Kudorora mapokezi ya Rais Samia kutoka Marekani Tatizo limeanzia hapa...

Kwanza lugha aliyotumia ya Malkia kuhutumia huko UNGA, haikulenga Watanzania. Na Je Kwa nini hakutumia Kiswahili wakati kuna Nchi zimetoa hotuba kwa lugha zao? Pili, ukiisoma ile hotuba imejaa taarifa nyingi za WHO na hasa kuhusu Covid 19...

Watu leo wanaenda zao kwa Mkapa ingalau wakafurahi....sio kwenda kumpokea mtu Airport..
 
Ndio unaitwa UNGA
 
Mkuu sahau ya nyuma! Twende na Mama yetu kwani tunakoelekea ni mbali kuliko tulikotoka.
Tushikamane na Mama yetu,tumpe support tutafika tu.
Hata hivyo Asante kwa mawazo Yako!
"Mawazo hayapingwi rungu" ushauri wako utafanyiwa kazi.
 
Kudorola mapokezi! Inamaana wanaotakiwa kumpokea hawakuenda?
Au unamaanisha kuwepo na sherehe ya kumpokea?
Ninavyojua kuna utaratibu wa kumpokea rais na wahusika wapo lakini hakuna sherehe inayotakiwa kufanywa kama vile Simba wanavyotokaga kuwapiga mabao ya kutosha waarabu huko Misri.

Cha muhimu arudi salama aendelee kuchapa kazi zake. Walakini hakika bado anaupiga mwingi.

Hongera SSH na kazi inaendelea
 
Apokelewe kwani ni Mgeni au hajui anapoenda?. Wazee wetu walimchangia Nyerere alipoenda kuhutubia huko mambele na Dunia ikatisika SASA huyu kubwa aliyofanya ni kupiga picha na Mange.
Hahhaa Diaspora tunayohubiliwa kila siku ndio ile ya Mange kweli??
 
Mkuu sahau ya nyuma! Twende na Mama yetu kwani tunakoelekea ni mbali kuliko tulikotoka.
Tushikamane na Mama yetu,tumpe support tutafika tu.
Hata hivyo Asante kwa mawazo Yako!
"Mawazo hayapingwi rungu" ushauri wako utafanyiwa kazi.
Asante kwa kuupokea. Watu wema wataukubali na kuufanyia kazi.
 
Shamra shamra maana Rais sio wa kikundi maalum. Ni wa wananchi wote.
 
Alijikita zaidi kwenye Corona kutafutia kiki😅
 
hahahaha yeye ndio chief boss kwahio haina mjadala

Heri angeenda kuuza nyungu au bupeji au hata NIMRICAF.

Value ipi kaongeza kwenye mkutano ule?

Ajabu eti anaongelea dilemma ya kulinda maisha dhidi ya uchumi.

Kuna dilemma hapo? Awaulize wanaume wa shoka kina Museveni na kina PaKa kama kuna dilemma hapo.

Tumekuwa kituko!
 
wa Burundi ametish🤣🤣
 
Eti 'Watanzania wamejasirishwa kukamatwa kwa mbowe!'. Mdugu, HV unaishi Tanzania au?!!! Maana tz hii kwa sasa hakuna kabisa anayemzungumzia mbowe zaidi ya mbowe mwenyewe na misukule yake. Ukisikia sana basi ni habari ya kesi yake kupitia baadhi ya vyombo via habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…