Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Leo asubuhi kama nimeona kichwa cha habari kuwa dr Slaa amejiuzulu au sijiu ndio macho yangu na utu uzima
lakini I am certain...
Unaweka chuki na mtu ana kikundi cha watu pasipo sababu hata thamani yak mbele ya macho ya watu inatoka .Chuki za kazi gani hizi ndugu yangu ?Ama ndiyo kum provoke mzee wa watu kila mara malipo yako yanaingia kaka ?