Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
Duhhh,,,Mungu atamuongoza
HahaaBila kumtaja mhusika kwa jina, huu Uzi wako Ni chaiView attachment 1968790
Sasa Nani anakubali iuishi jna MssukuleKumbe huu Upole wa hizi Wiki Mbili ni za Kuwaza jinsi ulivyooa kwa Mikogo ( japo waliofanikisha Ndoa yako ndiyo hao hao tena Wanakusaidia Kazi ) na sasa Mke Kakukimbia na unahaha Kumrudisha ila mpaka Mightier naandika Uzi huu hujafanikiwa bado.
Na ili uone kuwa Watu tunajua Kufukunyua Taarifa Ngumu na Nyeri za Kijamii ni kwamba kumbe hata ile Siku uliyotudanganya umepata Ajali Usiku Mkeo alikupiga na Kukuumiza kidogo kwakuwa ulirejea Kwako ukiwa Umelewa Chakari kama Kawaida yako na uliogopa kwenda katika Interview yako kwa Majizzo FM kwakuwa Uso ulikuwa Umeshaumuliwa na Kuumuka vizuri tu.
Ulivyokuwa Ukiwatukana Watu na Kuwadhihaki ulijua kuwa Mwenyezi Mungu hatowajibia kwa namna ya Kipekee? Haya sasa kipo wapi? Huyu ni Mke wa Pili anakukimbia hujiulizi na hujishangai tu?
Siri imeshafichuka Kudadadeki na bado!
...🙄🙄🙄...? Tabia kama hujawahi kuwa nayo ni vigumu kujifunza.Ila wako watu hawawezi kudumu katika ndoa, sababu hawana tabia zinazotakiwa kwa wanandoa.
Thread Closed, umemaliza.Kwani mwanaume akikimbiwa na mke si anaoa mwingine!!
Kuna aibu gani hapo, wakati vyombo vipo kibao hadi vingine vinabeba mabango ya kutafuta waume...
Achana na mapenzi ya watu, wakirudiana utaficha wapi uso wako jombaa??Jamaa ameshakimbiwa tena na Mkewe.
Naona kuachwa huko, hakukumuumiza kama alivyoumia KUACHWA NA SIMBA!simba mshaambiwa mkiachwa muw mnaachika ebooh
Hata kwa siku hizo walizokaa pamoja, MWANAMKE ANASTAHILI PONGEZI!Na Meno yake yale Meusi na Njano au?
Sawa tumeshajua kuwa unakaa hapo ( huko ) Masaki ambako Wewe umepajua Ukubwani ila Mightier nimezaliwa Mtaa huo huo, kusomea St. Peters Kindagarten hapo kisha Oysterbay Primary ambapo Mwalimu Mkuu wangu akiwa ni Marehemu Mwalimu Ng'ambi nikisoma na Watu kama akina Idi Janguo, Aluta Warioba na Dada Brenda Msangi Boss wa CCBRT.Ila we jamaa ni muongo sana juzi nimepishana na mkewe akiwa na ile prado yenye jina Bugati pale chole road masaki.
Mchafu na Mshamba hurudiwa Ndugu?Achana na mapenzi ya watu, wakirudiana utaficha wapi uso wako jombaa??
Unateseka ukiwa wapi labda Ndugu?KWELI FANI SI KITU CHA MWILINI ILA CHA ROHONI YAANI CHAKUZALIWA NACHO, HIVI MTU MWENYE AKILI ANAEZA KUONA ULICHOANDIKA APA? CZ NI KAMA UMBEA NA UPUUZI TU, IV KUKIMBIWA NA MKE NI SUALA LA KUMUANDIKA MTU? HUJAWAHI ONA KUWA MKE ANAEZA KUMKIMBIA MME ILA MAPUNGUFU YAKAWA KWA UYO MWANAMKE? ACHA USHAMBA BRO UNAJIDHARAULISHA, ACHA KUTAFUTA UMAARUFU KISHAMBA IVO.