Kuchepuka raha

Yaani wewe kama mkeo hachepuki atakuwa anaumwa kifafa.
Mi naamini kuna madada ambao wanajiheshimu,siyo wote wana hulka yakuchepuka kwani kuna kitu kinaitwa hormonal imbalance,mwanamke akiwa na testerone nyingi maranyingi ni vigumu sana kuhimili ashki zake hivyo wanawake wa hivyo wanashauriwa wawe na makazi kwaajili ya wanaume mbalimbali mfano madereva wa masafa,wanaume ambao wake zao wamejifungua hivi karibuni,wanaume ambao wameshindwa kutatua matatizo yao kwenye ndoa,wanaume ambao wako addicted na ununuzi wa wanawake n.k,kwahiyo unachosema yawezekana unaongelea wanawake wenye horminal imbalance.
 
Mwanamke dakika 10 za sokoni zinamtosha kuinamishwa, na hivi siku hizi hatuvai vyupi ni kupandisha tu gauni..... Imo Imo Imo nduki home kupika mwepesiii kama karatasi ukinipuliza naanguka



Nyiee ndo mnaoaibisha familia na watoto wako unainamishwa vichakani na umri huu
 
Mwanamke dakika 10 za sokoni zinamtosha kuinamishwa, na hivi siku hizi hatuvai vyupi ni kupandisha tu gauni..... Imo Imo Imo nduki home kupika mwepesiii kama karatasi ukinipuliza naanguka
Duuh! ukute watotonwa jiraninwanapiga chabo,watamtania mwanao hadi ajute kuzaliwa nawewe.
 
Umeona eeeeeee.... Tatatibu tuu mtaelewa ...
 
unafikiri mke wangu anafikiria kama wewe.
unafikiri kuku wa kisasa.

mda huu unatakiwa uwe unapika na kuwa saidia watoto home work.

uko bizee kubishana na waume zako.
Wanaume wenzio muda huu wanapiga mahesabu na kupiga story na watoto zao we uko busy kwenye mkeka kubishana na wanawake, alafu eti mkeo asichepuke!!! Thubutuuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…