Kuendesha magari Dar sasa ishakua kero

Kuendesha magari Dar sasa ishakua kero

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Mbali ya foleni zisizotembea kuna hawa wajomba wanaosimama barabarani sipendi kuwataja ila dereva yeyote ashawaelewa yaani sasa ukikuta sehemu foleni hakuna unashukuru, ghafla unawakuta hawa tena wapo lundo! Hii inakua bora utumie daladala na bodaboda uache gari home kiasi mambo yako yaweza enda haraka!
 
Kula yao itaharibika kwa muda kabla hawajabuni mbinu mpya ya kuendelea kutafuna hela za wenye makosa barabrani.
 
Mbali ya foleni zisizotembea kuna hawa wajomba wanaosimama barabarani sipendi kuwataja ila dereva yeyote ashawaelewa yaani sasa ukikuta sehemu foleni hakuna unashukuru ghafla unawakuta hawa tena wapo lundo!hii inakua bora utumie daladala na bodaboda uache gari home kiasi mambo yako yaweza enda haraka![/QU
OTE]
hujachelewa wenzio tulianza muda sana kwa sasa tuna mwaka na magari tunatoka nayo jumamosi na jumapili weedays ni mwendo bajaji na bodaboda kwa sababu mfano unatoka upanga saa 7 mchana unaitafuta tazara lazima utumie 2 to 3 hours kama ni mtu wa kukimbizana hapa town maana yake umefail
 
Mbali ya foleni zisizotembea kuna hawa wajomba wanaosimama barabarani sipendi kuwataja ila dereva yeyote ashawaelewa yaani sasa ukikuta sehemu foleni hakuna unashukuru ghafla unawakuta hawa tena wapo lundo!hii inakua bora utumie daladala na bodaboda uache gari home kiasi mambo yako yaweza enda haraka!

Ndio shida ya kuendesha gari ambayo haijakamilika! Wakikusimamisha nyimbo yao ile ile, nipe leseni,kadi ya gari....baada ya hapo anazunguka gari kuangalia vibali,matairi.....ukiwa safi anakuachia unasepa,tatizo liko wapi??!!
 
Wajomba wanasimama wengi hao.....

Hadi unawaza ukidakwa utawapa hadi matairi.....
 
Juzi juzi hapa nilikuwa natokea pande za Sinza Lego nikaingia wrong way kwenye Morogoro Road jamaa wakanibana.

Ilikuwa usiku na jomba akanambia nimpe 30K la sivyo tungeenda kituoni.

Nikampa halafu huyo Nikampa zangu.
 
Juzi juzi hapa nilikuwa natokea pande za Sinza Lego nikaingia wrong way kwenye Morogoro Road jamaa wakanibana.

Ilikuwa usiku na jomba akanambia nimpe 30K la sivyo tungeenda kituoni.

Nikampa halafu huyo Nikampa zangu.


Hahaaaa

nilifikiri ungewaletea ubishi na kudai risiti ya malipo ya faini
ulimpa tu 30 ya kumpooza?
 
Kuna mmoja alisema hebu bonyeza wiper tuone
 
Hahaaaa

nilifikiri ungewaletea ubishi na kudai risiti ya malipo ya faini
ulimpa tu 30 ya kumpooza?

Bossman, I was clearly in the wrong and didn't want to come across as smart-alecky.

So I gave him the 30K and I was off the hook.

Basically, I took a chance and it backfired on me. I usually don't like to argue when it's crystal clear that I'm at fault.
 
Juzi juzi hapa nilikuwa natokea pande za Sinza Lego nikaingia wrong way kwenye Morogoro Road jamaa wakanibana.

Ilikuwa usiku na jomba akanambia nimpe 30K la sivyo tungeenda kituoni.

Nikampa halafu huyo Nikampa zangu.


Dar ujanja wote huo polisi anakuchomoa 30k??!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom