Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,823
Hao wanaume wakawa wanawake wanaweza kuzaa watoto au,sababu nini hasa kujifanya hivyo?Ila duniani bana..nlionaga kipindi mdada kawa mkaka na mkaka kawa mdada..wameoana na wanajijua kama ni matransfer gender..shubaaat!!

nifate