Elections 2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

Status
Not open for further replies.
Habari zenu waungwana wa jf ,mimi nimekua nikiangalia mIjadala kibao ya siasa humu ndani lakini bado najiuliza swali moja gumu sana. Na swali lenyewe ni kwamba hivi kweli watu wote humu ndani mnaamini kwamba chadema ama chama kingingine chochote kkikiingia madarakani basi wizi ufifadi utaisha ? Ama pia mnahisi maisha yenu yatabadilika ?mhh ! Acheni kujidanganya ndugu zangu.mimi mtazamo wangu ni kwamba maisha ya wale watakao ingia madarakani ndio yatabadilika ila sisi wengine tutaendelea kuwa pale pale.kwa sababu watakao chukua nchi hawatoki mbinguni ama pia hawatokua sio binaadamu na kwa mantiki hiyo watafanya yale yale ya kiubinadamu ambayo ni tamaa,wizi,uongo na kadhalika msikae makjidanganya eti nimeona humu jamvini kuna watu wana diriki kusema watu fulani ni wakombozi !!! Mhhh jamani tuache Mambo haya, yani kukaaa nakusema Cuf ama Chadema na vyama kadhalika wakichukua madaraka basi wizi utaisha ama maisha yakua bora ? 'it is crazy'.

Naomba mnipe mfano wa nchi moja Ama mbili tatu hapa afrika ambayo chama cha upinzani ama baada mtu mpya kua Raisi mambo yamekua kama mbinguni ?jamani yote haya ni siasa.acheni kujidanganya jameni wote hawa watu ni binadamu kama sisi sote na wananjaa kama sisi sote,wakisha pata kazi hua wanatusahau kama jinsi tulivyo sisi binaadamu.

Nawakilisha

Radikali -aka Rk


Mafisadi wako wa aina nyingi .Huu upupu unasema ndiyo nini ? Mode futa hii wala si kuhamisha .Arudi huko huko waliko mtuma akawaambie kule hawaingiliki .
 
Ni n kweli kwenye swala la breaking News nimechemka na ninaomba radhi saana wana Jf na baada ya hapo nasubiri nijibiwe maana mpaka sasa watu wanazungumzia tu breaking News na sio jibu ninalo lihitaji ama majadiliano ninayotaka kuyajua .

swali ni kwamba unategemea nini kutoka hao watakaongia madarakani ?

akhsante
wewe jamaa inaonekana kichwa chako ama ni kigumu kama jiwe au hakina sehemu fulani ya ubongo. Soma kwa makini bandiko la Mkandara hapo chini na kama huelewi mwombe jirani/rafiki yako akufafanulie. Umejibiwa kwa mifano sahihi kabisa na ukiendelee kuja na swali lako la ovyo ovyo nitaomba ruhusa kwa moderator nikutukane. Uninitia kichefuchefu.

RADIKALI,
Mkuu tafadhali, swali lako halina kichwa mkuu wangu samahani sana kwa sanbabu unapohoji kitu ni vizuri upande wa pili kuwe na Mafanikio, hapo swali lako kidogo linaweza leta maana lakini kama Kuichagua CCM vile vile hutategemea zuri wala mfanikio yoyote sijui unataka upewe jibu gani.. Basi ni bora tujiulize kwa nini tunapiga kura kuwachagua viongozi, kwa sababu either way hakuna tumaini la mafanikio yoyote tukiwachagua CCM au Upinzani.. Labda nikuulize wewe unategemea nini kwa kuendelea kuichagua CCM?..

Halafu swali lako kidogo linajikita ktk hali ya kushangaza, ni sawa na kumuuliza mtu unafanya kazi ukitegemea kitu gani? yaani wewe muuliza swali tayari umeshafikiria akitakacho mfanyakazi..kwamba kama ni Utajiri hiyo kazi haiwezi kukupa Utajiri (in this case Ufisadi na maendeleo ya mwananchi)...Wakati sivyo kabisa dhamira ya wananchi kutafuta mabadiliko ya Uongozi nchini. Ni mtazamo kama wako unaweza kuuliza hata mtu anayekwenda shule kupata masomo, maadam umefikiria hawezi kutajirika au kushinda basi huoni sababu ya mtu huo kwenda shule.. yaani ni mchanganyiko mtupu wa fikra za ajabu ajabu..

Mkuu, sii swala la kutegemea kitu gani toka vyama vya Upinzani ila ni kutazama Vipaumbele gani ambavyo ni muhimu ktk maisha ya kila siku ya Mtanzania, na through that ndipo tunapojenga Uongozi ambao sii lazima tufanikiwe au tutajirike ila tuweze kumudu maisha yetu sawa na yule mtu anayekwenda kazini kila siku ya Mungu.
 
Mentality nzima ya "kutegemea" iko outdated na ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo.Tusitegemee chochote, inatakiwa tuchukue usukani na ku direct vitu instead of "kutegemea" vitu.
 
habari zenu waungwana wa jf ,mimi nimekua nikiangalia mijadala kibao ya siasa humu ndani lakini bado najiuliza swali moja gumu sana. Na swali lenyewe ni kwamba hivi kweli watu wote humu ndani mnaamini kwamba chadema ama chama kingingine chochote kkikiingia madarakani basi wizi ufifadi utaisha ? Ama pia mnahisi maisha yenu yatabadilika ?mhh ! Acheni kujidanganya ndugu zangu.mimi mtazamo wangu ni kwamba maisha ya wale watakao ingia madarakani ndio yatabadilika ila sisi wengine tutaendelea kuwa pale pale.kwa sababu watakao chukua nchi hawatoki mbinguni ama pia hawatokua sio binaadamu na kwa mantiki hiyo watafanya yale yale ya kiubinadamu ambayo ni tamaa,wizi,uongo na kadhalika msikae makjidanganya eti nimeona humu jamvini kuna watu wana diriki kusema watu fulani ni wakombozi !!! Mhhh jamani tuache mambo haya, yani kukaaa nakusema cuf ama chadema na vyama kadhalika wakichukua madaraka basi wizi utaisha ama maisha yakua bora ? 'it is crazy'.

Naomba mnipe mfano wa nchi moja ama mbili tatu hapa afrika ambayo chama cha upinzani ama baada mtu mpya kua raisi mambo yamekua kama mbinguni ?jamani yote haya ni siasa.acheni kujidanganya jameni wote hawa watu ni binadamu kama sisi sote na wananjaa kama sisi sote,wakisha pata kazi hua wanatusahau kama jinsi tulivyo sisi binaadamu.

Nawakilisha

radikali -aka rk

karibu jf brother....... Jamani msameheni huyu jamaa maana hakujua anachotaka kukifanya.
 
RADIKALI,
Mkuu tafadhali, swali lako halina kichwa mkuu wangu samahani sana kwa sanbabu unapohoji kitu ni vizuri upande wa pili kuwe na Mafanikio, hapo swali lako kidogo linaweza leta maana lakini kama Kuichagua CCM vile vile hutategemea zuri wala mfanikio yoyote sijui unataka upewe jibu gani.. Basi ni bora tujiulize kwa nini tunapiga kura kuwachagua viongozi, kwa sababu either way hakuna tumaini la mafanikio yoyote tukiwachagua CCM au Upinzani.. Labda nikuulize wewe unategemea nini kwa kuendelea kuichagua CCM?..

Halafu swali lako kidogo linajikita ktk hali ya kushangaza, ni sawa na kumuuliza mtu unafanya kazi ukitegemea kitu gani? yaani wewe muuliza swali tayari umeshafikiria akitakacho mfanyakazi..kwamba kama ni Utajiri hiyo kazi haiwezi kukupa Utajiri (in this case Ufisadi na maendeleo ya mwananchi)...Wakati sivyo kabisa dhamira ya wananchi kutafuta mabadiliko ya Uongozi nchini. Ni mtazamo kama wako unaweza kuuliza hata mtu anayekwenda shule kupata masomo, maadam umefikiria hawezi kutajirika au kushinda basi huoni sababu ya mtu huo kwenda shule.. yaani ni mchanganyiko mtupu wa fikra za ajabu ajabu..

Mkuu, sii swala la kutegemea kitu gani toka vyama vya Upinzani ila ni kutazama Vipaumbele gani ambavyo ni muhimu ktk maisha ya kila siku ya Mtanzania, na through that ndipo tunapojenga Uongozi ambao sii lazima tufanikiwe au tutajirike ila tuweze kumudu maisha yetu sawa na yule mtu anayekwenda kazini kila siku ya Mungu.

mkuu,nashukuru kwa points zako,naomba nikukumbushe pale pale c.c.m ni upuuzi zi haina kitu chochote zaidi ya ufisadi .ila wewe unategemea nini kutoka chama kingine ?ukizangatia most of them watoka c.c.m yani unategemea wao ndio wachukia hongo ? na ufisadi ?
 
Mafisadi wako wa aina nyingi .Huu upupu unasema ndiyo nini ? Mode futa hii wala si kuhamisha .Arudi huko huko waliko mtuma akawaambie kule hawaingiliki .
upupu kwako kwa wengine ni swala la kujiuliza, wewe kama shule haijatulia meza chill pill.kubwa jitu
 
upupu kwako kwa wengine ni swala la kujiuliza, wewe kama shule haijatulia meza chill pill.kubwa jitu


Duh!! Hii ndiyo shule kweli ? Haya wacha nikae pembeni , nimeona wengi hawa kuelewi ama nao hawana shule ? Kaka karibu JF utazimika soon .
 
Tatizo huyu jamaa keshakata tamaa, anahitaji maelezo ya kina mno. Eti hakutakuwa na mabadiliko! Kwa maana hiyo hata Marekani wangemuacha Republican iendelee kwa kuwa Democratic hawakutoka mbinguni.
 
Leo Katibu Mkuu wa CHADEMA ametoa tamko rasmi la Mkutano Mkuu wa Ndani ya Chama nalo ni kama ifuatavyo;


TAARIFA KWA UMMA WA WATANZANIA.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinawatangazia wanachama wote wa CHADEMA na umma wa Watanzania wapenda Maendeleo kuwa Mkutano Mkuu wa uchaguzi wa ndani ya Chama utafanyika tarehe 03-04/09/2009 Jijini Dar Es Salaam .

Mkutano huu utatanguliwa na Mikutano mbalimbali kama ilivyoorodheshwa kwenye ratiba yetu ikiwa pia ni kwa mara ya kwanza uzinduzi rasmi wa Mabaraza ya Chama utaweza kufanyika pamoja na Uchaguzi wa Viongozi wa Mabaraza husika.

Hivyo wanachama wote kutoka Mikoani, Wilayani, Katani na Vijiji mbalimbali wenye nia, uwezo,uadilifu na sifa za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ngazi ya Taifa mnataarifiwa kwenda kuchuka fomu za kugombea na Fomu hizo zirejeshwe Makao Makuu zikiwa zimejazwa kwa ukamilifu na kwa kuzingatia muda uliowekwa na Kamati Kuu ya Chama .

Fomu kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali zimeshatumwa tangu August 10 2009 kwenye kila ofisi za Chama Mikoani ,hivyo tangazo hili ni kwa ajili ya kuwakumbusha wanachama wetu kuhusu ratiba ya mchakato mzima wa uchaguzi ndani ya Chama. Kwa wale ambao hawajachukua fomu,bado wanayo nafasi kwani tarehe ya mwisho ya kurudisha fomu ni August 24, 2009 saa kumi kamili mchana.

Fomu zilizotumwa ni kwa ajili ya kugombea nafasi zifuatazo;

(a) Mwenyekiti Taifa
(b) Makamu Mwenyekiti Bara
(c) Makamu Mwenyekiti Zanzibar
(d) Wajumbe wa kuchaguliwa kuingia kwenye Kamati Kuu na Baraza Kuu kwa mujibu wa Katiba ya Chama .
(e) Wenyeviti wa Mabaraza ya
(i) Wazee
(ii) Wanawake (BAWACHA).
(iii) Vijana (BAVICHA).
(f) Makamu wenyeviti wa mabaraza ya
(i) Wazee
(ii) Wanawake (BAWACHA)
(iii) Vijana (BAVICHA).

Ratiba kamili ya Mikutano hiyo ni kama ifuatavyo;

(i) Kamati Kuu tarehe 30/08/2009.
(ii) Mkutano Mkuu wa Baraza la Wazee 31/08/2009.
(iii) Mkutano Mkuu wa Baraza la Vijana (BAVICHA) 31/08/2009.
(iv) Mkutano Mkuu wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) 01/09/2009.
(v) Mkutano wa Baraza Kuu 02/09/2009.
(vi) Mkutano Mkuu wa Chama (Siku mbili ) 03-04/09/2009.
(vii) Mkutano wa Baraza Kuu 05/09/2009.
(viii) Mkutano wa Kamati Kuu 06/09/2009.

Hivyo basi tunapenda kuwafahamisha Wanachama wetu na Watanzania wote kwa ujumla kuwa hii ndio ratiba yetu rasmi ya kuingia kwenye uchaguzi Mkuu wa Chama na pia ni hatua muhimu sana katika Mapambano yetu dhidi ya Mafisadi na Ufisadi na kuhamasisha uwajibikaji na kutetea rasilimali za Taifa.

Ni muhimu ikazingatiwa kuwa ndani ya CHADEMA kila Mwanachama anayo haki ya kugombea nafasi yeyote ile kwa mujibu wa Katiba ya Chama,hivyo basi kila Mwanachama atumie haki yake ya kidemokrasia kuchukua fomu .

Ahsante sana kwa ushirikiano wenu.

………………
Dr. Willibrod P. Slaa (Mb)
Katibu Mkuu.
19/08/2009.
Viongozi Chadema, Tunashukuru sana kwa taarifa hii. Cha muhimu kusitokee tena matatizo katika uchaguzi kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari. Chadema inapendwa na wengi kutokana na kazi kubwa iliyoifanya Bungeni. Iweje kuwe na vurugu zisizoashiria demokrasia?

Demokrasia ya uchaguzi ipewe kipao mbele.
 
Viongozi Chadema, Tunashukuru sana kwa taarifa hii. Cha muhimu kusitokee tena matatizo katika uchaguzi kama tulivyosikia kwenye vyombo vya habari. Chadema inapendwa na wengi kutokana na kazi kubwa iliyoifanya Bungeni. Iweje kuwe na vurugu zisizoashiria demokrasia?

Demokrasia ya uchaguzi ipewe kipao mbele.
 
Duh!! Hii ndiyo shule kweli ? Haya wacha nikae pembeni , nimeona wengi hawa kuelewi ama nao hawana shule ? Kaka karibu JF utazimika soon .

Mkuu Lunyungu

Naomba kuuliza swali moja mbili
!.Wewe unachotaka hasa ktk nchi yetu kifanyike ni nini??

2.Katika nyanja za siasa nini unategemea kifanyike kwa 2010 hasa ktk chaguzi ??
 
Kuna ujinga gani kusimama peke yake kama hakuna mwingine aliyesimama? Zitto alishauriwa (sio kulazimishwa) ajitoe na akafanya hivyo. Kutoa ushauri ni sehemu ya demokrasia, kuukubali au kuukataa ni sehemu ya demokrasia vile vile.

Kweli tuna safari ndefu. Mungu tu atusaidie tufike huko tunakuota tukiwa na ukamili wetu kama taifa.....

omarilyas
 
Kweli tuna safari ndefu. Mungu tu atusaidie tufike huko tunakuota tukiwa na ukamili wetu kama taifa.....

omarilyas
zitto alikuwaidi cheo nini, maana yake inaonekana hutaki ku move on..
mwenyewe zitto kapiga picha na mtuhuru kuonyesha mshikamano wewe bado unanongona....
zitto, mtuhuru, dr slaa wame move on
na wewe move on...........
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom