Arudi huku huko auguzwe akipona arudi.Kama mie hata maji simchemshii kila siku kanisani na ibada za walokole zinavyochelewa tamthilia kwa sana nienda kulala ukutani kimya chai na mihogo kimya ili akome
πππ
Wawe kama wanawake, wakirudi nyumbani wacheke ha ha ha umewapa siri, mwisho tukurudi tu na furaha tupokewe na makofi lol wakijua mtu kaliwa
And let us be girls waone ilivyo raha.Ukiuliza anakwambia muhimu ku spend time with 'his boyz' na wakikutana wanakuwa 'boys' kweli.
And let us be girls waone ilivyo raha.
tatzo la kibamia changu kinahongwa kweli na mademTulia na mwenzio apate raha, we na kibamia chalo alafu unataka umbane bane mwenzio!!
Unajibu huku ukiwa mita 20 kama unalinda box la kuraWe hufikirii kama na mimi nitabaki salama au vipi? Hili jibu nalitoa kimoyo moyo!
Msijali ndio tumetulia hivyo, na watoto tutalea tu, ila tusiulizane ni wa nani? We leta tu pesa.
Kishapata kimoja mchana, sahivi lazma awe home anapika, Mwanamke anachepuka kwa akili, mjanja kama panya anauma na kuulizaunafikiri mke wangu anafikiria kama wewe.
unafikiri kuku wa kisasa.
mda huu unatakiwa uwe unapika na kuwa saidia watoto home work.
uko bizee kubishana na waume zako.
Haha hahah.... Ngoja nimuulize Kungwi wenu atoe kibali kwanzaUmeonesha busara hadi nimetamani kuwa mchepuko wako, naomba nafasi tafadhali.
Thanks in advance
Kishapata kimoja mchana, sahivi lazma awe home anapika, Mwanamke anachepuka kwa akili, mjanja kama panya anauma na kuuliza
Nichukue bana tuyajengeHaha hahah.... Ngoja nimuulize Kungwi wenu atoe kibali kwanzaeti espy nimchukue huyu Murembo Evelyn Salt
Unatakiwa kufanyiwa maombi wewe pamoja na mumeo. Pepo la mauti linawawinda.Mungu akusamehe kwani hujui ulitendalo. Starehe ya muda inaweza kuwaletea maana wote wawili.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Evelyn salt umenifurahisha mpaka hapa naulizwa unacheka niniUnajibu huku ukiwa mita 20 kama unalinda box la kura
Huyu mwanaume anaepokea hilo jibu lazma tutamuimbia parapanda πππ
Ataenda mochwari kula kiyoyozi
Mwanamke dakika 10 za sokoni zinamtosha kuinamishwa, na hivi siku hizi hatuvai vyupi ni kupandisha tu gauni..... Imo Imo Imo nduki home kupika mwepesiii kama karatasi ukinipuliza naangukajidanganyeni na mjipe matumaini hizoo tabia mziamishie nyumbani mkitengulia kiuno kwa kipiga msije kulia lia hapa
Wanaume wanachanganyikiwa kumbe mkuki kwa nguruwe kwa mme ni mchunguyani wewe ntakufwatilia maana umeshakuwa sugu naume mpanda mme wako kichwami.
Akaaa kaamua tu huwahi kurudi kwa muumbaHaki ya Mungu utakuwa umesababisha kifo