Kuelekea 2025: Kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.

Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
 
Kalale tena ili uote ndoto ingine. Rushwa haijawahi kuiangusha CCM katikati ya wananchi maskini kwa kiwango hiki kama ndivyo ingeanguka wakati wa Jakaya.
 
Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.

Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Sahivi rushwa imekuwa kama sala asee
 
Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.

Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.

Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Napenda hoja kama hizi. Big up bro
 
Back
Top Bottom