suluhisho lake.

Pili.
Uchaguzi usitishwe kwanza ili kutoa nafasi kwa majadiliano na maafikiano ya vyama shiriki kisha tarehe itokane na maafikiano hato

Tatu.
Chama Cha Mapinduzi kitumie muda huo kushughulika na makandokando ya uchaguzi wa uteuzi kwa sababu upangaji ssfu za wagombea ni kansa inayokitafuna chama kwa muda mrefu.

Mwisho
Upinzani unapata nguvu sana sasa kuliko kipindi chochote kutokana na haya yanayotokea na haiyumkiniki inawezekana wapigakura wakakiadhibu chama tawala endapo hakutakuwa na juhudi za makusudi kirekebisha kasoro zilizojitokeza.

Msanii
Mkuu usijifanye Sheikh Yahya. Huyo hana mbadala kwa sasa Tanzania. Uchaguzi ni wiki ijayo.
 
Uwazi ama kutokuwa na uwazi wa wagombea wao siyo issue kwa sababu kila chama kina utaratibu wake wa uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali.

Endapo sheria ya msajili wa vyama ikaongeza kipengele cha namna mgombea anavyoteuliwa kutoka vyamani hapo watakuwa wamefungwa na sheria.

Tartibu ndani ya CCM siyo sheria ya nchi bali inawezekana zikawa adopted kwa maslahi mapana ya Taifa letu.

Nakishauri Chama changu kutafakari haya na kuiangalia mustakabali wa Tanzania ya kesho...

Nachelea kuvilaumu vyama pinzani kwasababu kilinachofanyika kwenye chaguzi nyingi za kitaifa huacha malalamiko na sintofahamu. Tuanze kusafisha kikombe ndani kwanza ili nje kiwe safi....
Upande wa pili ni kulalamika tu pasipo kutoa boriti kwenye majicho yao zaidi ya kuhamisha matatizo yao upande mwingine na Serikali.

Ushahidi ni kutokuwepo uwazi wa kidemokrasia katika uteuzi wa wagombea wao. Kuna uwezekano maeneo mengine wagombea hawakuteuliwa ila wamejipeleja tu kuchukua fomu na kuzijaza kwa jinsi wanavyoona itawsaidia kuteuliwa kugombea.
 
Back
Top Bottom