kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
2020 usishangae kuona yatakayotokea nchi inaenda kubadilika rangi na kuanza upya
Utakua ni mwaka wa kuheshimiana sio tu kisiasa bali nyanja zote
Kwa kuichukia ccm niiteni tu wakala wa mabeberu ila nachukia udikteta wa kipumbavu sana
Kuna watu watacheka watadharau hili bandiko ila oneni kwa macho kinachoenda kujiri
Zanzibar mwaka ujao wakati wa uchaguzi patachafuka haswa pemba
Mitandao itazimwa karibia na uchaguzi
Yatatokea matukio ya wizi wa kura na kura feki
Haitajalisha ni nini na nani ila lazima ufunuo wa Tanzania utimie
Keep watching...get ready stone boy
Utakua ni mwaka wa kuheshimiana sio tu kisiasa bali nyanja zote
Kwa kuichukia ccm niiteni tu wakala wa mabeberu ila nachukia udikteta wa kipumbavu sana
Kuna watu watacheka watadharau hili bandiko ila oneni kwa macho kinachoenda kujiri
Zanzibar mwaka ujao wakati wa uchaguzi patachafuka haswa pemba
Mitandao itazimwa karibia na uchaguzi
Yatatokea matukio ya wizi wa kura na kura feki
Haitajalisha ni nini na nani ila lazima ufunuo wa Tanzania utimie
Keep watching...get ready stone boy