Kudadadeki malipo ni hapa hapa duniani kumbe kuna Mtu Kakimbiwa na Mkewe, ila Watu wa Media na Wadhamini wake wanamfichia Siri

Nitamso.ea mtu albadir!!!
images.jpeg
 
Kumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.

Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.

Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?

Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
Sasa Nani anakubali iuishi jna Mssukule
 
KWELI FANI SI KITU CHA MWILINI ILA CHA ROHONI YAANI CHAKUZALIWA NACHO, HIVI MTU MWENYE AKILI ANAEZA KUONA ULICHOANDIKA APA? CZ NI KAMA UMBEA NA UPUUZI TU, IV KUKIMBIWA NA MKE NI SUALA LA KUMUANDIKA MTU? HUJAWAHI ONA KUWA MKE ANAEZA KUMKIMBIA MME ILA MAPUNGUFU YAKAWA KWA UYO MWANAMKE? ACHA USHAMBA BRO UNAJIDHARAULISHA, ACHA KUTAFUTA UMAARUFU KISHAMBA IVO.
 
Mke hawezi kuvumilia mwanaume asiye na msimamo.
Mwanaume unapata kashfa ya kuwekwa kinyumba Dubai,halafu unakuja kutukana matajiri bila sababu ya msingi!
Kama mwanamke ana akili lazima akukimbie tu
 
Manara ujanja wake wote ule kashindwa kujiunga Jf.
Maana angekuwepo humu kwa ulopo lopo ule tungeshajua uwepo wake humu.
 
Ila we jamaa ni muongo sana juzi nimepishana na mkewe akiwa na ile prado yenye jina Bugati pale chole road masaki.
Sawa tumeshajua kuwa unakaa hapo ( huko ) Masaki ambako Wewe umepajua Ukubwani ila Mightier nimezaliwa Mtaa huo huo, kusomea St. Peters Kindagarten hapo kisha Oysterbay Primary ambapo Mwalimu Mkuu wangu akiwa ni Marehemu Mwalimu Ng'ambi nikisoma na Watu kama akina Idi Janguo, Aluta Warioba na Dada Brenda Msangi Boss wa CCBRT.

Na Mimi na Kaka zangu ndiyo Waanzilishi wa hizo Beach Mbili za Coco Beach na kule Slipway enzi hizo tukiwa na Wadau wengine akina Marehemu Ngapasa Mapunda na Nicky Ngonyani wa Magic FM.

Watambie Washamba wenzio kuhusu Masaki na siyo Mimi sawa? Na mpaka sasa hata aliyenileta duniani anaishi hapo hapo Masaki tena Nyumba yake ikitizamana na Bahari.

Pimbi mkubwa Wewe.....!!!!
 
KWELI FANI SI KITU CHA MWILINI ILA CHA ROHONI YAANI CHAKUZALIWA NACHO, HIVI MTU MWENYE AKILI ANAEZA KUONA ULICHOANDIKA APA? CZ NI KAMA UMBEA NA UPUUZI TU, IV KUKIMBIWA NA MKE NI SUALA LA KUMUANDIKA MTU? HUJAWAHI ONA KUWA MKE ANAEZA KUMKIMBIA MME ILA MAPUNGUFU YAKAWA KWA UYO MWANAMKE? ACHA USHAMBA BRO UNAJIDHARAULISHA, ACHA KUTAFUTA UMAARUFU KISHAMBA IVO.
Unateseka ukiwa wapi labda Ndugu?
 
Back
Top Bottom