Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Wadau, siku zinakwenda mbio. Hazigandi. Uchaguzi Mkuu unakatibia sana. Hapana shaka kwamba chama-tawala CCM kitaendelea kumsimamisha Rais Samia, lakini kitu pekee kitakachokiangusha CCM ni Rushwa iliyokithiri.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.
Serikali ya Samia inanuka Rushwa toka mtaani hadi Ikulu.