Kuendesha nyumba kwa remote control

kwa sababu hamjui Kaunga? unaliamini hilo?

Kuna watu wanapenda kudanganywa halafu wanaamini huo uongo ulio wazi; The Boss Kaunga ni mdada ambaye ili usiabike kokote unapokuwa hata kwa Kongosho lazima umvutie taswira ili mambo yateremke!
Fixed Point,
About the topic, wakati nikiwa na mtoto nyumbani l use to be like you, especially kwenye maswala ya kula, kuoga, kulala kwa mtoto. Lakini sasa hivi, l am ashamed to say; recently l travelled for 2 weeks bila kupiga simu kwa mdada wa kazi hata siku moja. Nimempigia about 300m from home nikimwambia afungue gate.

Kitu kingine, my maid ni house manager mzuri sana. Nikisafiri l make sure kuna vitu muhimu kama gas ya kutosha, mboga kama kuku, samaki, ng'ombe, kitimoto, beans, dagaa, vitunguu, mafuta na mistarch yote, chakula cha mbwa etc. Then ninamwachia pesa ya majani, matunda, bread na emergency. Usiku kuna mlinzi so she should be fine, akiwa na shida si atanipigia bwana.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wanapenda kudanganywa halafu wanaamini huo uongo ulio wazi; The Boss Kaunga ni mdada ambaye ili usiabike kokote unapokuwa hata kwa Kongosho lazima umvutie taswira ili mambo yateremke!
Fixed Point,
About the topic, wakati nikiwa na mtoto nyumbani l use to be like you, especially kwenye maswala ya kula, kuoga, kulala kwa mtoto. Lakini sasa hivi, l am ashamed to say; recently l travelled for 2 weeks bila kupiga simu kwa mdada wa kazi hata siku moja. Nimempigia about 300m from home nikimwambia afungue gate.

Kitu kingine, my maid ni house manager mzuri sana. Nikisafiri l make sure kuna vitu muhimu kama gas ya kutosha, mboga kama kuku, samaki, ng'ombe, kitimoto, beans, dagaa, vitunguu, mafuta na mistarch yote, chakula cha mbwa etc. Then ninamwachia pesa ya majani, matunda, bread na emergency. Usiku kuna mlinzi so she should be fine, akiwa na shida si atanipigia bwana.
hao wadada wangu mmoja ninaye mwaka wa 9 sasa, na ukiona nimekaa naye miaka 9 ujue ni mzuri, otherwise hakuna mtu anaweza kukaa na hg kwa miaka 9 kama si mzuri. sasa amekuwa kama mtoto wangu, nimemrudisha shule. anaijua nyumba kuliko mimi. kila kitu cha pale nyumbani anakijua sana, kwa kufupi huwa namtegemea sana. lakini hii hainisababishii mimi kuacha kutoa maagizo nikiwa mbali na nyumbani, sijui ni tabia tu, na nina uhakika si tabia mbaya
 
Kaunga, utaota na kuweweseka sana mwaka huu
Umechagua kiserengeti mwenyewe.

Halafu wewe hata sikuelewi, in normal circumstances ungefurahia but unanipiga vita na my Eiyer huku ukimpigia ndogo ndogo huyo The Boss wako; looks like mkiwa wenyewe life inakuwa boring eeh!

Mwenzio Serengeti wangu ananitosha mwenyewe ingawa nimeona mahali anatuma application ya kumMIMBA a 40+ woman ambaye anatafutiwa mbegu na anko wake! Eiyer honey, usijali weye peleka tu hizo vitu halafu uje nikupakate mapajani.
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wanapenda kudanganywa halafu wanaamini huo uongo ulio wazi; The Boss Kaunga ni mdada ambaye ili usiabike kokote unapokuwa hata kwa Kongosho lazima umvutie taswira ili mambo yateremke!
Fixed Point,
About the topic, wakati nikiwa na mtoto nyumbani l use to be like you, especially kwenye maswala ya kula, kuoga, kulala kwa mtoto. Lakini sasa hivi, l am ashamed to say; recently l travelled for 2 weeks bila kupiga simu kwa mdada wa kazi hata siku moja. Nimempigia about 300m from home nikimwambia afungue gate.

Kitu kingine, my maid ni house manager mzuri sana. Nikisafiri l make sure kuna vitu muhimu kama gas ya kutosha, mboga kama kuku, samaki, ng'ombe, kitimoto, beans, dagaa, vitunguu, mafuta na mistarch yote, chakula cha mbwa etc. Then ninamwachia pesa ya majani, matunda, bread na emergency. Usiku kuna mlinzi so she should be fine, akiwa na shida si atanipigia bwana.

:angry::angry::confused2::coffee:
 
Hiyo ni kawaida Fixed Point si unajua mama ndio mlezi wa familia
Ni kawaida kupiga simu home mara kwa mara ukiwa mbali ili kujua yanayojiri ,mapungufu na marekebisho usalama wa baba na watoto wamekula kuna shida gani Nk nk hata kama wewe haupo lisiharibike neno
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ni kawaida Fixed Point si unajua mama ndio mlezi wa familia
Ni kawaida kupiga simu home mara kwa mara ukiwa mbali ili kujua yanayojiri ,mapungufu na marekebisho usalama wa baba na watoto wamekula kuna shida gani Nk nk hata kama wewe haupo lisiharibike neno
Ni kweli FirstLady1, mimi nilidhani tu kuwa siyo vizuri ili nijaribu kupunguza
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanachit-chat nawasalimu.
kuna hili jambo huwa linanitokea sana.
Utakuta nimesafiri, sipo nyumbani kwa siku, wiki, miezi kadhaa, lakini huwa nina tabia ya kuendesha maisha ya nyumbani kana kwamba sijaacha mtu. kila siku lazima nipige simu kuulizia/kutoa maelekezo (mmepika nini?, watoto wamekula?, jioni mtawapa nini?, kesho toa net uzifue......). sasa najiuliza hii ina maana gani? ni mimi tu au hata wamama wenzangu mnafanya hivi?
wababa wanalipokeaje? wanashukuru kuwa tunawasaidia kuendesha nyumba hata kama hatupo nyumbani au wanaona hatuwaamini?

pole na huyo mmeo! Maana hajui majukum yake kama baba! Kwani niwajibu wake kuyatekeleza hayo,isipoku ndio mfumo mulio amua ww na mmeo muuendeshe,si familia au baba wote wapo hivyo.mimi kama baba hufanya yale yote endapo mama au mke hayupo na hata akhwepo humsaidia.nampenda sana mkewangu.
 
dada cacico, twins hawajambo? nilitamani sana twins, kwa vile sikupata basi nikaamua kudabodisha, mziki ulikuwa mzito ila sasa wamekua ni raha tupu, ni kucheka kwenda mbele
Fixed Point twins hawajambo vibaya mno! wadada wakubwa sasa wanasoma nursery, nina kazi ya kuimbiwa nyimbo za kila design humo ndani! na kuandika ukutani wakati mwenzao ni last year tu nilipaka rangi nyumba! lol! wanaitwa CINDY + COREEN(part of cacico), ca ni dada yao mkubwa! lol! ni mademu wote na nimemaliza mchezo! hawa watoto ni vipenzi wa baba yao! hivi ni kwa nn??? huwa inaniuma sana, hata ukiwauliza kati ya mum na dad unampenda nani, wanajibu tena kwa sauti dad! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii natakaga kufa! nitatafuta kidume na mimi cha kuringa nacho! najua kitanipenda tu!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom